Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Nitashangaa sana Samia Suluhu Hassan akishinda tena urais 2025

Mada hizi ni kuwatoa mchezoni Watanzania. Kuwaaminisha anayeshinda uchaguzi ni yule mwenye sera nzuri na anayekubalika na wananchi kitu ambacho sio kweli.

CCM hata wakilisimamisha fenesi litapita tu. Polisi wa kwao, tume ya kwao, wakurugenzi wa kwao. Unategemea nini?
 
Back
Top Bottom