OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante