Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Poteza kaka mademu mbona wengi sn, huyo hakupendi umejipendekeza tu...
 
Natambua maumivu ya mapenzi.....sijui Kama atatimiza azima yake huyo maana kaleta hapa kupata ushauri....tuliza akili kisha tafakari mwanamke ni shetani.....
 
Tamaa zake zisikusababishe ukanyie ndoo achana nae huyo amekugeuza ng'ombe wa maziwa we mpotezee maana umeshagundua..
 
Back
Top Bottom