trash official
Member
- Dec 22, 2016
- 34
- 16
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina njano, kombat , nyayo , red , karangaMaharage aina gn
Upo wap
Kwanini usiweke hapa wote tupate kituMkuu njoo pm nikuelekeze kwa mty yuko kariakoo. Wao wanauza chupi na nguo za ndani za wadada wana maduka matatu.
Nyuma ya mtaa Agrey ndo zinakopatikana hizo nguoKwanini usiweke hapa wote tupate kitu
Nunua ndizi uniuzienina km million 1 biashara gan ambayo niazanayo. nipo mby
Kimara gani mkuu?minada ipo Pugu au Kimara kwa Dar es salaam
Nenda maduka ya wachina kariakooWapi ntapata sehem wanauza mikoba kwa bei ya jumla
Wapi naweza pata mabalo yamikoba ya mtumba ya jumla na bei zake zipoje?Habari wana JF,
Kichwa cha habari kinajielezea,
Huu ni uzi wa kipekee unaohusu maswala yote yahusuyo biashara, masoko na mauzo, kwa hiyo kama utakuwa una kitu chochote unahitaji kufahamu juu ya vitu nilivyotaja hapo juu usisite kuuliza maana mimi au mtu yeyote atakaye fahamu atakupa majibu yanayohitajika.
Karibuni sana
mkuu hapa posta Dar wanauza wahindi kibao, bei sifahamu, ila nafahamu wanauza kulingana na gred, labda nikufanyie utafiti nikipata time then nitarudi kwakoWapi naweza pata mabalo yamikoba ya mtumba ya jumla na bei zake zipoje?
Nami ningependa kujua haya maduka 3.Mkuu njoo pm nikuelekeze kwa mty yuko kariakoo. Wao wanauza chupi na nguo za ndani za wadada wana maduka matatu.
kwa nguo za jumla nipm mkuuBoss mambo vipi! Binafsi mm ni muuzaji wa Nguo hapa jijini mwanza, mtaji Wangu n 2.5 mil so nahitaji niwe nanunua jumlajumla Na niwe nauza jumlajumla pia, kwani mwez ujao natarajia kuongeza km 3mil ivi ili mtaji ufike 5.5ml je, kwa DSM nitapata wapi maduka ya Nguo za kike yanayouza Nguo za jumlajumla ! Km utapendezewa naomba namba pia boss
Okey asante, ni posta maeneo gan? Kama unafaham mitaa tafadhal nisaidie pia naomba unisaidie kuuliza na bei zake kwa balomkuu hapa posta Dar wanauza wahindi kibao, bei sifahamu, ila nafahamu wanauza kulingana na gred, labda nikufanyie utafiti nikipata time then nitarudi kwako