Nitawamis sana kwaherini JF, shule zimefunguliwa naenda shule tutaonana mwezi wa tatu wakuu

Nitawamis sana kwaherini JF, shule zimefunguliwa naenda shule tutaonana mwezi wa tatu wakuu

Dogo umeenda shule na simu???
a33cfd0a072d84e6c6a7a2308ec290d9.jpg
Ana miaka 25 ndio kwanza kaingia 4m4?
 
Kidato cha nne mambo yooote, Wajua!!! Una kipaji mdogo wangu/mwanangu!!
 
Maisha ya shule ni Safari ndefu
Vumi vumilia ni Safari ndefu
Asiyependa shule ni Mjinga kabisa
Barua ikija anashindwa kusoma
Mabata Madogo Madogo
Yanaogelea katika maji
Yanaliaa kwakwakwaa na vichwaa juuuuuu

Nimekumisi wewe mwanadada
 
Patatulia kidogo. Unaacha kusoma,unashinda JF muda wote ukikaririshwa kidato unalia. Nenda salama.
 
Back
Top Bottom