KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Umepata mama ila itabidi uandae na maji ya kunikanda debe moja sitatoka hivihivi lazima wataniumua hao viumbe..😅Asali ulete debe moja kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata mama ila itabidi uandae na maji ya kunikanda debe moja sitatoka hivihivi lazima wataniumua hao viumbe..😅Asali ulete debe moja kabisa.
Ndio hio Mizinga, neno lilinitoka na nkatumia masega tu 😀Tunatundika MIZINGA sio MASEGA.
Ukitaka kufuga nyuki lazima uwe na yafuatayo.
1. Eneo la kufugia, maana yake eneo lenye miti inayotoa maua.
2. Liwe linafikika kirahisi.
Liwe na chanzo cha maji si zaidi ya kilometa 5, yakiwa hapo kwenye eneo ni bora zaidi.
3. Uwe na mizinga,
4. Eneo liwe mbali kidogo na makazi ya watu, kwa kuwa nyuki wetu wa Afrika kila mtu anawajua.
5. Upate elimu kidogo ya ufugaji.
🤣🤣🤣 Dah! Kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza pole kwao..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huo utamu hata hawajui ni kitu gani kwanza.
Mi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
Hiyo issue hata mimi nilishawahi kuisikia, ninachoweza kusema ni kwamba, composition ya Asali ina uhusiano mkubwa na mimea ambapo wamechukua nectar, so kuwepo nicotine kwenye maeneo yanayolimwa tumbaku ni possibility. Ndio maana Asali inayotokana na miarobaini ina uchungu ndani yake, ya mkonge ina washa kiasi n.k.Kuna uvumi kuwa asali inayovunwa toka maeneo yenye kuendesha kilimo cha tumbaku (mf. Tabora), asali hiyo huwa na contents za nicotine.
Je, unasemaje kuhusu hili?
Nyuki chakula chake ni Asali, so huwa anatengeneza kwa wingi na kuhifadhi kwa ajili ya wakati wa ukame ambapo hakutakuwa na maua. Na sisi tunavizia akishaweka tunamuibia.Kwahiyo nyuki chakula chao ni asali? Au kwanini wanatengeneza asali?
Ni kweli nyuki dume hufa baada ya kujamiiana?
Ni kweli malkia hatokag nje mpaka anakufa?
Kwa kawaida nyuki wanapokuwa wanaishi mahali say kwenye pango au mzinga, wanazaliana, wanapokuwa wengi na nyumba kuanza kuonekana ndogo wanajigawa, lkn kabla ya kujigawa wanatengeneza Malkia mpya, then nusu wanaondoka, hiyo tunaita Swarming, ndio utakuta wametua kwenye baraza yako au kwenye mti. Then wachache wanatoka (wanaitwa scout bees) kwenda kutafuta nyumba. Sasa akija akakuta mzinga upo free anarudi kuwaeleza wenzake kuwa kuna nyumba mahali, then wote wanaingia. That's how it worksNdio hio Mizinga, neno lilinitoka na nkatumia masega tu 😀
Okay, mfano mimi shamba nnalo, linafikika kirahisi tu na chanzo cha maji kipo chini ya 5KM.
Mimi kinachonitatiza ni hawa nyuki, huwa wanatokea wapi wenyewe ikiwa eneo husika hakujawahi kuwa na nyuki ata mmoja?
Daah,nimelipenda hili swali.Ngoja nami niingie chimbo nitafute mbinu za kutengeneza asali bila kutegemea nyuki.But I think there are some enzymes secreted from their bodies which are very essential components for honey production.Kama nyuki wanaweza kutengeneza asali locally, actually niku_Assemble. Maana nyuki hukusanya necta za maua mbalimbali.
Je sisi binaadamu na teknolojia yetu kuubwa tuliyonayo Je kwanini tusiweze kutengeneza asali yetu??kama vile vile nyuki wafanyavyo.
Kama jibu ni haiwezekan basi ningependa kujua Why?
Na kama jibu ni ndio tunaweza basi ningependa kujua How???
Kama tunaweza tengeneza vitamin vilivyopo kwenye matunda na mboga mboga ndani ya maabara na vinafanya kazi effectively kama au zaidi ya vitamin halisi kutoka kwenye Matunda. Je kwanini tusitengeneze hizo Unknown Ingredients zinazotoka kwenye nyuki??Wanapochukua Nectar wanapoitema kuna ingredients zingine zinatoka mwilini mwao, that's why we can not synthesize honey with similar composition kama natural honey, itaharibika mapema tu!
Artificial hii haitakuwa na asiliaKama tunaweza tengeneza vitamin vilivyopo kwenye matunda na mboga mboga ndani ya maabara na vinafanya kazi effectively kama au zaidi ya vitamin halisi kutoka kwenye Matunda. Je kwanini tusitengeneze hizo Unknown Ingredients zinazotoka kwenye nyuki??
Ukifuga nyuki karibu na makaazi ya watu, au kwenye makaazi ya watu, haitawezekana kwa nyuki kutengeneza asali hata kama kuna maji na maua ya kutosha?Ukitaka kufuga nyuki lazima uwe na yafuatayo.
1. Eneo la kufugia, maana yake eneo lenye miti inayotoa maua.
4. Eneo liwe mbali kidogo na makazi ya watu, kwa kuwa nyuki wetu wa Afrika kila mtu anawajua.
Dunia ipo fair kwa kuwa hawawezi kula utamu Mara mbili ndo maana wakipanda wanakufa,wengine wanakula utamu wa asali inatosha,malkia ndo amependelewa kula+kuliwaSo hao workers wanakuwa hawana jinsia..?
Kama hawana jinsi aisee dunia haipo fair yani wanakosa utamu..au ndio maana utamu wao wanauhamishia kwenye asali..😅😂