Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Sijakuelewa una maana gani??
Wewe si unaitwa Baba Vladimir. Raisi wa Urusi si ni Vladimir Putin. Sasa kama wewe ni baba Vladimir it means mwanao ni Vladimir Putin raisi wa urusi.

Jamaa hapo anakuomba umwambie mwanao aache kugombana na Ukrane ili waafrika wakiwemo watanzania waliopo kule Ukraine waweze rejea makwao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaa! Najitahidi kusihi....lakini anaelekea kunielewa,maana pia ni kwa maslahi ya usalama wetu kama familia!! Kwa hiyo tumetoa masharti kama yataridhiwa bila shaka mambo yatakwenda vizuri.
 
Chimba Mizizi ya tulatula kiasi, ongeza na mizizi ya papai la kiume na uichemshe vizuri, Ongeza kidogo unga wa mizizi ya mti wa nsuha baadaye chuja maji yake. Tumia glass moja ×3.
Kwa wengine hatujui mimea kwa majina, kwa kutusaidia hebu weka picha.
 
Duh,kwenye tiba ss ndo najanga,mpapai dume? Ndo ukoje huo jmn?
 
Yaani shida sn
 
Si hivyo ndugu yangu,mimea hiyo inafahamika popote unaweza kujitengenezea,ula kama huwezi ndipo unaweza kupata msaada wa kuandaliwa ambao lazima utahusisha gharama.
Kwa mfano mi hapo hakuna hata mmea mmoja naufahamu hapo!
Na sijawahi kusikia papai dume[emoji848]
Au ndo ile mipapai isiyozaa?
 
Ungekuwa wew ungetaja chimbo la almasi au lawama kama kawaida yetu wabonho tukiongozwa na bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…