Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Yes!
Tiba haikuwa sahihi!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hili si tatizo dogo kama ambavyo baadhi hufikiria! Na ndio maana linaendelea kuwatesa huku wakiendelea na tiba bila mafanikio.

Hata katika mitishamba,lazima upate mchanganyo sahihi sana na utumie kwa juhudi kubwa na kwa muda unaotakiwa.Tatizo hili hupona kabisa na kutojirudia tena.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tiba ya uhakika hii hapa, mpigie huyo utaipata atakuelekeza pa kuipata

 
Nawa tu ivi usiku ntalala kweli au ntakuwa nageuka geuka kitandan
 
Mimi nasumbuliwa na misuri kwenye nyonga na cha ajabu maumivu yanaama ama mara mguu wa kulia ukiacha unakuja mguu wa kushoto. Na wakati mwingine kinakuja kama kichomi kinabana kwenye paja. Nikinywa kitu cha moto sana maumivu yanapungua. Nahitaji msaada mwenye utaalamu
 
Zitaje hizo dawa za mitishamba
 
Dawa za asili kibao hatujazifanyia utafiti.

Mimea na matunda kibao hatujui kwzi yake lakini tunakimbilia antibiotics ambazo sife effects zake ni kiboko kuliko faida zake
 
Huu ndiyo wenye harufu kama machungwa ?
 
Dawa gani asili ya bawasiri
Tafuta dawa inyaitwa mbegu za habati sauda.. ni nyeusi hivi tii
chukua mkaa uweke kwenye tezo kama tunavyofanyaga kwenye kusoma dua..
weka hizo mbegu kwenye mkaa wa moto uliopo kwenye tezo...
jifukize kwenye sehemu yenye bawasiri probably ni sehemu ya haja kubwa so utafanya kama unakalia ili moshi upige hiyo sehemu yenye bawasiri..
fanya hivo kwa siku saba... halafu uje ulete mrejesho ili nawenye tatizo wengine waweze kupona....

kama hujaelewa matumizi pia uliza ntakujibu
 
Ili Kuitengeneza Dawa kutoka Kuwa ya Unga na kwenda Kuwa Ya Maji unatakiwa uwe na Vitu gani na gani Vya kuchanganya ????
 
Dawa ya kusafisha mishipa ya damu unayo?? Yani mishipa huenda imeziba inahitaji kuzibuka.
 
Dawa ya kusafisha mishipa ya damu unayo?? Yani mishipa huenda imeziba inahitaji kuzibuka.
Mishipa ya damu huziba kwa sababu ya lehemu inayotokana na matumizi ya vyakula vya mafuta kupita kiasi,hivyo kusababisha madhara makubwa katika mzunguko wa damu.Dawa ipo na inaweza kusafisha kabisa na kuondoa lehemu yote ama mafutamafuta katika mishipa ya dama na kuifanya damu kuwa nyepesi kufikia kila sehemu ya mwili kwa wakati.
 

Inapatika wapi iyo dawa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…