Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana hiyo laki 149.8 ni sawa na wakazi 14,980,000. Huyu lazima hesabu alikula F shuleni.
Mkuu siitaji ligi na wew.... itoshe kusema ni sehemu moja ya hovyo sana...Ni sehemu ambayo Ina ushirikina mwingi Sana.......Linaweza kuwa chimbuko na ikawa hulielewi mkuu
Mkuu siitaji ligi na wew.... itoshe kusema ni sehemu moja ya hovyo sana...Ni sehemu ambayo Ina ushirikina mwingi Sana.......
Mkuu Naomba usijisumbue tena kunijib KILA mtu achukue time zake pia endelea kuamini KUA sikonge ni eneo ndani ya mji wa TORONTO.
Wilaya Zingine mtu ukihamishiwa kikazi unaweza kuacha na kazi yenyewe kama huko Sikonge au ChatoWilaya ya Sikonge ipo Kusini ya Mkoa wa Tabora, Wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui Kaskazini na upande wa Mashariki inapatikana na Mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na Mkoa wa Mbeya Kusini Magharibi inapatikana na Mkoa wa Katavi na upande wa Magharibi inapatikana na Wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa Wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga. Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Wewe hujui wanyamwezi wala wasukuma. Kaa kimya. Usijifanye kujua mambo ambayo hujuiWanyamwezi hawaendekezi sana mambo ila yapo
Wewe acha kudanganya watu. Inaonekana wewe ni wakuja hapo Sikonge na hujui lolote. Koboko ni Black Mamba, sio cobra.Ngoja anaesumbua anajulikana kwa jina la Koboko (Cobra) ambao kwa maeneo ya wilaya ya Sikonge hupendela kuishi katika mashimo ya visuguu au katika mapango ya miti
Kwahiyo ukianzisha ndo udanganye?Una matatizo sijui wakati mimi ndiyo nimeanzisha huu uzi usirukie vitu usivyovijua
Tatizo sio kuanzisha thread, nina thread zangu nyingi tu. Kikubwa check facts zako kabla ya kupostMkuu naona kama umekuja na kajaziba kidogo tatizo si anzisha thread yako
Uchawi mwng kule Wala hakufaiUkitaka wachumba wa kuoa wanapatikana
Mkuu kule watu wengi tu wamepakimbia...
Kiongozi unajitahidi sana kuipa sifa nzuri huko Sikonge,lakini pia jitahidi kupokea sifa mbaya za Sikonge.Kumbuka watu wanazunguka hivyo wameona mengi.Wilaya inaendelea sana sasa hivi na wala hakuna mtu anayekimbia utakuwa una chuki binafsi
Mwalimu Seleman mbona hana shida au yupiNamchukia sana mkurugenzi na DED wa hiyo wilaya, yaani ningepata hata sehemu wanapouza uchawi ningenunua kwajili ya hao maqumer.