Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

😁😁😁
 
Anhaaa kumbeee
 
Kwani Bitcoin wenzetu wanazitaka ili iweje!? Wawe nazo tuu au wazitumie kupata hela!? πŸ™‚ πŸ˜€

Wacha wao wazitafute sisi tutawajengea na kuwauzia mafuta ya magari yao.. mboga mboga sokoni.. maana ninauhakika hawatakula Bitcoin zote.. chache watatuletea njaa ikiwakamata πŸ˜€
 
Wanalazimisha uweke kamilioni kako na wenzio kama efu mbili hivi wazipige waendelee kukaa viti vilefu wewe urudi shamba kutoa jasho tena
 
😁
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“πŸ“ Pinned
 
Mkuu kwani unalazimishwa kusoma hizo nyuzi,? kila kitu kina audience au wateja wake! Usilazimishe misimamo yako iwe sawa kwa wote
Mbona nyie mnalazimisha mtakavyo acha na yeye aseme anacho jua mgeuze wenzenu mitaji tuendelee kupeana elimu
 
Bitcoin ni wizi.. only in this haina wa kumlaumu.. ni Deci isiyokuwa na mmiliki.. nenda at your own risk... Maana si kama Qnet kwamba utawaround up uwapate mrejeshewe... Hivi ukipigwa umepigwa na ukipiga umepiga... Iko hivyo yani

Njaa ni kali sana Duniani.. hata weupe wanatapeli.. Hizi mambo zote ni group lile lile la Qnet Etal πŸ™‚

Jiepusheni navyo... Hakuna mali ya bure.. Fanya kazi Zalisha.. Ongeza thamani.. hawa wapiga kamari kwenye hustle za Watu achaneni nao.. waendelee Kubet..

Naantombe Mushi Bitcoin ni upatu uliochangamka na unakautapeli kengi tu. Amka
 
Pole mkuu ndo kama kamali tu unakosea kidogo tu au wenzio wanakula tu ila wewe sasa ukiweka
 
Sikiliza, watakao ona inafaa watachukua, na nyie mnaoona haina maana basi piteni kando ! mbona ni rahisi sana kuelewa
Kwa nini wanaopinga wapite kando na wanamchango wao wa mawazo kila mtu na uwelewa wake acheni tuchukue elimu kote kote
 
mkuu una pdf ya hili gamba la no bull: my life in and out of markets?Kma una pdf fanya kunisogezea ndugu yako
 
Sio tu forex.. financial markets nzima imekuwa na faida kwa watu.. yaani kusema tu hivo basi.. watu wanadhani eti ni unataka kuwalaghai watu..
Asiejua maana haambiwi maana mkuu, bt aliefanya forex ionekane ni uhuni humu ni Ontario
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…