Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Wanaotuangusha ni wapinzani.

Badala ya kucooperate wao wanasambaratika!

Enzi za biashara ya utumwa, tulikuwa tunajiuliza, iliwezekanaje wanyeji wasishirikiane kupinga hiyo biashara?

Kumbe kulikuwa na 'Nokora', 'viherehere' ama 'snich' ambao vizazi vyao wameendelea kuwepo mpaka leo, kwa mfumo wa maisha ya leo.

Watu wanaonekana kama wapinzani, kumbe ni nokora wapumbaf waliojazwa upinzani kujaza migogoro kwa maslah ya Ccm.

Tumeyaona haya Chadema, Tlp, Cuf na Nccr.
 
Wapinzani wapi?

Kina Mbowe, Ntobi, Bon, na Mdude?
 
Huu mwaka 2025 before mwezi wa Kumi Kuna mtu anaenda Kwa Sir God...tena mtu mkubwa Sana.
Afu naona kule Kwa wenzetu kunaenda kupasuka makundi makundi...afu wao watashinda kustaimiliana watavurugika Sana, Uku Kwa chukua chako mapema wale wazee wa zamani wa mifumo wataibuka na kuanza kudai haki ndani ya Chama na kuwashinikiza Jr's Kuachika hatamu lkn watashindwa apo ndo mtifuano pia utaanzia.
Walambaji asali, asali itawakolea afu watakuja kujisahau na ulambaji wao asali watakuja poteza Sana nafasi zao..watakuja ibuka sura mpya Sana kwenye mfumo wa kisiasa hasa vijana.
 
Wapinzani wapi?

Kina Mbowe, Ntobi, Bon, na Mdude?
Laiti upinzani ungekuwa imara angalau kama ule wa zama za Mrema TLP au hata CHADEMA ya Dr. Slaa, tungeshuhudia uchaguzi wenye ushindani mkubwa sana
 
Rais ni taasisi bwashee
Ni taasisi sawa, ila taasisi hii inaposhindwa kujiongoza vyema, ni janga kwa taifa.Kiongozi wa taasisi hii lazima awe competent, mwenye akili na utambuzi wa kudadavua masuala ya kiuchumi, kijamii, kiuongozi nk.
 
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.

Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.

NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Kwa upinzani upi?

Huu unaovuana nguo asubuhi?

Huu wa mandojo na domokaya?

Puliiiizzzzz
 
Huu mwaka 2025 before mwezi wa Kumi Kuna mtu anaenda Kwa Sir God...tena mtu mkubwa Sana.
Afu naona kule Kwa wenzetu kunaenda kupasuka makundi makundi...afu wao watashinda kustaimiliana watavurugika Sana, Uku Kwa chukua chako mapema wale wazee wa zamani wa mifumo wataibuka na kuanza kudai haki ndani ya Chama na kuwashinikiza Jr's Kuachika hatamu lkn watashindwa apo ndo mtifuano pia utaanzia.
Walambaji asali, asali itawakolea afu watakuja kujisahau na ulambaji wao asali watakuja poteza Sana nafasi zao..watakuja ibuka sura mpya Sana kwenye mfumo wa kisiasa hasa vijana.
Hii comment itunzwe Ina kitu
 
Back
Top Bottom