Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
 
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Una waza mbali sana. Hata Lissu, Zito na Mbowe hawana hayo mawazo!!
 
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Nyie vijana mnadanganyika mitandaoni asilimia kubwa ya mnaoshinda humu mitandaoni ndyo nyie mnaoishi mijini sasa Ccm inawabamiza huko vijijini halafu na mijini kwenyewe siyo wote upinzani CCm nao wapo tukutane oktoba sasa sijui utaenda kuishi Malawi
SAMIA MITANO TENA CCM DAIMA
 
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Hivi mkishibaga pilau mbona Huwa mnajifanya akili zimewaruka?? Kuna mwenyenyumba anayeruhusu wapangaji kumiliki Nyumba yake??
 
Nyie vijana mnadanganyika mitandaoni asilimia kubwa ya mnaoshinda humu mitandaoni ndyo nyie mnaoishi mijini sasa Ccm inawabamiza huko vijijini halafu na mijini kwenyewe siyo wote upinzani CCm nao wapo tukutane oktoba sasa sijui utaenda kuishi Malawi
SAMIA MITANO TENA CCM DAIMA
Kwa hiyo wewe pamoja na uchawa wako kwa Ccm unaamini Samia ndiye mtu pekee mwenye uwezo na akili za kuongoza taifa hili?
 
Ha ha, hata kama mimi ningekua samia alafu niache kushinda na kila kitu ninacho, asiposhinda mimi ndio nitamuona hamnazo
Yaani hali ni ya kusikitisha sana, refa, linesman, match commissioner wote wanatoka timu ya nyumbani! Alafu usishinde!?
 
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Mkuu,

Wapinzani wenyewe wakubwa CHADEMA wameanza kunyukana wenyewe Mbowe na Lissu umewaona?

Unanikumbusha jamaa mmoja mwaka 2004 alikuwa hampendi sana rais George W. Bush wa Marekani, akasema huyu rais hawezi hata kugombea tena urais, atajiuzulu tu.

Nilipomsikiliza nikagundua kuwa, kilichomuongoza ni chuki kubwa dhidi ya yule rais, bila kuangalia ukweli wa mambo kuwa kuna watu wengi hawakufikiri kama yeye.

Sisemi kwamba wewe unasukumwa na chuki tu dhidi ya Samia, ila, unaangalia hali halisi ya nchi?

Na hiyo NB uliyoiweka ndiyo ina matter kuliko chochote. Stalin alisema kupata kura za wanaopiga kura si muhimu, muhimu kuwapata wanaohesabu kura.
 
Nyie vijana mnadanganyika mitandaoni asilimia kubwa ya mnaoshinda humu mitandaoni ndyo nyie mnaoishi mijini sasa Ccm inawabamiza huko vijijini halafu na mijini kwenyewe siyo wote upinzani CCm nao wapo tukutane oktoba sasa sijui utaenda kuishi Malawi
SAMIA MITANO TENA CCM DAIMA
Vijana awape ajira mkumbusheni hilo

Nilikua kwenye gari kuna Mzee akawa anasema Nchi yetu sasa hivi ina kila kitu kasoro iliyopo ni moja tu Vijana wengi hawana ajira, akitokea rais akarekebisha suala la ajira kwa vijana basi Nchi hii itabadirika sana, mimi binafsi sikumuelewa yule babu mwenye miaka zaidi ya 90 alikua anamaanisha nini
 
Nyie vijana mnadanganyika mitandaoni asilimia kubwa ya mnaoshinda humu mitandaoni ndyo nyie mnaoishi mijini sasa Ccm inawabamiza huko vijijini halafu na mijini kwenyewe siyo wote upinzani CCm nao wapo tukutane oktoba sasa sijui utaenda kuishi Malawi
SAMIA MITANO TENA CCM DAIMA
Mjini CCM imekaba Kila Kona Hakunaga upinzani tena
 
Vijana awape ajira mkumbusheni hilo

Nilikua kwenye gari kuna Mzee akawa anasema Nchi yetu sasa hivi ina kila kitu kasoro iliyopo ni moja tu Vijana wengi hawana ajira, akitokea rais akarekebisha suala la ajira kwa vijana basi Nchi hii itabadirika sana, mimi binafsi sikumuelewa yule babu mwenye miaka zaidi ya 90 alikua anamaanisha nini
Mjiajiri Serikali itaweza kuwaajiri wote huwezi mfurahisha kila mwanadamu ukiweza basi utakua una mapungufu
 
Back
Top Bottom