Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habbar kinavyosomeka hapo juu
Dah inauma sana lakin ndo hivo kwaherin ndugu zangu, week ijayo yaan jumanne inatakiwa niwe nishafika shule maana shule tumefungua
Na shule ninakosoma ni bording hivyo huwa haturusiwi kuwa na simu pia hata home huwa hawaniruhusu kwenda na cm shule hivyo huwa naiacha home
Nitawakumbuka sana ndugu zangu masela zangu, bro zangu na sister zangu
Tutaonana tena mwez wa tatu maana huwa likizo fupi
Tuliogombana naomba mnisamehe sana nami nishawasamehe
Baba wa mbingun awabaliki sana panapomaajaliwa mwez wa tatu tutakuwa wote
Naomba mniombee sana nipige kitabu wakuu
Nitawakumbuka sana
By by
LONDON BOY
Kama kichwa cha habbar kinavyosomeka hapo juu
Dah inauma sana lakin ndo hivo kwaherin ndugu zangu, week ijayo yaan jumanne inatakiwa niwe nishafika shule maana shule tumefungua
Na shule ninakosoma ni bording hivyo huwa haturusiwi kuwa na simu pia hata home huwa hawaniruhusu kwenda na cm shule hivyo huwa naiacha home
Nitawakumbuka sana ndugu zangu masela zangu, bro zangu na sister zangu
Tutaonana tena mwez wa tatu maana huwa likizo fupi
Tuliogombana naomba mnisamehe sana nami nishawasamehe
Baba wa mbingun awabaliki sana panapomaajaliwa mwez wa tatu tutakuwa wote
Naomba mniombee sana nipige kitabu wakuu
Nitawakumbuka sana
By by
LONDON BOY