Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Mkuu tupe mbinu ya kuongeza Uzito pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taabu yote ya nini!!!Katika kupunguza unene na uzito wa mwili,wengi wametumia njia mbalimbali bila mafanikio! Mfano kunywa maji vuguvugu yenye limao,kufanya mazoezi,kufunga kibana tumbo nk,njia hizo zimeshindwa kuwa na ufanisi na wanazidi kunenepeana tu.
Leo ninakuletea njia lishe (formula) ya kupunguza unene na uzito (kilo tano) kwa siku saba tu.
Siku ya 1: Asubuhi kula matunda,mchana chemsa kabichi weka chumvi kidogo na nyanya chemsha na upate supu; kula mchanganyiko huo na utajisikia umeshiba kabisa.Jioni kula tikitimaji na mbogamboga au kabichi kama ulivyotengeneza mchana.
Siku ya 2:Kula mboga za majani asubuhi (usile mboga za majani zenye wanga kama karoti).Mchana kula kabichi iliyochemshwa tengeneza na kachumbari,katika kabichi weka chumvi,pilipili na mafuta ya olive.Jioni unaweza kula mlo kama wa mchana,lakini unaweza kukaanga mboga nyingine za majani.
Siku ya 3:Kula mboga za majani na matunda,unaweza kuongeza kiazi kitamu kimoja.
Siku ya 4:Kula ndizi moja na unywe maziwa ya mtindi wakati wa asubuhi.Mchana kula kabichi kama ulivyotengeneza siku ya kwanza,usiku rudia mlo wa mchana.
Siku ya 5:Kula nyanya nne pamoja na samaki au kipande cha kuku asubuhi.Mchana unaweza kula samaki wa kuchemsha kiasi ambaye amechanganywa na nyanya.Wakati wa jioni unaweza kula chakula kama cha mchana.
Siku ya 6:Unaweza kula chakula cha protini na mboga za majani,anza kwa kula kachumbari asubuhi.Mchana kula tambi kiasi na kipande kidogo cha samaki.Usiku tengeneza supu ya kabichi.
Siku ya 7: Anza kwa matunda na juisi.Mchana kula mboga za majani na usiku kula supu ya kabichi na kiazi kimoja.
KUMBUKA:
Unatakiwa kunywa maji angalau glasi nne kila siku.
Unapomaliza dayati ya kwanza,unapaswa kupumzika wiki moja huku ukitumia vyakula ambavyo havikuongezei tena uzito.
Utaendelea tena na dayati hiyo wiki tatu mpaka pale utakapofikia uzito unaouhitaji.
Wasalaam!!
DuuuhTaabu yote ya nini!!!
Kopa mkopo bank,vicoba na sacos uone kama hujabaki mgongo tu
Kuna watu tuna unene sugu, yaani hata tuwe na shida vipi,madeni kila kona lkn limwili ni pale pale, tunakuwa Ma disminder.Taabu yote ya nini!!!
Kopa mkopo bank,vicoba na sacos uone kama hujabaki mgongo tu
Mjafari ni mmea gani??Naomba elimu ya kuujua mmea kwanza,Kwenye majibu Yako ukiweka na picha ya mmea huo itasaidia Zaid.
Picha ya Mjafari na mahali unapopatikana
Zipo nyingi na unapona kabisa,haijalishi imefika kwenye figo ama sugu kiasi gani.Mitishamba humaliza kabisa tatizo.Shida ya wengi wanakimbilia antibiotics za hosp.Tutafute na dawa bora ya mitishamba inayotibu hiki kitu kinaitwa UTI .. huu ugonjwa umekuwa maarufu sana na unaumiza wengi kila uchao
Shukrani kaka mkubwa
Naomba contacts zako UTI inanisumbua sanaZipo nyingi na unapona kabisa,haijalishi imefika kwenye figo ama sugu kiasi gani.Mitishamba humaliza kabisa tatizo.Shida ya wengi wanakimbilia antibiotics za hosp.