Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Hawa si wa Rwanda hawa mboni unatuchanganya we jamaa? Kwa hio VP ni nani Mhutu, Mtutsi au Mtwa?
Watusi ni warefu ndo walikuwa wafalme zamani kabla ya ukoloni, wanasifika Kwa akili nyingi pia wanamiliki ng'ombe wengi

Wahutu sio warefu kama Wahutu, wana uchumi wa kati

Watwa hawa ni wafupi Kwa kimo, ni masikini na mafukara wa kutupwa
 
Screenshot_2025-01-30-00-28-01-509_com.google.android.apps.maps.jpg
 
Mademu wa Burundi walioingia Tz kwa njia za panya (wazamiaji) ni warembo sana na wanajituma sana kufanya biashara na ni wavumilivu pia, je sifa hii ya urembo, kujituma na uvumilivu wanayo hadi huko Burundi au nimewabahatisha wachache tu?

Nataka nikaoe burundi
 
Wee jamaa zero nini sijui..
Yaani weww unataka mwenzako akupe stpry za mapenzi tuu na ngono..

Uliza vtu vingine ukiacha mambo ya ngono mkiu
Unatuzuia kuwaza ngono huoni kama unavunja haki za binadamu? Tumeshindwa kutoa inventor hata mmoja sahivi taifa zima tunamtegemea masudi kipanya katengeneza gari kaifungia matairi ya bajaji sasa hata kwenye ngono tufeli?
 
Back
Top Bottom