Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

Okey asante.

Ningependa kujua mgawanyo wa kazi wa nyuki wanapokuwa kwenye makazi yao(mzinga).

Pia nilisikia nyuki dume hatokani na fertilization kati ya sperm na ovum hii imekaaje?
Nina kila sababu ya kuja kukuposa hapa nimepata mke..😉
 
Ni nyuki jike au kibarua (worker) ndiye hatokani na fertilization. (Parthenogenesis).
Kwenye mzinga kunakuwa na aina 3 za nyuki. Malkia mmoja tu kundi zima, madume machache tu say in tens or hundreds na workers ndio wengi. Kwenye kundi la say 100k bees, madume yanaweza kuwa 2000 na workers 98k. Malkia anataga mayai yote kwenye mzinga, madume hayana kazi zaidi ya kumpanda malkia tena anafanikiwa mmoja tu, kazi zingine zote zinafanywa na workers, kuanzia kutafta chakula, kulisha watoto, kusafisha mzinga, kumlinda malkia, kutengeneza Asali na kulinda mzinga.
Asante sana boss uko vizuri.

Dah ila ningetamani kujua kibiolojia inakuwaje hao workers kupatikana bila fusion of sperm and ovum wakati kwa madume haiko hivyo!
 
Kuna kitu huwa najiuliza, ukitaka kufuga nyuki unaanzaje?

Kuna mtu kanambia we unatundika tu masega yako watakuja wenyewe. Sasa kama eneo nlilokuwepo hakuna nyuki watatokea wapi?
Tunatundika MIZINGA sio MASEGA.
Ukitaka kufuga nyuki lazima uwe na yafuatayo.
1. Eneo la kufugia, maana yake eneo lenye miti inayotoa maua.
2. Liwe linafikika kirahisi.
Liwe na chanzo cha maji si zaidi ya kilometa 5, yakiwa hapo kwenye eneo ni bora zaidi.
3. Uwe na mizinga,
4. Eneo liwe mbali kidogo na makazi ya watu, kwa kuwa nyuki wetu wa Afrika kila mtu anawajua.
5. Upate elimu kidogo ya ufugaji.
 
Ni nyuki jike au kibarua (worker) ndiye hatokani na fertilization. (Parthenogenesis).
Kwenye mzinga kunakuwa na aina 3 za nyuki. Malkia mmoja tu kundi zima, madume machache tu say in tens or hundreds na workers ndio wengi. Kwenye kundi la say 100k bees, madume yanaweza kuwa 2000 na workers 98k. Malkia anataga mayai yote kwenye mzinga, madume hayana kazi zaidi ya kumpanda malkia tena anafanikiwa mmoja tu, kazi zingine zote zinafanywa na workers, kuanzia kutafta chakula, kulisha watoto, kusafisha mzinga, kumlinda malkia, kutengeneza Asali na kulinda mzinga.
So hao workers wanakuwa hawana jinsia..?
Kama hawana jinsi aisee dunia haipo fair yani wanakosa utamu..au ndio maana utamu wao wanauhamishia kwenye asali..😅😂
 
Asante sana boss uko vizuri.

Dah ila ningetamani kujua kibiolojia inakuwaje hao workers kupatikana bila fusion of sperm and ovum wakati kwa madume haiko hivyo!
Google "Parthenogenesis"
 
Nyuki anakwenda kuchukua maji matamu ya maua (nectar) tunaita mbochi kwa kiswahili, anarudi kwenye sega (comb) ana regurgitate yale maji pamoja na ingredients zingine kutoka kwenye mwili wake. Hapo bado inakuwa haijawa Asali, kwa sababu ina maji mengi sana yaani nyepesi, so wakishajaza vyumba vyote hiyo nectar, wanapiga mbawa zao kwa wingi wao wana create upepo mkubwa ndani ya mzinga kiasi kwamba maji yana evaporate na kuifanya ile necta kuwa nzito zaidi, wanaendelea mpaka wakijiridhisha ipo tayari (yaani maji yawe less than 21 %) kwenye Asali ndio wanaifunga na kuihifadhi ambapo sisi tunaenda kuwa rob.

Alafu mtu kama Kiranga anadai hakuna Mungu!!!
Hivi hao nyuki akili ya kufanya fanning process sielewi wanapewa na nani, Mwenyezi Mungu au Nature?
 
So hao workers wanakuwa hawana jinsia..?
Kama hawana jinsi aisee dunia haipo fair yani wanakosa utamu..au ndio maana utamu wao wanauhamishia kwenye asali..[emoji28][emoji23]
Wewe unawaza utamu tu[emoji3].

Malkia pekeake ndio ana sex hao workers ni kama watumwa tu yaani ni kazi mwanzo mwisho. Kazi yao ulinzi plus kutengeneza asali, you see!
 
Life span ya nyuki ni mda gani?
Inategemea localities na aina ya nyuki.
Wanasema Malkia anaishi miaka mitatu hadi minne, vibarua ni wiki chache tu, na madume mara nyingi yanauliwa na vibarua hasa panapokuwa na Asali na malkia keshapandwa. Na dume likipanda malkia hufa akimaliza kazi.
 
Wewe unawaza utamu tu[emoji3].

Malkia pekeake ndio ana sex hao workers ni kama watumwa tu yaani ni kazi mwanzo mwisho. Kazi yao ulinzi plus kutengeneza asali, you see!
Ningekuwa Mimi ningeanzisha vuguvugu la kugoma haiwezekani utamu wale wengine tu this is not fair..😂
 
Ningekuwa Mimi ningeanzisha vuguvugu la kugoma haiwezekani utamu wale wengine tu this is not fair..[emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Huo utamu hata hawajui ni kitu gani kwanza.
 
Kuna uvumi kuwa asali inayovunwa toka maeneo yenye kuendesha kilimo cha tumbaku (mf. Tabora), asali hiyo huwa na contents za nicotine.
Je, unasemaje kuhusu hili?
 
Back
Top Bottom