Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

Niulize chochote kuhusiana na biashara, masoko na mauzo

Natamani sana kufanya biashara ya dagaa kamba(prawns), nahitaji kujua mtaji wa kuanzia, wapi nitawapata na wapi nitawauza.

Naomba majibu yenye uhakika maana sijawahi fanya hiyo biashara.
Sasa tamaa yako kwenye hiyo biashara inatokana na nini? Yaani nini kimekufanya upende kufanya hiyo biashara ilihali hujui pakupata bidhaa wala pa kuiuza?
 
Mkuu, mimi naomba kujua wapi ni soko bora la kuagiza chupi za wanawake imara za jumla(grade A).
Mkuu njoo pm nikuelekeze kwa mty yuko kariakoo. Wao wanauza chupi na nguo za ndani za wadada wana maduka matatu.
 
Sasa tamaa yako kwenye hiyo biashara inatokana na nini? Yaani nini kimekufanya upende kufanya hiyo biashara ilihali hujui pakupata bidhaa wala pa kuiuza?
Ukiona hadi nimeandika hapa ujue ninazo taarifa ambazo kwa ufahamu wangu naziona sio sahihi ndo mana nimeuliza.
Kama unalolote unalijua nijuze pia la hasha tusubiri wajuvi.
 
Habari ndugu, naomba unifahamishe kuhusu biashara ya ngombe hasa hawa....
pic+ngombe.jpg
je minada yake inapatikana wapi? na gharama ya minadani ikoje.na sokoni ukipeleka bei inasemaje. thanks
minada ipo Pugu au Kimara kwa Dar es salaam
 
Natafuta soko LA mayai ya kuku wa kienyej LA uhakika,Niko pugu kila mmoja anafuga kuku madukani mayai yamejaa
Jaribu na Soko la Kutembea Hasa Kwenye Maofisi Mijini Uku Waweza pata Soko
Kama Mahala Nilipo Wanapenda sana Mayai ya kienyeji Sema ndo Hakuna Wauzaji.. jaribu Ilo

Unauza Bei Gani!????
 
Jaribu na Soko la Kutembea Hasa Kwenye Maofisi Mijini Uku Waweza pata Soko
Kama Mahala Nilipo Wanapenda sana Mayai ya kienyeji Sema ndo Hakuna Wauzaji.. jaribu Ilo

Unauza Bei Gani!????[/QUO
Asante kwa ushauri wako ,,ngoja nianze na maofisini .tray moja 15000/=
 
Nataka niuze baby diapers (pampers za watoto) na baadhi ya vitu vyengine ila kuuza kwangu nataka nipite maduka yale ambayo yako kando kado ya mji na maduka ya mangi yale ya uswahili niwe nawauzia kwa jumla je mnanishauruje jaman ? Vp soko lake hii biashara ya pampers ipoje kwa maeneo ya Dar?
 
Back
Top Bottom