ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.
Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K
Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa
Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura
Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi
Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana
Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko
Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.
Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4
Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi
Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.
Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K
Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa
Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura
Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi
Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana
Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko
Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.
Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4
Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi
Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.