Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #61
kumbe mirungi inajaza mashavuUmeona isiwe shida kiviilee!😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe mirungi inajaza mashavuUmeona isiwe shida kiviilee!😂
Wahindi wanaweza kua wanaibia nchi ila wanaogopa kesi wala huwezi kuta wanafanya utapeli tapelWahindi Hawa hawa au unazungumzia wahindi wengine
Kama tonge la ugali hutunisha mashavu,vipi kuhusu mirungi inayojazwa mdomoni?kumbe mirungi inajaza mashavu
Imeandikwa,ukiacha lango wazi mwizi atakuchungulia.Natania.Ngoja atujibu.
mkuu si mtaalamu wa mirungi ila najua wasomali ni wapenzi wa MiraaKama tonge la ugali hutunisha mashavu,vipi kuhusu mirungi inayojazwa mdomoni?
Bikra kwa wasomali ni kitu muhimu ingawa hayo mengine ni tabia ya mtu binafsiJe ni kweli wanawake wa kisomali kaseja hayupo golini (wanakeketwa)?
Wasomali ni jamii kati ya jamii chache ambazo hufanya ukeketaji.
Kifo hakizoeleki mkuu,,Naskia huko risasi unapishana Nazo hadi washazoea .
Yaani nikuulize swali kuhusu mimi mwenyewe halafu wewe mmatumbi unijibu kuhusu mimi?swali lako ndo limeisha au bado unatype?
Kabisaaa na ile pirates of somaliaHuyo mwamba uliyeweka picha yake alitisha sana kwenye tambara la captain phillips. Jamaa aliuvaa uhalisia haswa.
naam!Kabisaaa na ile pirates of somalia
Kwan ukiwa ww msomali ndo kujua kuhusu somalia.Yaani nikuulize swali kuhusu mimi mwenyewe halafu wewe mmatumbi unijibu kuhusu mimi?
Ndio wachafuKwann niwachafu sana