Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Status
Not open for further replies.
Kuna mwamba mmoja wa ndani uko nilimfuata nikamwambia alinikataza sana usijiunge ni hio issue ni mchezo wa muda mfupi tu akaniambia wewe subiri uone kitakachotokea.. eeh leo nasikia kitu kimebuma walioliwa wameliwa kweli nimeamini maana ya Bongo ni Janja Janja watu washaibiwa tayari

Alafu kuna Jamaa mmoja humu alikua anawapinga wazi wazi wakawa wanajitetea daah watu washalizwa uko
😂😂😂
 
Now it's trending
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jjazajuan sisi Wachagga tunasrma Fosia
 
Mnaendelea je ?
 
View attachment 2348455
Nenda brela ukague Validity ya hii Certificate afu uje hapa jukwaani kutoa ushuhuda... Nawashauri ndugu zangu tufanye kwanza Research ya mambo ndo tuje kuattack sio kukurupuka kuattack kihisia!
Sasa unalazimisha wote wakuelewe mkuu dah yaan untfta kamisheni kwa lazima na Kama biashara huria ulivyotangaza tu ungetulia ili iwe huria lkn naona povu fulqni hivii ili watu wasage meno baadae eeeh?
 
Suo kizembe hivyo lakini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…