Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
-
- #221
Hili si tatizo dogo kama ambavyo baadhi hufikiria! Na ndio maana linaendelea kuwatesa huku wakiendelea na tiba bila mafanikio.
😆😆 bado hujapata unene mbaya weweYani nichemshe kabichi kabsaaa jamani hapana acha niwe na kitambi kabch kabch mmmmm
Huu mti siyo mgeni machoni ila sikumbuki niliuona wapi.Unaweza kutumia ukajikuta umepona magonjwa mengi uliyonayo bila kutarajia .
Zitaje hizo dawa za mitishambaHapa kwenye UTI ni suala la uelewa pia.Unaweza kufikiri ni muathiriko kwenye njia ya mkojo tu,kumbe ugonjwa umeshapiga hatua mbele.Mfano wanawake wengi hupata maambukizi katika njia zao za mkojo,lakini maambukizi hayo hupelekea kupata fangasi sugu inayoweza kusababisha hata maambukizi katika mji wa mimba (PID),sasa mara nyingi wanapopima katika maabara hizi za kawaida huonwa na bakteria katika mkojo lakini secondary problem iliyoletelezwa na hao bakteria huwa haionekani kirahisi.Wanaume hubeba bakteria hao kwa njia ya kujamiana na inakuwa kama magonjwa ya zinaa na dalili ni zilezile endapo ugonjwa utakomaa,utawashwa kwenye mshipa wa uume,utatokwa uchafu mweupe na wakati mwingine utapata shida ya kukojoa huku homa kali na unyonge vikikuandama.Kwa wanawake suala linapofika hatua kubwa uchafu utaanza kutoka sehemu za siri na utaambatana na harufu mbaya,na inaweza kupelekea uchafu kuwa wa kijani alert ambayo ni mbaya zaidi kuna uwezekano wa kansa.
Kama mtu yuko kwenye ndoa na ana tatizo hili ambalo sasa imezoeleka ni UTI lazima mme na mke watumie dozi wote vinginevyo ni kujitapelivmwenyewe. Zipo dawa za mitishamba ambazo husafisha kabisa matatizo haya.
Huo mti muhimu sana..dawa nzuri sana.Jambo ndugu zangu!!
Huku tukiendelea kutafakari hali ya kisiasa nchini mwetu,tusisahau pia afya zetu! maana afya ndiyo kila kitu...
Huu ndiyo wenye harufu kama machungwa ?Mkuu Mshana Jr. Bado Tuko kwenye Oktava ya Mwaka mpya 2022. Happy New yr.[emoji1787] aithee.
Huo mti uliooneshwa hapo kwenye picha wenye maua makubwa mekundu SIO Mjafari.
Mjafari huku Umasaini ni mingi sana na Unaitwa Oloisuki. Baadhi ya makabila wanauita Mlungulunguani, Wahehe wanauita Mkhunungu. Unamatumizi-dawa mengi sana. Majani yake machanga huweza kutumika kama mboga(Mlenda). Matunda yake yaliyokomaa yanafanana sana na pilipili manga. Hukaushwa na kusagwa na hutumika kama Tangawizi kwenye chai- hutibu matatizo ya kifua kinachobana. Mizizi yake iliyokaushwa na kusagwa hutumika kutibu maumivu ya viungo/mifupa ikiwepo arthritis, mgongo, kiuno n.k. n.k.
Mti huo picha yake ni hii hapa:
Angalia maua yake yalivyo ni tofauti na yale mekundu katika picha iliyooneshwa. Picha (Mti) uliyooneshwa wenye maua makubwa mekundu huku Umasaini tunauita mti huo Olng'aroji.
View attachment 2071796
View attachment 2071800
View attachment 2071807
Tafuta dawa inyaitwa mbegu za habati sauda.. ni nyeusi hivi tiiDawa gani asili ya bawasiri
Ili Kuitengeneza Dawa kutoka Kuwa ya Unga na kwenda Kuwa Ya Maji unatakiwa uwe na Vitu gani na gani Vya kuchanganya ????Jambo watanzania wenzangu!!
Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.
NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Mishipa ya damu huziba kwa sababu ya lehemu inayotokana na matumizi ya vyakula vya mafuta kupita kiasi,hivyo kusababisha madhara makubwa katika mzunguko wa damu.Dawa ipo na inaweza kusafisha kabisa na kuondoa lehemu yote ama mafutamafuta katika mishipa ya dama na kuifanya damu kuwa nyepesi kufikia kila sehemu ya mwili kwa wakati.Dawa ya kusafisha mishipa ya damu unayo?? Yani mishipa huenda imeziba inahitaji kuzibuka.
Kapicha basi ka huo mmea!Unatoa utomvu wake hayo ndo tunaita maji yake.
Unauliza dawa ipi??Ili Kuitengeneza Dawa kutoka Kuwa ya Unga na kwenda Kuwa Ya Maji unatakiwa uwe na Vitu gani na gani Vya kuchanganya ????
Mishipa ya damu huziba kwa sababu ya lehemu inayotokana na matumizi ya vyakula vya mafuta kupita kiasi,hivyo kusababisha madhara makubwa katika mzunguko wa damu.Dawa ipo na inaweza kusafisha kabisa na kuondoa lehemu yote ama mafutamafuta katika mishipa ya dama na kuifanya damu kuwa nyepesi kufikia kila sehemu ya mwili kwa wakati.