Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Hapana

Mimi nilifundishwa na wazazi wangu kwamba ukitaka kua tajiri na ukafanikiwa maishani na ukawa na furaha,jenga vitu kwa mikono na ubunifu wako ukatafuta wateja wakawauzia ukapata kipato ukaendesha kampuni yako ikafanikiwa..

Nilipofika shuleni,walimu na maprofessors wangu waliniambia fanya innovation,design,jenga,tafuta wateja uza pata fedha,tumia kwa uangalifu,flip again,maximize tena tena....

Hela za kwenda Bitcoin sizipati hewani,nazipata kwa kuendesha biashara yangu kwanza nipate hela ndio nije huko

Kuja huko bila kua na real business ni wizi,hatuwezi jenga taifa la kuuza bitcoins na forex tu,lazima tuzalishe kwa mikono,tushike tope,tugundue viwanda tutoe bidhaa tuuze kwa wateja,sio hizo blah blah

Na vitabu,siomi vitabu vya motvational speakers...nasoma real people with real experiences na hivi vya eti hatua 5 za kufanikiwa,and other blah blah
😁😁😁
 
Ndiyo nikakuambie kuwa wema wa kuwafunulia fursa wengine hapa Bongo hauko. Nazungumza kutokana na uzoefu wangu. Japokuwa wewe unaweza kudhani unafanya hivyo kwa ajili ya ''wema wako tu'' lakini nakuhakikishia sivyo (japo ni kweli kabisa unaweza usiwe na nia yoyote ya kumtapeli mtu). Kama una idea ndogo kwenye mambo ya psychology, mara nyingi mtu anapofanya jambo ambalo hana uhakika nalo atapenda sana kuwavutia wengine walifanye.... kwa kifupi ni ule usemi wa ''kifo cha wengi...'' (japo hata wewe unaweza usijue hilo bali subconscious mind yako ndiyo inakutuma)
Anhaaa kumbeee
 
Hapana

Mimi nilifundishwa na wazazi wangu kwamba ukitaka kua tajiri na ukafanikiwa maishani na ukawa na furaha,jenga vitu kwa mikono na ubunifu wako ukatafuta wateja wakawauzia ukapata kipato ukaendesha kampuni yako ikafanikiwa..

Nilipofika shuleni,walimu na maprofessors wangu waliniambia fanya innovation,design,jenga,tafuta wateja uza pata fedha,tumia kwa uangalifu,flip again,maximize tena tena....

Hela za kwenda Bitcoin sizipati hewani,nazipata kwa kuendesha biashara yangu kwanza nipate hela ndio nije huko

Kuja huko bila kua na real business ni wizi,hatuwezi jenga taifa la kuuza bitcoins na forex tu,lazima tuzalishe kwa mikono,tushike tope,tugundue viwanda tutoe bidhaa tuuze kwa wateja,sio hizo blah blah

Na vitabu,siomi vitabu vya motvational speakers...nasoma real people with real experiences na hivi vya eti hatua 5 za kufanikiwa,and other blah blah
Kwani Bitcoin wenzetu wanazitaka ili iweje!? Wawe nazo tuu au wazitumie kupata hela!? 🙂 😀

Wacha wao wazitafute sisi tutawajengea na kuwauzia mafuta ya magari yao.. mboga mboga sokoni.. maana ninauhakika hawatakula Bitcoin zote.. chache watatuletea njaa ikiwakamata 😀
 
Financial market ni sekta kama sekta zingine

Kuna nyie mlioko huko,na kuna sisi tupo sekta zingine,wote hatuwezi kua Financial Markets sector kama nyie

Tatizo mnataka kutulazimisha wanadamu wote tuje Financial Markets sector....hatuwezi!

Na the real people waliopo kwenye Financial Markets sector hawataki kusikia utapeli wa Forex Trading na Bitcoin nonsense,shida nyie mnatufata sisi tusiojua Financial Markets sector mnatulizamishia tuingie kwavile hatujui lolote,mnasema mtatu offer training,another nonsense!

Kwanini nyie mlioko huko Financial Markets sector mbaki huko huko mjenge mapesa mengi mje kutukopesha sisi huku manufacturing kwa riba walao mtakua mmetusaidia zaidi...

Kuliko huu uchuuzi wa kulazimisha everybody aje huko ili mmtumie kama mtaji?

Nyie mlioko huko pigeni hela wachache hivyo hivyo,waacheni sekta zingine waendelee kupotea,cha ajabu hamlali mnawang'ang'aniza waje kwa lazima ujue you people are not up to anything good kabisa!
Wanalazimisha uweke kamilioni kako na wenzio kama efu mbili hivi wazipige waendelee kukaa viti vilefu wewe urudi shamba kutoa jasho tena
 
Kwani Bitcoin wenzetu wanazitaka ili iweje!? Wawe nazo tuu au wazitumie kupata hela!? 🙂 😀

Wacha wao wazitafute sisi tutawajengea na kuwauzia mafuta ya magari yao.. mboga mboga sokoni.. maana ninauhakika hawatakula Bitcoin zote.. chache watatuletea njaa ikiwakamata 😀
😁
 
This is PRIMITIVE kilichobadilika ni platform inakofanyikia Hii issue ya electronic coins.

Hapo katikati kulikuwa na Mchezo wa Rupia ya mjerumani... Very clever scheme.. mtu anakuja Bushi ananunua pasi sijui ina alama gani na Rupia.

Mnunuzi anajifanya ameweweseka kwa alichokiona ..anadai kwa kuwa hela ni nyingi hana uwezo wa kulipa, anamuomba mwenye mali.. ambaye hajui hata thamani yake waelekee pamoja mjini wakamuone dealer Mkuu.

Wanafika kwa dealer, naye anaogopa mmh.. hii hana hela yake.. na biashara Hii mwiko uzurumaji.. 🙂 ila wapo wagiriki Nairobi wanaweza kabisa kununua. Hapo unakuta value inaongelea milioni 300 kwa coin.. 🙂 (matapeli sio Watu)

Mwisho kabisa unakuta coin imekosa alama moja tu au nukta imekosekana.. au mwaka haumatch basi mnarudi.. hapo mko hyped mnaanza kuisaka yenye mwaka unaotajwa.. 🙂

Mara mnasikia kuna mtu Sumbawanga anayo.. mnasafiri mnafika yeye anakuwa kauzu hana mpango na maujinga yenu ya safari kama mnataka mmpe hela.. 🙂

Anataja hata milioni 100 hapo ndio inakuja kama inakataa.. unakuta mzee kauza nyumba kwenda kununua coin ya mjerumani, mara pasi.. sijui sufuria 🙂 😀

Long story short Bitcoin ni kitu kile kile.. value ni perception... Na Watu wachache wanaweza wakaamua hata kinyesi cha kanga kiwe na value ..ukiwa Mjinga utajikuta unakimbilia kila utumbo wa kuku unaoanikwa...

Universally agreed upon system ipo.. kuliko kukaa unapoteza muda kumine Bitcoin.. mine information it's far more great and valuable than huo utumbo.

Na ulisha lipa 23000$ mkawa wengi somehow.. value inashuka mpaka zero unakuwa umepoteza kila kitu... Maana hizi coin haziko stable na hakuna system ya kucontrol hilo..

#Ushauri#
Utajiri uko sehemu mbili tu.. Either ukae kwenye supply side of money.. Banking and Insurance etc. Au ukae kwenye Assets.. where money is spent.. Industries, Real estate etc... Wengine wote hapa katikati wanacreate vallue for the two groups... ASSETS HOLDERS AND MONEY SUPPLIERS.
📌📌📍📍 Pinned
 
Mkuu kwani unalazimishwa kusoma hizo nyuzi,? kila kitu kina audience au wateja wake! Usilazimishe misimamo yako iwe sawa kwa wote
Mbona nyie mnalazimisha mtakavyo acha na yeye aseme anacho jua mgeuze wenzenu mitaji tuendelee kupeana elimu
 
Bitcoin ni wizi.. only in this haina wa kumlaumu.. ni Deci isiyokuwa na mmiliki.. nenda at your own risk... Maana si kama Qnet kwamba utawaround up uwapate mrejeshewe... Hivi ukipigwa umepigwa na ukipiga umepiga... Iko hivyo yani

Njaa ni kali sana Duniani.. hata weupe wanatapeli.. Hizi mambo zote ni group lile lile la Qnet Etal 🙂

Jiepusheni navyo... Hakuna mali ya bure.. Fanya kazi Zalisha.. Ongeza thamani.. hawa wapiga kamari kwenye hustle za Watu achaneni nao.. waendelee Kubet..

Naantombe Mushi Bitcoin ni upatu uliochangamka na unakautapeli kengi tu. Amka
 
Yani jinsi bei ya bitcoin inavyozidi kwenda juu ndivyo majuto yanavyokuwa mengi kwa upande wangu natamani miaka irudi nyuma mpaka angalau 2019 February ila siwezi

Mwaka huu mkubwa kwa waliozichanga karata zao vyema kwenye hizi issue za cryptocurrencies wamepiga pesa nzuri tu.Kuna kitu wanaita DEFI & yield farming watu wameweza kupata pesa walizowekeza kwa zaidi ya 2000%

Nina majuto makuu ningejua ningeitoa kafara hata laki 5 niweke kwenye hays madude sasa hivi ningekuw na $5000 ama zaidi
Pole mkuu ndo kama kamali tu unakosea kidogo tu au wenzio wanakula tu ila wewe sasa ukiweka
 
Sikiliza, watakao ona inafaa watachukua, na nyie mnaoona haina maana basi piteni kando ! mbona ni rahisi sana kuelewa
Kwa nini wanaopinga wapite kando na wanamchango wao wa mawazo kila mtu na uwelewa wake acheni tuchukue elimu kote kote
 
Kwanini usinichukulie kama economic activist? Kwani hawa wanaharakati ambao kwa mfano wanapigania haki kwa mfano za watoto ama haki nyingine zozote, wanapata nini in return?

Watu wengine, tunapenda tu kutoa elimu kwa watu... Hayo unayowaza wewe kwamba labda mtu ana hidden agenda, hiyo ni uamuz wako kufikiri..

Lakini pia ukipitia uzi mzima, kuna watu kibao nimewaelekeza wakavisome hivi vitu google ili kuvielewa zaidi.. Na kwenye huu uzi sijasema natoa training wala sijadai chochote.. sasa mpaka hapo kwanini watu mnadhani kwamba nna hidden agenda?

Yaani mtu kuwa mwema nayo ni suala la kuhoji? Wengine ndo tupo hivo
mkuu una pdf ya hili gamba la no bull: my life in and out of markets?Kma una pdf fanya kunisogezea ndugu yako
 
Sio tu forex.. financial markets nzima imekuwa na faida kwa watu.. yaani kusema tu hivo basi.. watu wanadhani eti ni unataka kuwalaghai watu..
Asiejua maana haambiwi maana mkuu, bt aliefanya forex ionekane ni uhuni humu ni Ontario
 
Back
Top Bottom