Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 373
- 627
- Thread starter
- #81
Mbono ndo huo ulioonyeshwa hapoMbono ni huo mtiView attachment 2045233
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbono ndo huo ulioonyeshwa hapoMbono ni huo mtiView attachment 2045233
Hii inapatikana mahala pengi,hata kwangu unaweza kupata piaMkuu inapatikana wapi hii mitishamba
Unatoa utomvu wake hayo ndo tunaita maji yake.Samahani tena kwa maswal hivyo natoa utomvu wake au nafanya vip ili kupata maji yake au natoa magome yake nayachemsha
Dawa gani inasaidia kuwashwa mwili, ukijikuna, unaacha alama mwilini?Jambo watanzania wenzangu!!
Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.
NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Tiba ya pressure huhusisha kwanza kufahamu chanzo chake,maana pressure ina vyanzo vingi.Unaruka hii
Unatakiwa kupata mitishamba inayoweza kurudisha kuijenga misuli husika katika hali ya awali.Usipambane na dawa za kupaka uume zitakuua zaidi.Unatakiwa kunywa zitembee kwenye damuNini tiba ya uume kutosimama kutokana na tatizo la kujichua la muda mrefu?
Mkuu Baba Vladmir nina tatizo la kumeza chakulaJambo watanzania wenzangu!!
Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.
NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Inapatika kwa wauza madawa ya mitishamba asilia.Ukipata wasukuma ni simple zaidi.Kwa maeneo ya kanda ya ziwa ni nyingi sanang'ocha ngoko
nakogo pandekela hale nkoy, nilagelage bhageshi
Hapana unga wa mlonge huwezi kuuchemsha,unaweza kuharibu kusudio lake,isipokuwa unaweza kutumia katika maji ya moto au chai.Unga wa mlonge naweza kuchanganya na mchaichai na kuchemsha iwe chai katika kujitibu ?
Inategemeana ni fangasi za sehemu ipi!Tafadhali Naomba kufahamu Dawa ya kutibu fangasi na Minyoo
Nitafute binafsiInapatika kwa wauza madawa ya mitishamba asilia.Ukipata wasukuma ni simple zaidi.Kwa maeneo ya kanda ya ziwa ni nyingi sana
Kinaitwa kimeoNaomba kujua dawa ya asili ya kutibu kilimi cjui kiswahili kingine naweza kusema vip ,hapa kwenye koromeo kimerefuka kidogo hivyo kinasababisha kukohoa sana ,nini tiba yake tofaut na kukikata
Naomba kujua kuhusu MtambaJambo watanzania wenzangu!!
Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.
NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Unatoa utomvu wake hayo ndo tunaita maji yake.
nipo mkoa wa Daressalaam wilaya ya temeke kata ya chang'ombeZipo dawa za mitishamba,lakini majina yake huendana na eneo husika,sijajua wewe upo mkoa gani nikuelekeze kulingana na lugha ya eneo husika uweze kujitibu.
Hii inapatikana mahala pengi,hata kwangu unaweza kupata pia
Kuna mzee iringa anatibu ukimwi na watu wanapona hiyo sawa ukiiona bi nyeupe unaeza sema ni mtindiPamoja na tafiti nyingi katika mimea na mitishamba,bado mafanikio hayajapatikana katika kutatua changamoto ya HIV.
Tumia dawa meno inaitwa colget sensitive imechorwa jino na fizi ambayo upandw lina rangi ya dam! Kila unapopiga mswaki tumia bicabonet soda..kuumwa na jino u harufu mbaya ya mdomo utaisikia kwa jiranDawa ya asili ya meno, meno yananisumbua sana
Bora ukapatw vipimo vikubwa acha kupima yutiai tu!Naomba dawa ya uti sugu kwa mwanaume iliyoshindikana kutibika hospital yenye muda wa miaka 4