Nitaweza tena kuishi na mwanamke...?Je ntafanyaje nisije pitia haya nayo Pitia.Na wewe ulie wahi kupitia haya uliponaje ukakaa sawa.

Nitaweza tena kuishi na mwanamke...?Je ntafanyaje nisije pitia haya nayo Pitia.Na wewe ulie wahi kupitia haya uliponaje ukakaa sawa.

Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
General nguli una kwama wapi?? Aiseee simama kiume hzo KAULI za kawaida sana usiyumbe
 
Blaza umekutana nae ukiwa na umri wa miaka mingap!? Kabla ya yy ulikuwa unaishije!?, Kama mama Yako alie kubeba miez tisa na kunyonyeshaa miaka miwili huenda na Zaid alikubal kukuacha ww uwende zako na ww pia unaweza muacha huyo mwanamke aende zake maana naona kabisaa utazeeka kabla ya siku
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Ndoa na kuoa ni ufala acheni upumbavu achana na hao mangedere hawana tofauti na vibwengo maji
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Niko iyo unayoiita 40+ naishi peke yangu huu mwaka wa sita.Nna furaha Tele sina stress.Japo nliyopitia kwenye ndoa si madogo, namshukuru Mungu bado naishi [emoji1666]
 
Bila kujali nani na nini ni chanzo cha mgogoro, kama, mwanamke akikwambia hakutaki hata kama anakutania, kuwa makini sana.
 
Niko iyo unayoiita 40+ naishi peke yangu huu mwaka wa sita.Nna furaha Tele sina stress.Japo nliyopitia kwenye ndoa si madogo, namshukuru Mungu bado naishi [emoji1666]
Kaka mimi ndoa naiogopa kama ukoma sugu.Sasa nayo pitia sijui ntapona lini.
Hapa nimepata wazo niwe na mahusiano tuu akitaka ndoa basi asepe tuu wazi wazi.
Maana hata sijui nlifuata nini kwenye ndoa ukilinganisha na haya nayo pitia.
 
Ndoa ni ya watu wawili, ukianza kuona mwenzako kila kitu anahusisha ndugu au marafiki kwenye maamuzi au maisha yenu ujue hakuna ndoa hapo, jua unaishi na mwehu kimbia usiangalie nyuma, wewe unaonekana una hiyo tabia ndio maana kakuambia kachoka ndugu zako, acha
 
Kaka unachosema ndo hicho.Kaka huyu mwanamke ni Jeuri mpaka najuta.Ila sasa huu mwaka 5 naishi nae.Sasa dah
km ni mjeuri na kaamua kusepa mwenyewe mbn simpo tu. we endelea na life lako km hakuna kilichotokea akikutaka atakutafuta yy mwenyew fullstop. akirudi tena umpe principal zako km azitaki muache asepe zake. wapo wengi ao usiumize kichwa
 
Pesa ndo dawa ya mwanamke....tafuts pesa ndoa itapona tu. Stress za msisha na maugomvi ya ndoa huisha mume akiwa na pesa. Ukiwa na pesa hata mkeo akiujua mchepuko wako atakusamehe tu kiroho safi.
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Kuwa Muislam uweze kuwaha na kuoa wengine.

Bila ya hapo, kila mmoja wenu ataanza kuchepuka tu, tegemea kulea watoto si wako.

Uislam ni mwema sana.
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Jenerali wa jeshi mzima unalia lia.
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Una miaka mingapi? Na mwenzako ana umri gani?Ili kujua iwapo hivyo vinawezakuwa na mchango katika shida mnayoipitia.
 
Hawa viumbe Mungu ndio anawajua, kwenye urafiki anaficha kila kitu.......ngoja NDOA...

Ndio maana kwenye Harusi watu wengine wana sherekea saaana, kumbe wameondokewa na Tatizo na kulikabidhi wewe😅
 
Wakubwa zangu poleni na uchovu.

Ndugu yenu na Msongo wa Mawazo.Nawaza sili nikashiba silali.
Naishi maisha Magumu mno. hii ni
Baada ya mkewangu kunitamkia wazi haniitaji tena amechoka na maisha yangu ya ugomvi usio isha na pia ndugu zangu hawamtaki.

Ikiwa kugombana kupo japo chanzo ni ujeuri wake kiburi pia dharau mpaka kwa marafiki na Jamaa zangu.
Ghafla tuu kamchukia mtoto na dada wakazi kaondoka nae kwa ndugu zake.

Labda niulize wewe ulie wahi pitia haya maisha uliponaje.
Uliwezaje kukaa sawa
Na Je.? Mimi ntaweza penda tena mwanamke kama huyu nikaanza maisha mapya na kukaa sawa.

Ila kitu kinacho itwa NDOA, MKE ni vya kutazama kwa Jicho la Tatu na Lanne.
Maana kwa umri huu navyo umia hivi na hisi ningekuwa na Age ya 40+
Sukari Presha vingeniua.

Naombeni Msaada mwenzenu.
Bro huyo mwanamke ameshapata mtu mwingine ndio maana anajeuri ya kukuambia hivyo.

Kifupi subiri jamaa ajinyandulie achoke Amtose labda atafukiria kurudi kwako ila kama plan c bado utaendelea kusubiri na huyo plan c anyandue achoke.

Wewe utakua ni option ya mwisho kabisa akikosa kwa kwenda hivyo atafikiri kukurudia wewe.kwa sasa tulia tu na ukubari umeachwa sasa ukijifajifanya mjuaji utapigwa na kitu kizito zaidi ya hiki
 
Acha ujinga, tafuta mrembo mdogo between 20s awe mrembo kushinda yeye na hakikisha anajua, trust me ndani ya mwezi tu utamkuta mlangoni.

Mwanamke atakuendesha akijua huna second option, lakini akitambua hilo atakuheshimu na kukunyenyekea.

Man the fuk up. Usisikilize hawa feminist na wanawake wa humu.
 
Back
Top Bottom