Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #41
Nimaarufu sana somalia na marekaniHuyo mwamba uliyeweka picha yake alitisha sana kwenye tambara la captain phillips. Jamaa aliuvaa uhalisia haswa.
πππwatz umbeaAulizwe haraka alipo.
Hapana mogadishu hakuna mitutuVipi huko mogadishu nasikia kuna mitutu inalia balaa
Wanajitambua ukimaanisha niniKwanini wasomali wanajitambua Sana japo hawana Elimu kubwa
Mfano hapa Tanzania
Huwa na badilisha dp mara kwa mara.Mbona dp yako inaonyesha unapenda sana Uyahudi?
Huo ni msemo wa utani.Usitaharuki.πππwatz umbea
Hapi kwene rais wa uto ndo sijaelewaMi naongezea swali ni ukoo ganiπππ
swali lako ndo limeisha au bado unatype?Wewe utakua baharia kwenye nyumba ya wasomali
Anyway hutujui wala hatukujui
sawa mkuuHuo ni msemo wa utani.Usitaharuki.
Haya subiri kuna uzi wa waarabu nitafunguaMi nakuuliza kuhusu waarabu
Barkad AbdiNimaarufu sana somalia na marekani
Saizi dunia nzima inamfaham
πOoriya
Ngoja nikusaidie kujibuSwali la pili umeliacha tena.
Wahindi Hawa hawa au unazungumzia wahindi wengineWanajua kula na kipofu
ni kama tu wahindi nao wanavofanya ushaona wanazingua.
Wanajua muda wowote ni linaweza tokea jambo
Umeona isiwe shida kiviilee!πNgoja nikusaidie kujibu
Wasomali wanakula mirungi ndio maana wanajaaa mashavu(najua unajua ila nimeamua kujibu tu)
Raisi wa club ya mpira yangaHapi kwene rais wa uto ndo sijaelewa
ππππUmeona isiwe shida kiviilee!π
kwaiyo walikua wanamaanisha rais wa utopoloπRaisi wa club ya mpira yanga