Nitumie PM ya wazo zuri la biashara! Mtaji Milioni 15 nitaweka pesa

Nitumie PM ya wazo zuri la biashara! Mtaji Milioni 15 nitaweka pesa

Kumbuka stori ya mgogoro wa Bongo Star Search.
Kijana alieandika lile wazo mpaka sasa analilia na idea yake inasonga
Iko haja ya kuweko mikataba ya kisheria kwenye haya mambo nakumbuka kuna kijana mmoja alikuwa DJ wa muziki akakutana na mzungu akamwbia kwa nini usianzishe radio akasema Sijui pa kuanzia wa kuishia .Mzungu akamweleza Kila kitu hadi vyombo apate wapi nk akasema hela mimi Sina nimekupa wazo basi kijana akaenda kwa tajiri mmoja kumweleza hilo wazo akiomba asaidiwe hela ila hakueleza kwa undani.Tajiri akamwambia kaandike vizuri Kila kitu nisome niangalie nakusaidiaje.Akaandika vizuri mno Kila kitu kwa undani.Alikaa miezi minne Kila akiulizia tajiri anasema yuko busy hajapitia.Mwezi wa tano akakuta redio iko hewani tajiri kaanzisha ya kwake na akakata mawasiliano na Yule kijana Moja kwa Moja.Labda utusaidie kwa mtoa wazo ulinzi wa idea yake kisheria umekaaje? Yasi mkute ya wa radio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko ndo stak kuskia kabsa ,nshafanya kilichotokea,tumeweka 11m mwisho wa siku tukapata 6m,hasara kubwa,hakuna cha vitunguu,wala matikit maj wala nin.kilimo kinahtaj science na uzoef uliotukuka,..sasa hiv nataka biashara ya papo kwa papo,yaan nipate sehem ya kusuply somethin,nalipwa nasepa baaas.kama ni malighafi na supply mahali nalipwa changu nasepa


@jason statham 2
 
Ndo kama hivyo...wazo kama nzuri mimi nitaweka huyo pesa...tutashirikiana kuifanya wote,..wewe utakula 35% mimi 65%.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nafanya biashara ya vifaa vya simu mwaka wa 7 sasa.
Nimepitia mengi ila nimepiga hatua.
Karibu.
Mi kupatia hapa sebuleni

A

1. Chumba 100000*6 = 600000/=
2. Vyautundikia 3 *130000 390000
3. Vyuma vya kutundikia 1500* 300 = 450000/=
4. Kabati 2 kubwa 1000000/=
5.

Manunuzi mimi nitakuuzia vifaa vyote kwa bei ya kwa sadaka.
1. Glass protecta 700 * pc 1000= 700000
2. Glass za 3d sh 3500 *200 = 700000
3. Makava Autofocas sh 1500 *200=700000
4. Betri bl5c original 5000 *pc 20 =100000
5. Betri bl5c kawaida 2000*pc 50=100000
6. Kobe digital 2000 *20= 40000
7. Kobe kawaida 1500*50= 75000
8. Makava mazur ya wadada 3500*pc 100=350000
9. USB nzuri pc 10 * 1500= 15000
10. Chaja nzuri 3500*50= 175000
11. Makava classic ya Samsung na iPhone 10000 pc 20= 200000.


B

Simu
1. 349 25000 * 20= 500000
2. Itel 20000 *20= 400000
3. Tecno Spak 2 230000 *2 =460000
4. Camon x 2 365000= 730000
5.

C
Laini za tigopesa na mpesa 300000
Utazipa flot kama ya 3000000

D.
Vitu vingine vya kuchanganya kama
1. Cable
2. N.k duka lisiuze hakuna kama 200000

Jumla ni kama 12ml



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nafanya biashara ya vifaa vya simu mwaka wa 7 sasa.
Nimepitia mengi ila nimepiga hatua.
Karibu.
Mi kupatia hapa sebuleni

A

1. Chumba 100000*6 = 600000/=
2. Vyautundikia 3 *130000 390000
3. Vyuma vya kutundikia 1500* 300 = 450000/=
4. Kabati 2 kubwa 1000000/=
5.

Manunuzi mimi nitakuuzia vifaa vyote kwa bei ya kwa sadaka.
1. Glass protecta 700 * pc 1000= 700000
2. Glass za 3d sh 3500 *200 = 700000
3. Makava Autofocas sh 1500 *200=700000
4. Betri bl5c original 5000 *pc 20 =100000
5. Betri bl5c kawaida 2000*pc 50=100000
6. Kobe digital 2000 *20= 40000
7. Kobe kawaida 1500*50= 75000
8. Makava mazur ya wadada 3500*pc 100=350000
9. USB nzuri pc 10 * 1500= 15000
10. Chaja nzuri 3500*50= 175000
11. Makava classic ya Samsung na iPhone 10000 pc 20= 200000.


B

Simu
1. 349 25000 * 20= 500000
2. Itel 20000 *20= 400000
3. Tecno Spak 2 230000 *2 =460000
4. Camon x 2 365000= 730000
5.

C
Laini za tigopesa na mpesa 300000
Utazipa flot kama ya 3000000

D.
Vitu vingine vya kuchanganya kama
1. Cable
2. N.k duka lisiuze hakuna kama 200000

Jumla ni kama 12ml



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ninunue biashara yako ama sjakuelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok it depends solely na wapi unaendesha biashara yako na profit margins gani unahitaji..

Mimi nilishawahi kutana na mtu mwanza..kamaliza masters SAUT na hiyo ndo biashara yake ila ni kwa mwanza tu.Yeye anachukua kuku shinyanga vijijini na kuwaleta mwanza,

Mchanganuo wake hadi kumfikisha kuku mwanza ni 8000 na anauza mmoja kuanzia 12000 na inategemea na msimu wenyewe..

Ukisema watanzania haimaanishi wa DSM.. ukienda mikoani watu ni traditional na bado hawaamini hata katika processed stuffs.. mtu hataki sembe ndo uje umlishe broiller !!!!.... angalia hata katika sehemu nyingi za starehe mikoani ni kuku yupi anapikwa na kuliwa soup zaidi..obviously ni wa kienyeji

So it solely depends na aina ya biashara na aina ya wateja wako.. kingine nachoendelea kujifunza ni kuwa "Ukiifikiria pesa kabla ya biashara then ni rahisi kufeli, Biashara si kazi kuianzisha ila kuikuza na kufanya sustainance, hii hutegemea creativity, persistence na msingi wa biashara yenyewe"

Mimi sio mfanyabiashara ila aina ya kitu nachofanya ndo kimezungukwa na wafanyabiashara...

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwez kumuambia mtu kwenye biashara asifikirie pesa wakati kaweka pesa yake
Huo uhusiano haupo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_3666.JPG



Wapigie jamaa hao watakusaidia
 
Mawazo 3 mazuri ninayo lakini ni lazima tuweke mikataba na makubaliano kisheria.
 
Mimi kwenye kushirikiana haitawezekana maana nafasi ndogo....lakini nina kijiwazo kama upo dar

Anzisha mgahawa wa diet foods
Sasa hivi watu wengi hasa wa maofisini wanajatibu kudhibiti uzito ikiwa ni pamoja na kufanya mazoezi...
Nyakati za mchana majority wanashindwa kupata diet dish kwa sababu wako mbali na nyumba zao. Ikibidi hata unasupply

Target market ni watu wa maofisini wanaokaa muda mwingi

Matangazo utapeleka kwenye gyms au hata kwenye radio stations zenye coverage kubwa au kupitia akaunti za watu maarufu kama millard ayo ivi

I think this can work


Out of context, naomba kujua yafuatayo
wewe ni injinia wa nini
Je umeajiriwa mahali
Upo based mkoa gani

Nina wazo lingine lakini inategemeana na majibu ya maswali hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazo zuri, japo naona wapo tayari baadhi wanafanya hii biashara lkn nadhan pia 'demand' bado ni kubwa.

Tatizo la mtoa mada na wengi wetu ni tunahitaji biashara ambayo haihitaji uwepo wako kuiendesha maana wengi tayari wana ajira au shughuli nyingine.

Nadhani kuna vijana wengi hawana ajira na pia hawana mitaji, kama jamii ingekuwa nchi hii ingekuwa na desturi ya uaminifu nadhani kuna fursa kubwa sana ya kushirikiana kama wabia kati ya wenye mitaji na mawazo pamoja na wenye muda/nguvu kazi/usimamizi.

Tatizo nchi yetu watu hawaaminiani na pia kuna kasumba za upigaji, mtu ni mbia ila kazi ikija anataka kuifanya kivyake pembeni....hivyo fursa hizo za mashirikiano zinapotea matokeo yake hata mtu akifinya kitu kinakuwa katika kiwango cha chini kwasababu nguvu ya mmoja ni tofauti na nguvu ya wengi...hapa ndipo mataifa kama kenya wanapotuacha mbali.

Kama wasemavyo wahenga....If you want to go fast, go alone but If you want to reach far, go together.
 
Tafuta wataalamu wakuelekeze namna ya kukopesha fedha yaan kuanzisha taasisi za kukopesha. So ukisha pata wataalam hao njoo pm nikupeleke eneo ni soko jipya wahitaji n wengi wa mikopo yenye riba nafuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikataba ya kisheria ni kitu muhimu mno usijeamini mswahili hata awe na pesa vipi wazo la kibiashara lazima muingie mikataba ya kisheria kabla mtu haijala kwake.
Kwa wazo la biashara mtaingia mkataba gani utakaomlinda mwenye wazo?
 
Huko ndo stak kuskia kabsa ,nshafanya kilichotokea,tumeweka 11m mwisho wa siku tukapata 6m,hasara kubwa,hakuna cha vitunguu,wala matikit maj wala nin.kilimo kinahtaj science na uzoef uliotukuka,..sasa hiv nataka biashara ya papo kwa papo,yaan nipate sehem ya kusuply somethin,nalipwa nasepa baaas.kama ni malighafi na supply mahali nalipwa changu nasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya biashara ya bidhaa zisizo haribika baada ya muda fulani
 
Mkuu mimi nafanya biashara ya vifaa vya simu mwaka wa 7 sasa.
Nimepitia mengi ila nimepiga hatua.
Karibu.
Mi kupatia hapa sebuleni

A

1. Chumba 100000*6 = 600000/=
2. Vyautundikia 3 *130000 390000
3. Vyuma vya kutundikia 1500* 300 = 450000/=
4. Kabati 2 kubwa 1000000/=
5.

Manunuzi mimi nitakuuzia vifaa vyote kwa bei ya kwa sadaka.
1. Glass protecta 700 * pc 1000= 700000
2. Glass za 3d sh 3500 *200 = 700000
3. Makava Autofocas sh 1500 *200=700000
4. Betri bl5c original 5000 *pc 20 =100000
5. Betri bl5c kawaida 2000*pc 50=100000
6. Kobe digital 2000 *20= 40000
7. Kobe kawaida 1500*50= 75000
8. Makava mazur ya wadada 3500*pc 100=350000
9. USB nzuri pc 10 * 1500= 15000
10. Chaja nzuri 3500*50= 175000
11. Makava classic ya Samsung na iPhone 10000 pc 20= 200000.


B

Simu
1. 349 25000 * 20= 500000
2. Itel 20000 *20= 400000
3. Tecno Spak 2 230000 *2 =460000
4. Camon x 2 365000= 730000
5.

C
Laini za tigopesa na mpesa 300000
Utazipa flot kama ya 3000000

D.
Vitu vingine vya kuchanganya kama
1. Cable
2. N.k duka lisiuze hakuna kama 200000

Jumla ni kama 12ml



Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hivi vitu unavitoa/unanunulia wapi
 
Back
Top Bottom