Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuu...nitayafuatiliaTotal petrol station yapo yanaitwa nozzle cleaner
Shukrani mkuu
Kasomee kwanza kijapani mkuuNakutana na kijapan mkuu....
Sio kitunguu!!! Ni kichuguuMkuu kitunguu gari unabadilisha oil alafu unatembea km 160 then asubh ukichek oil unakuta oil imeliwa imebaki kidogo hapo mkuu tatizo nin gari ya mfano ni brevis
Jina langu siyo Kitunguu aisee, hebu badilisha; mimi ni Kichuguu, ".....huwezi kulinganisha Kichuguu na mlima Kilimanjaro"Mkuu kitunguu gari unabadilisha oil alafu unatembea km 160 then asubh ukichek oil unakuta oil imeliwa imebaki kidogo hapo mkuu tatizo nin gari ya mfano ni brevis
Soma kwanza kitabu cha gari yako, kuna injini nyingi zinataka 5W-30 na 5W-20. Hata hivyo kwa Dar es Salaam ambayo ni sehemu yenye joto sana, unaweza kutumia 10W-30 au 10W-20.
20W-50 ni kwa ajili ya ajili ya magari makubwa na makuukuu kweli kweli; kama una gari lenye hali nzuri, oli nzuri ni 5W-20 mpaka 10W-30 ukihusisha grade zote za katikati, yaani 5W-30, na 10W-20. Kadri gari linavyochakaa na wakati wa joto sana ndipo unapandisha namba kidogo kidogo mpaka 10W-30 usizidi hapo kwa gari yoyote ndogo labda kwa basi na roli la mizigo.Wengi wanakosea hapa wanaweka 20w50 mm mwenyewe kina kipindi niliambiwa na fundi wa mtaani niiweke gari ikabadilika ikawa inatoa vimlio wa ajabu ila nilivyoconsult manual na kuanza kutumia 5w30 aisee limetulia sometime unaweza hisi halijawaka..
Kwanini nikiwasha gari yangu inasumbua ila nikikanyaga mafuta inawaka pili inaweza ikawaka yenyewe ila ikakosa nguvu hadi nikanyage mafuta tena
Sijapata Toyota Succeed version ya Marekani. Ila bado nipe muda kidogo watu wangu bado wananisaidia kuitafutaOk mkuu nitashukuru sana, unajua kuwa na gari bila kufuata proper service ilishanicost mafundi wetu wa bongo walishaniulia gear box ya corolla.
Tunapozungumza baridi kwenye injini ya gari, Tanzania hakuna baridi, siyo hata lile la Makambako. Kulingana na mileage iliko unaweza kutumia oil yoyote kati ya 5W-20, 10W-20,5W-30, na 10W-30. Kama una zaidi ya km 180,000 tumia ama 5W-30 au 10W-30, na kama ni chini ya km 180,000 tumia 5W-20, 10W-20. Nakushauri zaidi utumie hizo nilizowekea msisitizoMkuu kichuguu nina gari Toyota Allex cc 1490. Mkoa ambao nipo mchana kunakuwa na jua kali sana na usiku kunakuwa na baridi. Unanishauri nitumie Oil yenye namba ipi.?
Ok mkuu niko katika kusubiri.Sijapata Toyota Succeed version ya Marekani. Ila bado nipe muda kidogo watu wangu bado wananisaidia kuitafuta
Inawezekana umeweka oil nyingi sana. Vile vile kumbuka ile dip stick ndicho kifuniko imojawapo cha oil; kwa hiyo ukikitoa ina maana umefunua sufuria wakati oil inatokota, na iwapo sump imejaa kuliko kiasi ni lazima oil hiyo itaruka nje. Katika kucheck engine oil, inabidi injini iwe imezimwa. Dip stick ile ina alama mbili, ya asubuhi kabla hujawasha gari ni cold level, na ya wakati wowote mara baada ya kuzima gari ni hot level,Mkuu Kichuguu
Gari yangu ni Starlet Gt nikichomoa stick ya oil engine oil inaruka ruka kama gari nimeiwasha, je ni tatizo gani?
😂 😂 😂 😂 😂Aisee! hii kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]