Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Yaani Yanga inamiliki makomando?
We umewahi kumwona komando?
Hao wanajeshi wenye mafunzo ya ukomandoo mafunzo wamechukulia wapi?
Kwani Lady Jaydee alipata wapi mafunzo mpaka kujiita Komando Jide?

Mimi nawataja kama mabaunsa sio komando.

Mabaunsa ni watu wenye miili mikubwa afu ubongo kindude.

Komandoo ni mtu mwenye akili ama kweli kwenye hilo mna haki ya kupinga kuwa wale sio makomandoo.
 
Kwani Lady Jaydee alipata wapi mafunzo mpaka kujiita Komando Jide?

Mimi nawataja kama mabaunsa sio komando.

Mabaunsa ni watu wenye miili mikubwa afu ubongo kindude.

Komandoo ni mtu mwenye akili ama kweli kwenye hilo mna haki ya kupinga kuwa wale sio makomandoo.
Waraka wa umbumbumbuni ulisema kuwa makomando wa Yanga waliwazuia.
Sasa Yanga wana chuo Gani au depo Gani ya kutoa mafunzo ya makomando na kuwamiliki
 
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana

Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga

Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni

Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza

Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅

Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale

Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba

Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar

Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?
Una hoja mkuu utafika mbali
 
Waraka wa umbumbumbuni ulisema kuwa makomando wa Yanga waliwazuia.
Sasa Yanga wana chuo Gani au depo Gani ya kutoa mafunzo ya makomando na kuwamiliki
Ndio maana nimekuambia Jide naye ni Komando, mafunzo yake aliyapatia wapi?

Ila ni wote tunamtanbua kwa jina hilo.

Sasa kama wale mabaunsa walijitambulisha kuwa ni makomandoo ulitaka waseme migambo ili baadae wapate mwanya wa kukana kuwa hatukuwa sisi?
 
Ukiangalia sababu yao, utagundua tu ni imani za kishirikina ndiyo zilichangia! Au walikuwa wanatafuta kisingizio cha kuingia mitini.

Kinyume na hapo kama kuna dosari zilijitokeza, basi ilitakiwa mechi ichezwe na wahusika wa hizo dosari kuchukuliwa hatua. Ila siyo kususia mechi. Huu upumbavu.
Kabisa sababu kuu ni mbili;

1.Imani za kishirikina na uchawi(kwenye eneo hili simba hana mpinzani).

2.Simba kumuogopa Yanga kutokana na kuwakosa wachezaji wake muhimu.
 
Ndio maana nimekuambia Jide naye ni Komando, mafunzo yake aliyapatia wapi?

Ila ni wote tunamtanbua kwa jina hilo.

Sasa kama wale mabaunsa walijitambulisha kuwa ni makomandoo ulitaka waseme migambo ili baadae wapate mwanya wa kukana kuwa hatukuwa sisi?
Sikujua kama Lady jay Dee
Judith Wambura ni komando.
Ndo nasikia Leo kutoka Kwa mbumbumbu
 
Dakika 6 sasa tangu mechi ianze leteni updates.
Mwanaume akimbii uwanja wa mapambano.

Hata kama una kikosi dhaifu na wachezaji wako tegemeo(Camara na Ateba)ni majeruhi naamini sisi Yanga ni waungwana sana.

Tusingekupiga kono la nyani.
 
Mwanaume akimbii uwanja wa mapambano.

Hata kama una kikosi dhaifu na wachezaji wako tegemeo(Camara na Ateba)ni majeruhi naamini sisi Yanga ni waungwana sana.

Tusingekupiga kono la nyani.
Unasema "mwanaume" kuonesha ego at the end hiyo ego haiwi applied zaidi ya imani za kioumbavu za ushirikina.

Kama wewe unajiamini ni mwanaume unayeweza kunyooshea vidole ambao hawajashiriki mechi kutokana na ukiritimba wenu wa kishirikina.

Kwanini usijuiulize swali hilo hilo kuwa kama sisi ni wanaume kweli kwanini tuingie uwanjani kwa kuruka ukuta?

Kwanini tufike uwanjani separately basi likiwa tupu halina wachezaji then kika mtu anakuja randomly mara mwingine aje na boda, wengine wamejipakia kwenye guta.

Ili iweje? Nadhani hii peke yake inatosha ku question huo uanaume wenu.
 
Unasema "mwanaume" kuonesha ego at the end hiyo ego haiwi applied zaidi ya imani za kioumbavu za ushirikina.

Kama wewe unajiamini ni mwanaume unayeweza kunyooshea vidole ambao hawajashiriki mechi kutokana na ukiritimba wenu wa kishirikina.

Kwanini usijuiulize swali hilo hilo kuwa kama sisi ni wanaume kweli kwanini tuingie uwanjani kwa kuruka ukuta?

Kwanini tufike uwanjani separately basi likiwa tupu halina wachezaji then kika mtu anakuja randomly mara mwingine aje na boda, wengine wamejipakia kwenye guta.

Ili iweje? Nadhani hii peke yake inatosha ku question huo uanaume wenu.
My wetu umeamua kukimbia.

Sio mbaya tutakutana na tutakufunza adabu tu.

Utake usitake.

Labda ukimbie kucheza na sisi milele au ukimbilie ligi ya Burundi.
 
Kwakua utopolo mmeshindwa kufata sheria sasa mtawajibika kucheza siku simba itakayoamua hiyo ni amri na siyo ombi utopolo wakubwa nyie
 
Ndo nimesema nitawadharau
Haiwezekani Simba wafanye uhuni halafu Yanga waandae timu mara mbili kucheza mechi 1
Kwa Yanga kuweka mabaunsa watafuna mirungi waizuie Simba kufanya mazoezi hujawadharau?

Hivi ni kweli mabaunsa wanao uwezo wa kumzuia mchawi?

Ubaya Ubwela 😂😂
 
Kwa Yanga kuweka mabaunsa watafuna mirungi waizuie Simba kufanya mazoezi hujawadharau?

Hivi ni kweli mabaunsa wanao uwezo wa kumzuia mchawi?

Ubaya Ubwela 😂😂
Yanga hajaweka baunsa yoyote
Yanga hakuwa uwanjani
Uwanjani waliokuwepo wamiliki wa uwanja
Yanga hakuwa na matumizi ya uwanja muda huo
 
Majini Yao yatanyonya damu zao shubamit🤣 yalishafunguliwa hayawezi kulala njaa😁
 
Muda ukifika huyo raisi wako wa klabu atapokea maelekezo tu kutoka kwa wakubwa wake.
 
Yaani mgeni unaenda Kwa mwenyeji wako bila taarifa
Bodi ya ligi wamekiri kuwa Simba hawakuwapa taarifa za ujio wao mmiliki wa uwanja, kamshina wa mchezo wala mwenyeji Yanga
Walikuwa kufanya mazoezi usiku vip gizani bila mwanga
Maana wamiliki hawakuwa na taarifa za ujio wao kuwa waweke sawa miundo mbinu ya umeme
Nipe Kanuni iliyowataka Simba SC watoe taarifa, na kanuni iliyotamka muda rasmi wa kufanya mazoezi kabla ya mechi husika.
 
Back
Top Bottom