worms
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 978
- 911
Nashukuru sana mkuu, nitapeleka kwa fundi acheki hivyo vitu maana imekuwa kero.Labda umeweka matairi madogo kuliko saizi yake, au matairi yako hayana upepo wa kutosha.Kuhusu injini kukosa nguvu, inaweza kutokana na sababu mbili kubwa;
(1) Gearbox yako haina mafuta (ATF) ya kutosha au yashachafuta sana na filter imeanza kuziba
(2) Fuel pump imechoka haipeleki mafuta ya kutosha kwenye injini
Baada ya hizo mbili kubwa nyingine ndogo ndogo ni pamoja na air filter kuwa chafu, fuel pressure regulator kuchoka, fuel filter (kama inayo- magari mengi ya kisasa fuel filter imejengewa kweye fuel pressure regulator) kuziba.
Sent using Jamii Forums mobile app