OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #41
Mizimu nizuri au mibaya?Jinsi gani ya kuita mizimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizimu nizuri au mibaya?Jinsi gani ya kuita mizimu?
Yesu na watakatifu akina petro, michael, Theresa n.k sio mizimu?Dah hapa sisi walokole sio mahala petu kabsa
Hapa sio mahakamani kama huamini potezeq mkuuUna ushahidi? Mimi ni Mchaga sijawahi kushuhudia hayo
Nimekuelewa vemaHiyo ni kweli kabisa mkuu, kama huyo mwanamke ana mikosi, nuksi au mizimu ya kimasikini lazima ufilisike au mambo yako yaende mrama.
Ila kuna baadhi ya watu wana mizimu mikali sana mizimu ya ulinzi , akipata mwanamke mwenye mikosi basi litatokea tukio itashindikana kulala na huyo mwanamke. Ila akipuuza yatamkuta ya kumkuta.
Hata baadhi ya watoto wachanga wanamizimu mikali sana, baba akichepuka akarudi nyumbani yaani katoto kataumwa sanaa mtaenda hospitali katalazwa daktari atakuambia ni pneumonia leo kesho atakuambia ni neonatal infection kesho kutwa atakwambia ni kifafa ukimbana anakua hatoi majibu ya kueleweka mpaka unapagawa.
Ila ukiacha tu kuchepuka katoto kanapona. Ukiendelea kanaanza tena yaani ni kila mwezi unakuwa hospitali mpaka manesi wanakujua. Lazima akili ikukae sawa.
Kuna watu wazima wakishaona hivyo wanakufuata wanakupa shule unaona mtoto anapona anaacha kusumbua.
Sijui nimekupa jibu ulilouliza mkuu au bado?
Ustaaz Salamaleko.Bado hujajua nini maana ya mizimu!
Mizimu ni mashetani wa kijini ambao wapo hai kabisa. Hakuna mizimu mizuri kwasababu inachochea ushirikina na inapenda kuabudiwa na kuombwa kama Mungu.
Mizimu ni majini waovu ama kwa jina lingine ni mashetani ya kijini.
Majini wazuri wanamuabudu na kumtii Mungu wala hawashawishi wanaadamu wamkufuru Mungu.
Mkuu mimi sio ustaazUstaaz Salamaleko.
YoteMizimu nizuri au mibaya?
Kwenye mizim hkuna mwanga ni giza tuYesu na watakatifu akina petro, michael, Theresa n.k sio mizimu?
Lini ulishawahi siki mzimu ukaitiwa small planet au kitambaa cheupe. Hiyo ndio ujue ni mwendelezo wa kusaga lami tu.Tatizo hatujajua kama ukoshakuwa mzimu utakuwa na maisha ya aina gani, labda mizimu inakula bata huko iliko😀😀
MIZIMU HAINA AKILI NI MAJINI YANAYOCHUKUA SURA ZA WATU WALIO KUFA... HAKIKA KUMJUA YESU NDIO CHANZO CHA MAARIFAHabari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante
HAKUNAGA MAJINI WAZURI MAJINI WALISHAPOTEZA SIFA NIA YAO NI OVU DAIMA HAWANA JEMA WANALO WAZABado hujajua nini maana ya mizimu!
Mizimu ni mashetani wa kijini ambao wapo hai kabisa. Hakuna mizimu mizuri kwasababu inachochea ushirikina na inapenda kuabudiwa na kuombwa kama Mungu.
Mizimu ni majini waovu ama kwa jina lingine ni mashetani ya kijini.
Majini wazuri wanamuabudu na kumtii Mungu wala hawashawishi wanaadamu wamkufuru Mung
HASARA ZAKE NI KUKITESA KIZAZI CHAKO MILELE LABDA MPAKA WAJE WAPATE DELIVERANCE KUTOKA KWA YESUNizipi faida na hasara za mizimu?