magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Mada hizi ni kuwatoa mchezoni Watanzania. Kuwaaminisha anayeshinda uchaguzi ni yule mwenye sera nzuri na anayekubalika na wananchi kitu ambacho sio kweli.
CCM hata wakilisimamisha fenesi litapita tu. Polisi wa kwao, tume ya kwao, wakurugenzi wa kwao. Unategemea nini?
CCM hata wakilisimamisha fenesi litapita tu. Polisi wa kwao, tume ya kwao, wakurugenzi wa kwao. Unategemea nini?