fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hatujui mkuu😄😄Lini ulishawahi siki mzimu ukaitiwa small planet au kitambaa cheupe. Hiyo ndio ujue ni mwendelezo wa kusaga lami tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujui mkuu😄😄Lini ulishawahi siki mzimu ukaitiwa small planet au kitambaa cheupe. Hiyo ndio ujue ni mwendelezo wa kusaga lami tu.
Huyo ibilisi kwa nini alitupwa duniani kuja kuleta vita?Vita kubwa hapa duniani ni vita kati ya Ibilisi na wana wa Adam.
Huyo Mungu kwa nini hakumaliza ugomvi wake na huyo ibilisi hukohuko mbinguni akaamua kututupia sisi binadamu?Lengo la Ibilisi ni wana wa Adam wamkufuru Mungu ili mwishi wa siku apate kundi kubwa la kuingia nalo Motoni.
Huyo Mungu kwa nini ampe ibilisi ruhusa ya kupotosha wanadamu?Aliapa mbele ya Mungu kuwa kutokana na kulaaniwa kwake basi atahakikisha anavipotosha vizazi vyote vya adamu. Alichoomba ni kupewa uhai mrefu mpaka mwisho wa dunia.
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua kwamba ibilisi atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema?Sasa hapo ndipo alipotengeneza vikosi vyake vya majini na watu ili kuhakikisha kuwa anatimiza lengo lake.
Miongoni mwa vikosi vya mashetani ya kijini yanayomsaidia ni hiyo Mizimu.
Wanaadamu wanaiomba, wanaisujudia,wanaiabudu,wanaitii ,wanaitolea sadaka za kuchinja n.k mambo yote yanayopaswa kufanyiwa Mungu, wao wanawafanyia mizimu...kiufupi ni ushirikina na mwanadamu akiyafanya hayo anakuwa ni mshirikina kwa maana ya kwamba anaabudu wengine pamoja na au badala ya Mungu.
Na mwanadamu akifa akiwa na imani ya ushirikina (kuamini mizimu) anakuwa ameshajikatia tiketi ya kuuingia moto wa jehanam pamoja na Ibilisi.
Nakuonaga kama mwendawazimu flani hivi.
HahahahaNakuonaga kama mwendawazimu flani hivi.
Aiseeeee....Habari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante
Na moja Kati ya mizim yenye nguvu ni huu wa Rita wa kashia......Mizimu ya kizungu na kiafrika inalingana?Katika imani ya kikatoliki, tunaomba hasa kwa kutumia mizimu ya kizungu, wengi ni watakatifu na wapo mbinguni, hii imekaaje?
Mungu hajampa Ibilisi mamlaka ya kumpotosha mwanadamu ila wanadamu wanamfuata wenyewe ibilisi. Anachofanya yeye ni kuita watu wayafanye matendo mabaya ila hana uwezo wa kumshurutisha mtu kuyafanya. So ukifanya huwa ni hiyari na utashi wako mwenyewe. Ndio maana vichaa hawaandikiwi dhambi yoyote kwasababu hawana akili ya utambuzi wa jema na baya .Huyo ibilisi kwa nini alitupwa duniani kuja kuleta vita?
Huyo Mungu kwa nini haku muua huyo shetani hukohuko mbinguni?
Huyo Mungu kwa nini hakumaliza ugomvi wake na huyo ibilisi hukohuko mbinguni akaamua kututupia sisi binadamu?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Huyo Mungu kwa nini ampe ibilisi ruhusa ya kupotosha wanadamu?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua kwamba ibilisi atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema?
Huyo Mungu kwa nini anamuacha ibilisi aite watu wafanye mabaya badala ya kumwangamiza?Mungu hajampa Ibilisi mamlaka ya kumpotosha mwanadamu ila wanadamu wanamfuata wenyewe ibilisi. Anachofanya yeye ni kuita watu wayafanye matendo mabaya ila hana uwezo wa kumshurutisha mtu kuyafanya.
Ibilisi kupewa muda mrefu kuishi hapa duniani, Sio tiketi ya yeye kutumia kuwaita binadamu wafanye mabaya.So ukifanya huwa ni hiyari na utashi wako mwenyewe. Ndio maana vichaa hawaandikiwi dhambi yoyote kwasababu hawana akili ya utambuzi wa jema na baya .
Mungu amemuacha ibilis baada ya ibilis kumuomba ampe muda mrefu wa kuishi hapa duniani.
Mungu mnayedai ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Anakupa mtihani ili ajue nini?Pia lengo la kuwekwa mwanadamu hapa duniani ni kupewa mtihani ili ajulikane nani atakayefanya matendo mema .
Kama huyo Mungu hapangiwi na yeyote, Kwa nini hapendi uovu na mabaya ilihali yeye ndiye muumbaji wa kila kitu?Why Mungu karuhusu haya yote ni kwasababu ya maamuzi yake ambayo hapangiwi na yeyote. Ni kama vile wewe hakuna anayekupangia nyumbani kwako...ukiamua unakula na ukiamua unalala njaa.
Kwakweli unauliza maswali yenye akili mingi, ila sadly unapoteza muda kwa mlokole hawajui na hawana akili ya kuchambua mambo wao wanaenda na upepo tu kama mambayuwayu!Huyo Mungu kwa nini anamuacha ibilisi aite watu wafanye mabaya badala ya kumwangamiza?
Ibilisi kupewa muda mrefu kuishi hapa duniani, Sio tiketi ya yeye kutumia kuwaita binadamu wafanye mabaya.
Huyo Mungu kwa nini ampe ibilisi maisha marefu duniani ilhali alijua ibilisi huyo atatumia muda huo kuita watu wafanye mabaya?
Mungu mnayedai ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Anakupa mtihani ili ajue nini?
Ina maana huyo Mungu wakati anakuumba alikuwa hajui utafanya matendo gani mpaka akupime kwa kukupa mtihani?
Kama huyo Mungu ni mjuzi wa vyote tangu mwanzo na hata milele, Anakupima kwa kukupa mtihani ili nini?
Wakati tayari alijua na anajua matendo yako tangu mwanzo na hata milele.
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Kama huyo Mungu hapangiwi na yeyote, Kwa nini hapendi uovu na mabaya ilihali yeye ndiye muumbaji wa kila kitu?
Kama hapendi uovu na mabaya, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu wala mabaya?
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda mabaya?
Kwa nini huyo Mungu aumbe Dunia yenye uovu na binadamu wenye uwezo wa kutenda mabaya, Halafu aje alalamike kwamba kwa nini hatutendi mema?
Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
Mizimu ya kizungu na kiafrika hailingani kabisa sababu ya jiografia.Mizimu ya kizungu na kiafrika inalingana?Katika imani ya kikatoliki, tunaomba hasa kwa kutumia mizimu ya kizungu, wengi ni watakatifu na wapo mbinguni, hii imekaaje?
Mizimu ipo mizuri na mibaya,Mizimu ni mibaya au mizuri?
Wachungaji wa makanisa hawana mizimu au wanayo?
Hiyo ni mizimu ya kiganga, mtu mwenye niyo akiipuuza hata kuchizika anachizika kabisaa na kuokota makopo, wengine huugua magonjwa ya ajabu wakisalimu amri inawaachia wanapona.Mizimu ni Mapepo au Majini yanayofutilia ukoo fulani.
Hakuna Mizimu mizuri kwa mfano utakuta ukoo una watu masikini sana na wana Mizimu inayo shindwa kuwakwamua kiuchumi.
Mizimu inapenda kuabudiwa na ina vilinge vya kuiabudu.
Kitu inachopenda kwenye familia ni uganga uchawi tu.
Utasikia mikoba ya babu irithishwe kwa mjukuu ilimrani iendelee kuabudiwa na ukoo husika.
Mizimu ikiona inapotezewa kuabudiwa inaanza kuleta mikosi kwenye ukoo husika kama magonjwa na taabu mbali mbali.
Inaleta taabu Hadi ukoo au familia au mtu husike afanye tambiko (ibada ya Mizimu) ndio apate nafuu.
Ibada halisi ya Mungu ndio njia pekee ya kuiondoa Mizimu katika Koo, Familia, au mtu husika.
Faida zipo nyingi tu mfano kuna ukoo ni wa matajiri ukioa huko lazima utoboe pia kuna koo za kichawi ukioa huko lazima uipate fresh.Nizipi faida na hasara za mizimu?
Kwani yesu sio mzimu?MIZIMU HAINA AKILI NI MAJINI YANAYOCHUKUA SURA ZA WATU WALIO KUFA.
Majini na mizimu ni vitu viwili tofauti kabisa... HAKIKA KUMJUA YESU NDIO CHANZO CHA MAARIFA
Yesu sio roho ya mfu?Mizimu ni roho za watu (ndugu) waliokwisha kuiacha miili yao, na roho zao zimeibaki kutangatanga huku hatma yake ikiwa ni kuzimu...
Iweje wewe mwanadamu mwenye uhai na utashi kamili utake kuongozwa na roho za wafu?
Unejuaje kama jirani yako ni mchawi?Mkuu niambie njia ya kujikinga na huyu jilani mchawi