zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ndio umwambie hawa wasio na ajira watamchimbia bahariniMjiajiri Serikali itaweza kuwaajiri wote huwezi mfurahisha kila mwanadamu ukiweza basi utakua una mapungufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umwambie hawa wasio na ajira watamchimbia bahariniMjiajiri Serikali itaweza kuwaajiri wote huwezi mfurahisha kila mwanadamu ukiweza basi utakua una mapungufu
Basi hawana pa kukimbilia wanakuja kupiga kelele mitandaoni humuMjini CCM imekaba Kila Kona Hakunaga upinzani tena
Wako wangapi hao wasio na ajira na walio na ajira na ambao hawajasoma kabisa wale wapo Tunduru vijijini hukoNdio umwambie hawa wasio na ajira watamchimbia baharini
Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.
Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.
NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Wanaotuangusha ni wapinzani.Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.
Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.
NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Utaelewa hapo hapo madogo wamemind kichizi huku street wewe usikae sehemu moja km mstimuWako wangapi hao wasio na ajira na walio na ajira na ambao hawajasoma kabisa wale wapo Tunduru vijijini huko
Achana na suala la vyama vya kisiasa, unavyoona unadhani Samia anayo akili& uwezo na anafit kama mtu pekee mwenye vigezo sahihi kuongoza taifa hili?Mjini CCM imekaba Kila Kona Hakunaga upinzani tena
😀 😀 Yaan hivyo vitu unavyofikiria ww kuwa hatachaguliwa wenzako wanaona kama vile chekechekeaUtaelewa hapo hapo madogo wamemind kichizi huku street wewe usikae sehemu moja km mstimu
Laiti upinzani ungekuwa imara angalau kama ule wa zama za Mrema TLP au hata CHADEMA ya Dr. Slaa, tungeshuhudia uchaguzi wenye ushindani mkubwa sanaWapinzani wapi?
Kina Mbowe, Ntobi, Bon, na Mdude?
Sina wenzangu😀 😀 Yaan hivyo vitu unavyofikiria ww kuwa hatachaguliwa wenzako wanaona kama vile chekechekea
Rais ni taasisi bwasheeAchana na suala la vyama vya kisiasa, unavyoona unadhani Samia anayo akili& uwezo na anafit kama mtu pekee mwenye vigezo sahihi kuongoza taifa hili?
Ni taasisi sawa, ila taasisi hii inaposhindwa kujiongoza vyema, ni janga kwa taifa.Kiongozi wa taasisi hii lazima awe competent, mwenye akili na utambuzi wa kudadavua masuala ya kiuchumi, kijamii, kiuongozi nk.Rais ni taasisi bwashee
Uchaguzi wanauandaa waoInasikitisha sana
Kwa upinzani upi?Hakuna wakati ambapo uchaguzi wa Tanzania ungekuwa mwepesi sana kwa wapinzani kama uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025. Ni wachache mno wanaoridhishwa na serikali hii ya awamu ya sita, kati ya hao ni wateuliwa, baadhi ya wanachama wa CCM wenye maslahi (asilimia kubwa ndani ya chama hawamkubali mwenyekiti wao), chawa na baadhi ya watumishi na wafanyabiashara wenye maslahi yao binafsi ambao wananufaika moja kwa moja na utawala huu.
Tofauti na hapo, hii ingekuwa nafasi kubwa na ya kipekee sana kwa wapinzani kuzichanga karata zao kushinda katika uchaguzi mkuu 2025.
Sishangai purukushani na jitihada kubwa zinazofanywa kuudhoofisha upinzani, hususan siku za hivi karibuni, kwani iko wazi na inajulikana kwamba endapo utawala wa awamu hii utasimama man to man dhidi ya upinzani ulio imara mithili ya ule wa Mrema vs Nyerere au Dr.Slaa vs Kikwete, hakika CCM won't stand a chance.
NB; Ni kweli tume si huru na ya haki, lakini watanzania sasa angalau wanauelewa, endapo upinzani ungeshinda kwa 80% na CCM kwa 20% tume ipi ingekuwa na jeuri ku 'temper' na matokea hayo ambayo yapo 'obvious'?
Malizaneni kwanza ndani Kwa ndaniUchaguzi wanauandaa wao
Wanausimamia wao
Ulinzi wanautoa wao
Matokeo wanatangaza wao
Hao watawaweza kweli
Oa
Mimi nishaamua kuwa mtazamajiMalizaneni kwanza ndani Kwa ndani
Hii comment itunzwe Ina kituHuu mwaka 2025 before mwezi wa Kumi Kuna mtu anaenda Kwa Sir God...tena mtu mkubwa Sana.
Afu naona kule Kwa wenzetu kunaenda kupasuka makundi makundi...afu wao watashinda kustaimiliana watavurugika Sana, Uku Kwa chukua chako mapema wale wazee wa zamani wa mifumo wataibuka na kuanza kudai haki ndani ya Chama na kuwashinikiza Jr's Kuachika hatamu lkn watashindwa apo ndo mtifuano pia utaanzia.
Walambaji asali, asali itawakolea afu watakuja kujisahau na ulambaji wao asali watakuja poteza Sana nafasi zao..watakuja ibuka sura mpya Sana kwenye mfumo wa kisiasa hasa vijana.