comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Nimeangalia hapa BUJUMBURA na KIBAHA au BAGAMOYO MJINI zinafana imekua ni mbingu na Ardhi, hapo umetuokota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watusi ni warefu ndo walikuwa wafalme zamani kabla ya ukoloni, wanasifika Kwa akili nyingi pia wanamiliki ng'ombe wengiHawa si wa Rwanda hawa mboni unatuchanganya we jamaa? Kwa hio VP ni nani Mhutu, Mtutsi au Mtwa?
Haya twende kazi nieleweshe maana jamaa kala bhndq hajataka hata kunijibuRwanda na Burundi, tofauti kubwa ni rafudhi tu. Hayo makabila, ni ya wakoloni. Mwamba asipokupa historia kamili nambie nikueleweshe.
Unaniita chawa kwa kuwa ninampenda rais Samia ?!!Chawa katika Moja na mbili
Fika Burundi utashangaa
Ijoro dyizaMahindi, maharage, mtama
Holla compatriot!Uko sawa kaka
Baba nenda pale Bwiza barabara ya tano Club ya Nganda Relax na Cenk Ci Cenk barabara ya Saba uone umalaya unaofanyika paleHuko ngono sio sana
Watu wana njaa na umasikini atawazaje kushenyenta
Unatuzuia kuwaza ngono huoni kama unavunja haki za binadamu? Tumeshindwa kutoa inventor hata mmoja sahivi taifa zima tunamtegemea masudi kipanya katengeneza gari kaifungia matairi ya bajaji sasa hata kwenye ngono tufeli?Wee jamaa zero nini sijui..
Yaani weww unataka mwenzako akupe stpry za mapenzi tuu na ngono..
Uliza vtu vingine ukiacha mambo ya ngono mkiu