raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yap huyu inaonekana kuna vitu anatumia au la sivyo amekulia kwenye mazingira ya watu wenye kutukana ovyoTatizo ya hawa watoto wanatumia Madawa ya kulevya Yanawafanya waone watu wote sawa na kila neno wanaloongea hawana kosa..
ILi pia lina ukweli maana Mama yake mwenyew yuko njema..Yap huyu inaonekana kuna vitu anatumia au la sivyo amekulia kwenye mazingira ya watu wenye kutukana ovyo
Kila siku watu wakisema huko wcb wao kuuimba matusi kutetea ugasho ndy zao kuna watu wanabishaga,Mambo ya Mombasa ndio amechanganya kwenye sanaa yake.
Leo ndio naona comment ya RaraareeYap huyu inaonekana kuna vitu anatumia au la sivyo amekulia kwenye mazingira ya watu wenye kutukana ovyo
Kaka yake si yule o.kopa auYap huyu inaonekana kuna vitu anatumia au la sivyo amekulia kwenye mazingira ya watu wenye kutukana ovyo
Inaaikitisha sanaKila siku watu wakisema huko wcb wao kuuimba matusi kutetea ugasho ndy zao kuna watu wanabishaga,
Hyo akipimwa marinda ni fumuuu
Ila utashangaa ataombaa msamaha akiongozwa na boss wake ..... kazi inaendelea
Ova
Alafu utasikiaaa mm kioo cha jamii,role model 😄Inaaikitisha sana
HeheeAlafu utasikiaaa mm kioo cha jamii,role model 😄
Ova
Yule muimba taarabu aliye RIPKaka yake si yule o.kopa au
Ova
Kinara wa nyimbo za matusi hapa bongo ni yule aliyeimba.....ayo matusi yame anza kuimbwa na Zuchu ?
HahhaaNaipongeza nchi ya Zanzibar
Duuuuu hiii hatari wamechoka kuimba hawa washenzi sanaAliiimba matusi Hadharani..Zanzibar ya kuhamasiha ushoga
View attachment 2925119
Kwanini?Hao BASATA wenyewe niwakufukuza kazi.
Kwanini?Hao BASATA wenyewe niwakufukuza kazi.
Manyimbo machafu na matusi kibao. Kwanini wambane huyo?Kwanini?
Mwenyewe kapiga na Kitambaa cha Chama fulani cha kijani.Aliiimba matusi Hadharani..Zanzibar ya kuhamasiha ushoga
View attachment 2925119