nanawoo
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 1,309
- 1,270
Hakuna makip...buMie nakaa mtaa wa Gama, kama unaenda mwakitako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna makip...buMie nakaa mtaa wa Gama, kama unaenda mwakitako
Ngoja anaesumbua anajulikana kwa jina la Koboko (Cobra) ambao kwa maeneo ya wilaya ya Sikonge hupendela kuishi katika mashimo ya visuguu au katika mapango ya miti
Umuone koboko live halafu upone? Kuliko ukutane na Koboko ni bora ukutane na. Anacondaumewahi kumuona koboko live?
[emoji3][emoji3][emoji3] kumbe habari zake unazo.ngoja ntafuatilia kwa walio wahi kumuonaUmuone koboko live halafu upone? Kuliko ukutane na Koboko ni bora ukutane na. Anaconda
Oohooo, yani Koboko hata akikugonga ukiwa Hospital huponi mzee.[emoji3][emoji3][emoji3] kumbe habari zake unazo.ngoja ntafuatilia kwa walio wahi kumuona
ngoja ntafute info zake zaidiOohooo, yani Koboko hata akikugonga ukiwa Hospital huponi mzee.
Na ana uwezo wa kuifukuzia gari hadi aipate awagonge vichwani bila kujali ni umbali kiasi gani
Hujakosea inaitwa halmashauri ya Kijiji Cha SikongeSikonge ni wilaya kongwe na masikini kupindukia
Karibu California ya SikongeVipi maeneo ya Mwanambuya, nasikia hata Mazinge watu wameanza kujenga. Nasiku nyingi sijafika Sikonge
Wanaiba sana hasa kwa wageni wanasema ni wakujaUmeongea fact sana[emoji120],la nyongeza wanaume wa skg ni wavivu sikonge imechangamshwa na watu kutoka nje mkoa wa Tabora hususan watumishi wa serikali pamoja na wa sector binafsi, mfano waliojenga nyumba nzuri nzuri,na wenye biashara za kueleweka ni watu kuja(wazawa wanapenda kazi laini laini hususan kuwaabudu na kuwatumikia mkoloni wao mwaarabu)
Kwani huo uarabu ni jambo la utofauti sana au ni zaidi ya uafrikaSikonge Wadada Waarabu Wengi sana wanaolewa mpaka na wapiga debe, raha sana dada zetu pande hiyo hawana ubaguzi.
Usimfananishe ANACONDA, the world biggest snake na vitu vya kijinga.Umuone koboko live halafu upone? Kuliko ukutane na Koboko ni bora ukutane na. Anaconda
Mkuu unamaanisha gari au Punda?Oohooo, yani Koboko hata akikugonga ukiwa Hospital huponi mzee.
Na ana uwezo wa kuifukuzia gari hadi aipate awagonge vichwani bila kujali ni umbali kiasi gani
una uhakika na hili mkuu. Hebu uliza wenzio naona hujielewi.Ndiyo ,alipitiswa bila kupingwa