Nitawaambia nini wanachama? Nitajiunga na CCM ya Mzee Wassira endapo kwa namna yoyote Wajumbe wenzangu Watakula rushwa na kumchagua Mbowe

Nitawaambia nini wanachama? Nitajiunga na CCM ya Mzee Wassira endapo kwa namna yoyote Wajumbe wenzangu Watakula rushwa na kumchagua Mbowe

Ondoka, chama cha siasa ni imani,sio mtu.. wewe ni mtu wa maslahi.. kwani lazima Lissu ashinde..
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Kwani lazima ushabikie siasa ? Mbona kuna mambo tele ya kuyapatia mkazo, uzito na umuhimu kuliko hayo mavyama. Utakufa, utalemaa, au kufilisika bure.
 
kama ulijiunga Chadema kwa sababu ya mtu, uamuzi wako ni sahihi. Lakiji kama kilichokupeleka Chadema ni Itikadi, na falsafa iliyopelekea kuanzoshwa kwa chama hicho,ninyi ndio msiofahamu mnataka nini.
Samahani ikiwa lugha yangu sio sawa.
Sawa lakini sio rushwa
 
Earthmover tunaomba kura kesho kwa TAL na Heche na utusaidie kuomba kura kwa wengine hapo makao makuu,hii itasaidia kuokoa chama mtaani maana wajumbe 1200 hawawezi kushinda uchaguzi bali uchaguzi unashinda ukiwa na wanachama na washabiki.
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Jiunge tu hakuna namba....
 
Dalili mbaya imeonekana Bawacha .

Mbowe akishinda chama kutakuwepo lakini kitakua kama CUF ,NCCR na UDP.
Wananchi kwa kweli na viongozi wa chini hawatakua na uwezo wa kukabiliana na CCM .

Mbowe hatapata hasara maana kama ni pesa anazo na pia kiu yake ya kukaa kwenye kiti Muda Mrefu itakuwa imetimia .

Watakaopata hasara na kuumia mioyo yao ni wanachama wa kawaida ambao hawanufaiki na chochote zaidi ya kupinga ufisadi unaonufaisha wachache . Hata Morali wa kupiga Kura utapotea .

Hata Mgombea urais CHADEMA watakosa itabidi Mbowe agombee mwenyewe au agombee Wenje au Sugu au Bony Yai 😂😂😂😂😂😂😂.
Mpaka hapo chama kimeshakufa. Bawacha wamechemka wameweka msaliti wa wazi .
Mwakani CHADEMA litakua na wabunge wachache sana chini ya Mbowe tena wa viti maalumu akiwemo mwenyekiti wa Bawacha ambaye pia atapata uteuzi wa mama Samia . Hata pakiwa na Tume huru CHADEMA haitapata viti vingi maana vijana wengi na wasomi wengi hawataipigia kura maana hakuna watu wenye uwezo wa kuongoza nchi chini ya Mbowe. Lisu hawezi kukubali nafasi yoyote ya uongozi chini ya Mbowe ,hata kugombea ubunge chini ya Mbowe ni kupoteza maana kama amesema hafai kuongiza kwa sababu hana busara unampaje uongozi ?

Lakini Lisu akishinda basi ni wazi CHADEMA itapata viti vingi vya Wabunge hata wa viti maalumu watakua wengi.

Wasira hawezi kukabiliana na Heche milele.
Lakini kwenye uadilifu Wenje hawezi kukabiliana na Wasira .
Mbowe hawezi kukabiliana na Samia kwenye jukwaa wala Wasira maana ni wasafi kuliko Mbowe.

Mbowe akishinda hata kwa haki bado wananchi hawamtaki na hawataki kabisa kusikia habari za CHADEMA ya Mbowe.
Mbowe ajiulize Mbona Lipumba ni yule yule Profesa wa uchumi duniani lakini ameshindwa kuifufua CUF na hana ushawishi kabisa wa kuifufua CUF milele .

Wanaomshabikia Mbowe wanatumiwa kumpotosha ili kuiua CHADEMA . Na watafanikiwa kwa asilimia mia moja endapo wajumbe wataingizwa na Tamaa ya fedha . CCM wana jeuri ya pesa . Hata wakiamua kugawa bili. moja kwa kila mjumbe wanaweza kwa sababu waleshagundua kuwa Mbowe naye ana tamaa ya madaraka kama wao . Sasa ni bora wawape pesa halafu wasipate shida kwenye uchaguzi .

CHADEMA imevamiwa na Rushwa . Kwa sasa wananchi hawana nguvu tena ile waliyokuwa wanabiwa nguvu ya umma . Hakuna cha nguvu ya umma zaidi ya umimi .
WACHA MBOWE ASHINDE TUONE NINI KITATOKEA.....,HAO HAO WASIOMTAKA WATAKIMBILIA CCM AMBAKO WANASEMA MBOWE KAPEWA PESA!!
MSIGWA YUKO WAPI...
 
WACHA MBOWE ASHINDE TUONE NINI KITATOKEA.....,HAO HAO WASIOMTAKA WATAKIMBILIA CCM AMBAKO WANASEMA MBOWE KAPEWA PESA!!
MSIGWA YUKO WAPI...

Ni mpumbavu tu atabaki na Mbowe asiye na teuzi wa benki kuu wala mahakama na polisi na tume ya uchaguzi.

Unabaki CHADEMA kwa wakala wa CCM si bora ukae kiwandani kabisa kuepuka mateso .
Msigwa anaumia sana kwa sababu Iringa kwa Wahehe CHADEMA haikujengwa na Mbowe . Hakuna Mmachame aliyeuawa kwa sababu ya kukijenga CHADEMA Iringa.
Imani ya watu kwa siasa za upinzani haikujengwa kwa rushwa ni imani ya kiroho . Ni watu wanaochukia Ufisadi kutoka rohoni tangu ufisadi wa miaka kabla ya mwaka 1995 watu walipinga rushwa na ugobachori wa wageni kushirikiana na watawala kuibia nchi.

Musimdanganye Mbowe uovu na usaliti kwa binadamu ni Mbaya sana . Hatabaki salama. Karma ya damu za watu kupigania haki itamtafuna. Usione ni kwa nini JPM alidhibiti hivi vyama ikiwemo CCM na CHADEMA na upinzani kwa ujumla damu za watu wengi zimemwagwa kwa sababu ya dili za watu kama Mbowe na Lipumba .Kwa uzee wao wataishia kama Mrema na vyama vyao mfukoni.
Siasa za usanii wa Mbogwe na Lipumba ni Hadaa na miradi ya Watu kujipatia fedha kama halafu eti ni mfanya biashara na anasaidia chama kumbe uongo mtupu. Leo imebainika hata majimboni haziendi fedha . Anathamini pesa kuliko utu. Mapesa anayohonga leo kwa nini hakuwapa fidia familia za wahanga wa kukipigania chama kama Alfonsi Mawazo na Ally Kibao.

Kama CHADEMA ni sawa na CCM kwa ufisadi kuna haja gani ya kubaki CHADEMA kwenye mateso badala ya kwenda kuishi kwa raha CCM.?

Kama mnabisha subirini uchaguzi upite halafu Mbowe apite mikoani ndio mtajua kuwa hamjui . Hakuna mtu wa kuhangaika na siasa za kilaghai . Na pia mwisho wa wauza nchi sio mbali sana . Pesa za rushwa za DP World zimeingia kila mahali mpaka madhebahuni kwenye nyumba za ibada. Hili ni chukizo kubwa sana ,huu ni uovu mkubwa sawa na ushoga zamani za Sodoma na Gomora.Ushoga enzi za Sodoma na hata Leo ukipoonekana ni kitu cha kawaida kwenye jamii ndipo hasira ya Mungu ilipoweka juu ya nchi. Yaani hata leo mfano ubakaji usikemewe na wanaokemea wauawe na kutishwa na kutolewa kwenye uongozi basi kitakachofuata ni jamii kuingia kwenye balaa kubwa. Mfano tu yanayotokea huko USA yananyemelea Tanzania kama mfumo mzima utageuka na kuwa mfumo wa rushwa utekaji na kuwanyamazisha wanaokemea rushwa .

Nawahakikishia wale wote waliomsihi Mbowe ajiengue watajitenga na siasa za Mbowe.Unabalije kwenye siasa za watu wanaoneemeka na rushwa ndani ya Chama kutokana na kuwafurahisha CCM?. Kitakachofuata ni waovu ndani ya Chadema na wenzao ndani ya CCM kugombea madaraka ya kushika dola. Watauana kama kuku maana kwao damu za watu hazina thamani zaidi ya madaraka . Kule ishara imeshajionyesha.

Kama yule mtu mnyenyekevu kule Yule amejiondoa na kupumzika .Huko kwenu watu wema watabaki wakifanya nini ? Au mnafikiri ni lazima kufanya siasa za CCM na Chadema majukwaani ?
Leo Zito hayuko CHADEMA na maisha yanaendelea kwa uzuri kabisa .Na chama chake ndicho chama kikuu cha upinzani maana kimeshika dola kule Zanzibar pamoja na CCM .
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Pole
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Pole, yule mwamba , pesa kwake mmmh ? Mate ya fisi
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
🤣 🤣 🤣
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Wewe mwenyewe unamuogopa Mbowe ndio maana hutumii jina lako halisi, halafu unalaumu wenzio? PUMBAVU!!
 
Mbona haluelewi nguvu za sili zinavyofanya kazi ?
Mbowe hana mvuto kwenye jamii.

Mbowe akishinda chama kitapoteza nguvu na uchaguzi ujao chama kikuu cha upinzani kitakua ni ACT. Mbona Liko wazi . Hakuna mtu atakayeganya sisa za kisanii kwa manufaa ya Mbowe na watu wachache wanaonufaika na Ruzuku tu.
CCM inajengwa kwa sababu ya kubadilsha badilisha uongozi . Lakini pia kwa sababu ya kuwa na dola . Sasa CHADEMA hakina dola wala pesa halafu Mbowe anataka kulifanya kama kinaumuhimu sana kuliko vyama vingine huku akipuuza demokrasia na haki wa wengine kuongoza chama eti yeye tu ndiye anayeweza . Ujanja wote watu wameshamshtukia . Jiulize tu hicho chama kitamshimamosha nani kwenye uchaguzi ujao kama Mbowe atashinda . Kwa maana kuwa Lisu kwa akili yake kubwa hawezi kukubali kugombea urais wakati wamekataa kwenye Uenyekiti kwa kushirikiana na CCM na kwa kutumia pesa nyingi na kejeli. Lakini pia CCM itakubali vipi kushindwa wakati Mbowe ameonyesha wazi kuwa ukiwa madarakani ni lazima utumie mbinu zote kushinda kuliko kuachia uongozi kwa wengine . Mbowe ameonyesha wazi kuwa kugombea nafasi ya uongozi ni utovu wa nidhamu na kukosa shukrani ,sasa utawaambia nini CCM ? Nani atakubali tena kupoteza jimbo lake kwa wapinzani? Kwa nini mtu asitoa rushwa akawahonga baadhi ya wahuni kwenye vyombo vya dola na tume ili atangazwe yeye ? Yaani kabisa mbunge wa CCM au diwani akubali kushindwa wakati anaona kabisa Mbowe akishinda kwa mizengwe .?
Karma hua inalipa hapa hapa duniani. Mbowe akishinda kwa Hadaa karma itamkipa hapa hapa akiwa mwenyekiti atashuhudia chama kikifa na kupoteza umaarufu wake ,halafu kitafufuka baada ya yeye kuondoka maana ni chama kilichojengwa na watu kama CCM inavyopanda na kushuka lakini haipotezi wanachama wake bali inapoteza ushawishi mkubwa ukilinganisha na mwanzo kutokana na ufisadi na Hadaa za uchaguzi.

Tumwambie Mbowe ukweli japo ni ngumu kwa mfugaji kumrudisha ng'ombe anayekamuliwa kwa mwenye ng'ombe .
Umemaliza, Bila D mbili kuelea ngumu
 
Back
Top Bottom