Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Tuambie dawa ya TEZI DUME wazee wanaangmia na cancer.
 
Naomba maelezo kuhusu Ubuyu!
Chukua ubuyu wa unga, hata wa vipeke,tia ndani ya chupa ya lita 1.5 au jagi, jaza maji, kunywa mda wote, ubuyu uwe kama vikombe viwili vya chai yani
Mungu ndiye mjuzi zaidi
 
Thyroid dawa yake nin hypothyroid na hyperthyroid nasumbuliwa na hii kitu
 
Mwenye presha ya kushuka,anaaweza tumia hii tiba?
 
Mkuu kwema, samahani nauliza kuwa na uhakika, hayo majani nayafahamu ivi ukiyapondaponda alafu ukayaweka kwenye kikombe ukaongeza maji ya uvuguvugu ukanywa ulojo wake pamoja na majani itakuwa sahihi? Lakini pia maji ukiyachemsha sana ukayachanganya na hayo majani kiganja cha mkono kama maelezo yako huwezi labda kupunguza nguvu ya dawa? Tafadhali naomba nifahamishe kiongozi
 
Huchemshi hayo majani mkuu. Unachemsha maji unayaepua alafu ndio unaweka humo hayo majani
 
Hapo unatibu gesi, sio kidonda cha tumbo!
 
Thyroid dawa yake nin hypothyroid na hyperthyroid nasumbuliwa na hii kitu
Bila shaka nilishawahi kushaurina tena na wewe juu ya shida hii.Nilikwambia hapo ukipata mimea tiba ambayo huwa inafanya kazi ya kuondoa vimbe mwilini inatosha kabisa kukutibu.
Tatizo huwa ni imani tu.Vinginevyo ufanye Surgery

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Baba Vladmir mshauri atumie nini au mimea tiba gani ili aweze kupona. Ukielezea hapa utakuwa umesaidia wengi sana. Kama unauza dawa hiyo funguka pia sema na uweke namba akutafute
 
Baada ya kupoteza ladha na uwezo wa kunusa miezi mitatu kutokana na COVID-19, niliporudi kuwa sawa pua zikaanza kuziba hasa usiku yaani nikilalia upande mmoja pua inaziba upande huo na nikigeuka inaziba tena mpaka leo sijapata suluhisho. Mwenye kujua namna naweza kutatua changamoto hii nitashukuru sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…