Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hapa muhimu. Kuna tatizo gani ikiwa nitawasha gari AC au Radio ipo on? Binafsi huwa najisahau sana coz AC na Radio vipo on 24/7.swali la kwanza: inawezekana, ingawa itetegemea unatumia mafuta ya aina gani,na unakwenda umbali wa muda mangapi. Usitumie Mafuta yenye smoke point ndogo na viscosity ndogo!
swali la pili: jibu ni ndiyo iwapo alternator yako ni nzuri. engine zote huwa hazitumia battery, bali wakati wa kustart tu. Baada ya hapo umeme wote unaohitajiwa na gari hutoka kwenye alternator. Ndiyo maana unashauriwa wakati unastart injini vitu vyote vya umeme viwe OFF: hasa taa, AC, radio, seat heater, rear window defrogger, na wiper.
Nifafanunuliea kirikuu ni kitu gani kwanza!Mkuu Kichuguu afadhali nimekubamba mida hii.
Tamanio la moyo wangu, hebu zungumza walau kidoogo kuhusu kirikuu, hivi vidude huwa navikuta vingi sana vimekufa na kususwa tatizo hasa ni nini?
Pia nishauri kuhusu oil ya kutumia kwenye kirikuu mazingira ya dar, pia we ongezea nyama kwa namna utakavyojiaskia, natamani kujua mengi sana kuvihusu hivi vidude.
natanguliza shukrani.
betri huwa ina nguvu ndogo tu ya kuweza kustart engine, halafu inapumzika na kuiacha Alternator iichaji tena. Sasa unapostart wakati vitu hivyo vyote viko ON vinahitaji umeme, kuna uwezekano kuwa betri inaweza kushindwa kutoa umeme wa kutosha kuwasha injini na vitu hivyo na ukijaribu kama mara mbili mara tatu basi nguvu ya beteri inakwenda chini sana na injini inshindikana kabisa kustart. jenga tabia ya kusatat engine wakati vitu hivyo viko off: halafu injini ikishastart basi ndipo unaviwasha, kwani wakati huo vinakuwa havili umeme wa beteri bali ule wa alternator unaotonaka na mafuta unayotumia (petroli au diesel).Hapa muhimu. Kuna tatizo gani ikiwa nitawasha gari AC au Radio ipo on? Binafsi huwa najisahau sana coz AC na Radio vipo on 24/7.
Sure. Nami nilikuwa nataka jua ni kitu gani hicho.Nifafanunuliea kirikuu ni kitu gani kwanza!
hayo siyo magari maarufu huku tulipo; ila ngoja kesho nikipita pale karakana yetu nitatafuta kwenye kompyuta zetu kuhusu muundo wa magari hayo na tabia zake halafu nitakuleleta majibu. hatujawahi kuyatengeza kwa sababu hayapo huku, kwa hiyo sina uzoefu nayo.Suzuki Carry TruckView attachment 1732240View attachment 1732241
@kichuguu natanguliza shukranihayo siyo magari maarufu huku tulipo; ila ngoja kesho nikipita pale karakana yetu nitatafuta kwenye kompyuta zetu kuhusu muundo wa magari hayo na tabia zake halafu nitakuleleta majibu. hatujawahi kuyatengeza kwa sababu hayapo huku, kwa hiyo sina uzoefu nayo.
akitoa jibu usisahau kuni tag@kichuguu natanguliza shukrani
MKUU HABARI JE NITUMIE ENGINE IPI TOFAUTI NA ROTARY KWENYE MAZDA RX 7 NAWEZA KUSWAP ,ENGINE IMENOCK KABISA NA SPARE NI ADIMU JE ENGINE IPI ITAWEZA KUFIT HAPO ?? IKIWA GEAR BOX IBAKI ILE ILE YA MAZDA RX7Samahani, nilisahau; ngoja intafuatilia
Badili pia ECT sensorWadau nina ist ya 2006, juzi niliipiga sehemu radiator ikapinda ikagusa fan na kuzuia fan kuzunguka... Kulikopelekea motor kuungua.
Baada ya motor kuungua fan ikashndwa kuzunguka na mashine ikaanza kuheat.
Shida yangu ni kuwa nishaweka motor zingine kama 2 hivi na bado injini inaheat kwa kilometer chache tu hata 30 hazifiki na maji yanaisha kabisa.
Nb.
Rejeta haivuji, sasa hapa solution ipo vipi.
Je kuna aina ya moto special kwa hizi gari, au fan special,. Na ni wapi naweza nikaipata na kwa gharama gani maaana nateseka saana na nina safari. Ya kwenda bukoba week ijayo.
Nifafanulie kidogo mkuu sio mtaalamu saana na bei zake pia.... Na vipi motor elimu yake ipo vipi...Badili pia ECT sensor
Hii ni sensor ambayo inahusika kubalance joto la engine kuamuru feni izunguke au isimame kam engine ni ya baridi kwa maelezo ya gari Ilipoua feni naamini pia iliua hiyo sensor kinachoteka kwa sasa mfumo wa upozaji haufanyiki ipasavyo mpk ubadili uweke mpyaNifafanulie kidogo mkuu sio mtaalamu saana na bei zake pia.... Na vipi motor elimu yake ipo vipi...
Ok... Nimekupata saana na inawezekana hii... Ili kujua sasa km imekufa unapima vipi...Hii ni sensor ambayo inahusika kubalance joto la engine kuamuru feni izunguke au isimame kam engine ni ya baridi kwa maelezo ya gari Ilipoua feni naamini pia iliua hiyo sensor kinachoteka kwa sasa mfumo wa upozaji haufanyiki ipasavyo mpk ubadili uweke mpya
Inapimwa kwa kutumia electronic meter ikiwa cold na ikiwa warm ikiwa cold inatakiwa isome 3.96 vdc ikiwa warm isome 9.88 vdcOk... Nimekupata saana na inawezekana hii... Ili kujua sasa km imekufa unapima vipi...
Alafu gharama ya mpya ipo vipi!?
Mpya inauzwajeInapimwa kwa kutumia electronic meter ikiwa cold na ikiwa warm ikiwa cold inatakiwa isome 3.96 vdc ikiwa warm isome 9.88 vdc