Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Wadau wa Jamii Forums habari zenu, nimekuja kwenu nikiwa na maswali ila pia nitapenda kupokea ushauri kuhusu chapa tajwa hapo juu.
Nimekua nikiona tu hizi bidhaa za hii kampuni ya njiwa (Dove) mitandaon na sehemu mbalimbali. Nataka kujua je, hii chapa ni ya nchi gani kwa asili? Je bidhaa zao zimejumuisha bidhaa zote muhimu kama sabuni, dawa za meno, deodorant, mafuta ya nywele, body spray na vingine?
Ufanisi wake (matokeo yake) kwa mtumiaji ni mazuri? Ni wapi kwa mikoa yetu mikubwa hasa Dar naweza pata kifurushi kamili cha bidhaa hizi, bei zake zipoje?
Nimekua nikiona tu hizi bidhaa za hii kampuni ya njiwa (Dove) mitandaon na sehemu mbalimbali. Nataka kujua je, hii chapa ni ya nchi gani kwa asili? Je bidhaa zao zimejumuisha bidhaa zote muhimu kama sabuni, dawa za meno, deodorant, mafuta ya nywele, body spray na vingine?
Ufanisi wake (matokeo yake) kwa mtumiaji ni mazuri? Ni wapi kwa mikoa yetu mikubwa hasa Dar naweza pata kifurushi kamili cha bidhaa hizi, bei zake zipoje?