Nitamtetea na kumsemea Rais Samia na Serikali ya CCM mpaka dakika ya mwisho bila kukatishwi tamaa kwa namna yoyote ile

Nitamtetea na kumsemea Rais Samia na Serikali ya CCM mpaka dakika ya mwisho bila kukatishwi tamaa kwa namna yoyote ile

Kazi kubwa na njema alizozifanya Rais wetu mpendwa ndizo hizo nazozisema na ndio hata kwenye andiko langu nimezitaja japo kwa ufupi.
Sawa Mkuu hata mim namkubali sana ila akikosea ni vyema kumkosoa ili ajue sisi tuliomuajiri akae hapo huu.tupo makini na inch yetu na future ya wajukuu zetu.......
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ulipata divisin four , niweke matokeo yako hapa? Dunia îaenda kasi nenda shule uchawa bila elimu ni kituko
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naona leo wajumbe wa UWT mmechefukwa baada ya chura kiziwi kuwaamsha!! Ktk hii dunia kuna kitu huitwa fate.... huu upumbavu unaoufanya humu huyo chura kiziwi mwenyewe anakudharau.
 
Tunatamba na Mama Hadi 2030. Mwakani tunatimiza tu wajibu wa uchaguzi. maana mpaka sasa Rais Wetu Mpendwa Mama Samia ni mshindi katika Mioyo ya mamilioni ya watanzania.
UWT ya CCM hamnaga akili!! Magufuli mlimtabiria kutawala milele yuko wapi?
 
Kama unalipwa hamna Shida ila anachofanya huyo mama ako ni kuprove uongozi pekee mwanamke anaopaswa kupewa ni wa kikoba
 
Rais Samia analitetea na kulipigania Taifa letu usiku na mchana.

Lakini CCM kwanza na taifa baadae.

Kama kweli nchi iko mbele ya chama angepigania zaidi katiba ya nchi ambayo kila mtu ana amini ingeleta maendeleo zaidi lakini ubinafsi ndiyo tatizo. Mama alianza vizuri sasa amekuwa yeye kwanza Tanzania baadae kwa mawazo yangu inasikitisha sana
 
Lakini CCM kwanza na taifa baadae.

Kama kweli nchi iko mbele ya chama angepigania zaidi katiba ya nchi ambayo kila mtu ana amini ingeleta maendeleo zaidi lakini ubinafsi ndiyo tatizo. Mama alianza vizuri sasa amekuwa yeye kwanza Tanzania baadae kwa mawazo yangu inasikitisha sana
Na hapo hakuna wa kusemwa vibaya kwa maana mambo mengi yanakuwa yamenyooka, jamii ndiyo itahukumiwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hongela
 
Lakini CCM kwanza na taifa baadae.

Kama kweli nchi iko mbele ya chama angepigania zaidi katiba ya nchi ambayo kila mtu ana amini ingeleta maendeleo zaidi lakini ubinafsi ndiyo tatizo. Mama alianza vizuri sasa amekuwa yeye kwanza Tanzania baadae kwa mawazo yangu inasikitisha sana
Mama anaendelea vizuri sana na ndio maana kila mtu anashuhudia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya muda mfupi sana wa uongozi wake .hata suala la katiba mpya nalo wala usijali hata kidogo maana mama ana dhamira njema kwa Taifa letu.
 
Unanikumbusha kulala na mafaili, (sleeping next to files)
Moyo wa Mama na mawazo ya Mama ni juu ya ustawi wa Taifa letu na watanzania.ndio maana anafanya kazi muda wote hata kukosa muda wa kutulia na familia yake.kwa sababu ya kutaka kuona watanzania tunapata huduma na maendeleo
 
Kizuri kinajiuza.
Kazi za Rais Samia zinaonekana machoni kwa watanzania wote wasio na upofu wa macho na akili.ndio maana hata mimi nimezitaja kazi hizo bila hofu wala wasiwasi wa aina yoyote ile.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unaharibu. Kiongozi bora hahitaji kutetewa na mtu au kikundi cha watu kwa maneno mengi yasiyo na mwisho muda wote. Wananchi wenyewe huwa mashahidi wa kazi zake na utendaji wake makini katika kushughulikia matatizo yao. Acha ubora wake wenyewe umshuhudie.

Kiongozi anayehitaji kupiganiwa nyakati zote kwenye media tena na watu wa aina yako (machawa pro-max) huyo ana matatizo makubwa sana. Na kama wanavyosema wadau wengi hapa, siku akiondoka au kuondolewa madarakani, amin nakuambia, wewe utakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kumkana. Tena utamkana mara tatu kwa kuanzia. Naamini hata yeye anakujua vizuri. hivyo, anakaa mkao wa tahadhari pande hiyo.

Muda utasema. Tena ama utabadilisha jina (utambulisho) hapa JF au utakuja na hekaya za kudanganywa. Kwamba ulifichwa ukweli fulani fulani kumhusu huyo kiongozi. Kisha utahamia kwa mpya na mapambio mapya!
 
Back
Top Bottom