Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mitaa ya Puma na Famagusta kipindi hicho kinawaka Mchiriku.Umenikumbusha temeke mikoroshini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitaa ya Puma na Famagusta kipindi hicho kinawaka Mchiriku.Umenikumbusha temeke mikoroshini
Juma Mpogo japokuwa kafariki ila mpaka sasa hakuna wakumfikia.nani Superstar wa mchiriku bongo
Nanga Boy Simela,Chichi Baunsa,MidokeNitakufanyia mpango,hizo nyimbo wenyewe ni Atomic Music(Omary Omary)na zipo namba 1-4,na mjumbe alikuwa anaitwa Mzee Nanga.Huyo Nanga yy alikua ni rapper kwenye bendi hiyo na baadae alihama na kuamia Seven Survivor ya Juma Mpogo.
Juma Mpogo aka General Lupozinani mkali kati ya omary omary, baba j na generali juma mpogo???
Topaz walifia wapi?Wana jamvi,mimi ni mdau mkubwa wa mziki wa mchiriku/mnanda. Mziki ambao ulitawala na kujizolea umaarufu mkubwa kwenye miaka ya 90 hadi 2000,binafsi nimekulia kwenye jamii yenye kuhusudu mziki huo na hivyo kifuani kwangu nina hazina ya kutosha kuhusu mziki huo hatua kwa hatua tangu ulipotokea hadi ulipokuja kuanguka baada Serikali kuingilia kati kutokana na matendo yaliyokua yakifanywa na mashabiki na wapenzi.
Isitoshe nimefanya documentary yangu binafsi kwa kuwatembelea na kuwahoji waliokua/na waliopo kwenye fani hiyo na hivyo kujikusanyia hazina ya kutosha kuhusu mziki huu.
Karibuni wapenzi wa mziki huu tubadilishane mawazo.
Naona umewataja wakali wote wa Seven Survivor wakina Mudy Jongo,Aman Stereo, Division Haji,Mudy Black,Mudy wa Shamba, Amad Kiedu na Ally Chande. Bado wanalisongesha pale alipoachia Jenerali LupoziWatu bado wapo ila saport ilikua chini tu,kuna watu kama akina Mwina,Mudy Jongo, Division Hadji,Amani Stereo,Mudy black,Mudy wa Shamba,Amadi Kiedu,Ally Chande "Dog",akina Machupa kule Bagamoyo na watu lundo tu.Lakini tushukuru E-Fm wameanza kuusaport.
Pilot Ngulamba bado yupo Sevenamadi kiedu alikuwa 7 sasa wana kundi lao na mudy black....though muddy blacki alikuwa mpiga keyboard hatari, yuko wapi piloti baba isayaa?
Hivi Kabwe bado yupo hai?hahahaahahahh hapo Farmer Gusta enzi hizoo palikua na kibustani cha michongoma kabisaa pale ambapo leo hii pana jumba la kutupia taka
wanikumbusha watoto wa Mzee Mangusiroo, kina Kabwe na nduguye Kipaka,
enzi za Double Ommy na Atomic music
mikoroshini ilikua motooooo
Ilikuwa vibes la ukweli kuanzia pande za Puma hadi Famagusta.hahahaahahahh hapo Farmer Gusta enzi hizoo palikua na kibustani cha michongoma kabisaa pale ambapo leo hii pana jumba la kutupia taka
wanikumbusha watoto wa Mzee Mangusiroo, kina Kabwe na nduguye Kipaka,
enzi za Double Ommy na Atomic music
mikoroshini ilikua motooooo
Halafu kipindi hicho kila kijiwe/maskani inajiona Wajanja zaidi kuliko maskani nyingine,kuanzia Famagusta, Tops,Puma, Ajax, Target, Manova, Place,Kiembe.Hapo Tops kulikua na wahuni wakutosha na ndio ilisababisha zile maskani ( garden ) kupigwa marufuku maana ilikua ganja ganjani unga ngada kwa kwenda mbele.kulikua na vile vikundi vya komando yosso kama wale panya road.Usisahau wale wahuni wa pale mwembeyanga Farmer Gusta
Wadau kwanza naomba mniwie radhi kwa kutotoa saport kwenye uzi huu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu,lakini yote kwa yote nimerudi na nitajibu kila swali.Kwanini kwenye ngoma ya mnanda wanapendelea kuvaa sharti na busta nyeupe na Sisi na viatu vyeupe??
Mzee nifanyie mpango wa hii nyimboWa Jeneral Lupoz(Seven Survivor),nitakurushia mwanangu.
Yawezekena ikawa kweli lakini yapo mashaka,Majaliwa kwa maana ya waziri mkuu ni Mmwera kutoka wilaya ya Ruangwa,lakini mpogo ni mtu wa kitoka Kijiji cha Kivinja wilaya ya Kibiti mkoa wa pwani(Wandengereko),na sababu ya seven kupata connection na kufahamika na watu wa Ruangwa ni Pylot Nguramba ambae yeye ni dereva wa mabasi ya huko hususani WiFi coach.Hivyo hilo la Juma Mpogo kuwa Mmwera inawezekana lakiniKabila Moja na Majaliwa.
Usemacho ni kweli,lakini kwa vile halikuwahi kufanyika pambano la kitaifa la mziki wa mnanda basi itoshe kusema mnanda hauna bingwa!.Juma Mpogo japokuwa kafariki ila mpaka sasa hakuna wakumfikia.
Usemacho ni kweli,lakini kwa vile halikuwahi kufanyika pambano la kitaifa la mziki wa mnanda basi itoshe kusema mnanda hauna bingwa!.Juma Mpogo japokuwa kafariki ila mpaka sasa hakuna wakumfikia.