Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Unawezaje kutumia unga wa mjafari ni kweli unatibu nguvu za kiume na je ni sawa na vumbi la kongo (booster)au zinatibu kidogodogo
Mjafari hautibu nguvu za kiume! Mjafari hushughulika zaidi na matatizo ya tumboni kama tumbo kuuma,kujaa gesi na unasaidia sana kwa wenye vidonda vya tumbo ukitumiwa kwa usahihi endapo maandalizi yake ni madhuri.

Huwezi kutibu nguvu za kiume kwa dawa ya kupaka kwenye uume,maana nguvu za kiume ni tatizo la mfumo.
 
Hii dawa itafaa kwa mtoto wa miaka 3 kasoro anayesumbuliwa kikohozi zaidi ya miezi 7, kanywa dawa za kutosha za hosptalini mpaka kilimi kimekatwa. Still anakohoa

Na mm nilikatwa hiki kilimi ila kimerud namuonea huruma mtoto ninavyokohoa mimi daah kuna muda mpk mbavu zinauma,tunamuomba atuandikie dawa ya kuweza kupona kilimi kinatesa sana
 
Je Kuna mitishamba inayoongeza ukubwa wa uume? Kama ndiyo ni ipi? Usijali lugha itaje kwa lugha yoyote hakuna shida
 
Naomba kujua dawa ya asili ya kutibu kilimi cjui kiswahili kingine naweza kusema vip ,hapa kwenye koromeo kimerefuka kidogo hivyo kinasababisha kukohoa sana ,nini tiba yake tofaut na kukikata
Kama unaweza kupata ukoko wa moshi, Hupatikana kwa wapishi wa kuni ukutani,changanya maji ya ndulele bila kusahau maji ya mbono kwa pamoja.Tumia kidole chako kirefu kuweka huku ukikorokota kwa kugusa sehemu husika,fanya mara tatu kwa siku.Changanya kiasi kidogo kila unapotaka kutumia.
 
Je Kuna mitishamba inayoongeza ukubwa wa uume? Kama ndiyo ni ipi? Usijali lugha itaje kwa lugha yoyote hakuna shida
Ng'ocha ngoko
Kumbwa mbezo nk

Mitishamba hiyo huhusisha kuimarisha misuli ya uume iliyolegea na kuifanya imara,huondoa chango la kiume ambalo ndilo chanzo hasa cha maumbile kusinyaa! Hurekebisha homoni ya kiume na hivyo huongeza maradufu na ni tiba ya nguvu za kiume kama ikiandaliwa katika mazingira sahihi na kutumiwa kwa weledi
 
Ng'ocha ngoko
Kumbwa mbezo nk

Mitishamba hiyo huhusisha kuimarisha misuli ya uume iliyolegea na kuifanya imara,huondoa chango la kiume ambalo ndilo chanzo hasa cha maumbile kusinyaa! Hurekebisha homoni ya kiume na hivyo huongeza maradufu na ni tiba ya nguvu za kiume kama ikiandaliwa katika mazingira sahihi na kutumiwa kwa weledi
Hio dawa umeitaja kilugha au mbona kama sijaelewa
 
Kama unaweza kupata ukoko wa moshi, Hupatikana kwa wapishi wa kuni ukutani,changanya maji ya ndulele bila kusahau maji ya mbono kwa pamoja.Tumia kidole chako kirefu kuweka huku ukikorokota kwa kugusa sehemu husika,fanya mara tatu kwa siku.Changanya kiasi kidogo kila unapotaka kutumia.

Maji ya mbono ndio nini kidogo hapo umeniacha ukoko wa moshi nitatafuta sehem yoyote naweza pata ninaomba tu uniambie kiswahili kingine cha mbono
 
Mkuu dawa ya asili ya magoti. Daktari ameniambia ute umekwisha mifupa inagusana
 
Maji ya mbono ndio nini kidogo hapo umeniacha ukoko wa moshi nitatafuta sehem yoyote naweza pata ninaomba tu uniambie kiswahili kingine cha mbono
Mbono ni huo mti
Jatropha_curcas-1.jpg
 
Back
Top Bottom