Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
- #21
Katakata limao tano, changanya na vitunguu maji vitatu halafu pondaponda punje sita za vitunguu swaumu. Changanya mchanganyo huo katika lita moja ya maji na uchemshe, chuja upate mchujo safi halafu weka vijiko 15 vya asali koroga tayari kwa matumizi.Tumia vijiko 3×3Kikohozi hadi sauti kukauka mtu anaweza kutumia nini? Achana na dawa za hospital