Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Usijali mkuu
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Utunzaji wa cement hakikisha cement hauiweki sehemu yenye ubaridi..namaanisha chini weka ubao, na pia hakikisha chumba chako hakivuji au kuwa na unyevu wowote..

Idea nzuri boss, cement chukua mzigo kutoka kiwandani husika
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Bati pia ni vizuri uchukue kiwandani..coz utakutana competition kubwa ya bei coz watu kahama wanaaigiza kutoka kiwandani wanauzia raia
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Nondo, flatbar haya unaweza kwenda kwa kamaka, na suppliers wakubwa kutoka dar au kutoka kenya. Border ya sirari.
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Vifaa vya umeme utimbe k.koo ndio utapata kwa bei rahisi
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Faida ya materials hizo huwa ni ndogo kwa piece ila siku zote mtu hawezi chukua bati moja, hawez chukua gypsum moja... mfano faida ya g.board 1000 hadi 2000..lakini mtu unkuta anchukua board 20 hadi 50..so unakuta ww unapata faida.

Changamoto ni kujua vitu vinavyoendana kwa mfano ukiuza g.board uza na gypsum powder na gypsum screw mikanda yake.

Changamoto nyingine lazima ujue kahama wanapendelea kujenga na brand zipi za material mfano..kuna mikoa wanapendelea gypsum za montania, wengine wanapendelea za andika... etc

Pia bidhaa feki ni unapata kama sio mjuzi..tafuta fundi siku unaenda kununua muwe nae...

Changa moto nyingine ni variety tofauti ya bidhaa moja...mfano gypsum kuna ya thailand na ya china na ya tanzania..hizo zote unapaswa kuwa nazo coz zinaenda kutokana na mfuko wa mteja..

So uwe umejipnga mzee..gypsum angalau uwe nazo mia au mia mbili kwa kila brand,
 
Cement, Bati, Nondo, Wire meshes, Gypsum boards, Ceilling boards, Tiles, Misumari, square pipes, flat bars na vifaa vya ememe ni bidhaa ambazo nawaza kuziweka kwenye hardware yangu nitakayoifungua Kahama mjini.

Ningependa kujua upatikanaji wa bidhaa za nilizotaja hapo juu, changamoto za upatikanaji wake, na faida zake kwa ujumla.

Bidhaa kama cement ni bidhaa ambazo zinahitaji utunzaji na umakini wa hali ya juu, mnatumia mbinu gani kufanikisha hilo? Maana mimi nilikaa na stock yangu ya Cement 49 ambazo zilibaki baada ya ujenzi wangu lakini nimekuta zimetengeza vibonge vidogovidogo ambavyo vinalainika ukivibinya ( nadhani ilikuwa inaelekea kuwa jiwe).


Assume ndo nataka nianze kuagiza bidhaa hizo process zake zikoje???
Process ya kuagiza
Weka list ya vitu tambua vinauzwa wapi tembelea maduka wakupe bei compare negotiate upunguziwe...negotiate na wabebaji...wasafirishaji hadi kahamma

Pia uwe na store ya karibu..
Pia angalia stock mzee wanaiba hao wafanykazi
 
Faida ya materials hizo huwa ni ndogo kwa piece ila siku zote mtu hawezi chukua bati moja, hawez chukua gypsum moja... mfano faida ya g.board 1000 hadi 2000..lakini mtu unkuta anchukua board 20 hadi 50..so unakuta ww unapata faida.

Changamoto ni kujua vitu vinavyoendana kwa mfano ukiuza g.board uza na gypsum powder na gypsum screw mikanda yake.

Changamoto nyingine lazima ujue kahama wanapendelea kujenga na brand zipi za material mfano..kuna mikoa wanapendelea gypsum za montania, wengine wanapendelea za andika... etc

Pia bidhaa feki ni unapata kama sio mjuzi..tafuta fundi siku unaenda kununua muwe nae...

Changa moto nyingine ni variety tofauti ya bidhaa moja...mfano gypsum kuna ya thailand na ya china na ya tanzania..hizo zote unapaswa kuwa nazo coz zinaenda kutokana na mfuko wa mteja..

So uwe umejipnga mzee..gypsum angalau uwe nazo mia au mia mbili kwa kila brand,
Vipi kuhusu pango la biashara?? Nahisi itahitajika store kubwa sana.
 
Process ya kuagiza
Weka list ya vitu tambua vinauzwa wapi tembelea maduka wakupe bei compare negotiate upunguziwe...negotiate na wabebaji...wasafirishaji hadi kahamma

Pia uwe na store ya karibu..
Pia angalia stock mzee wanaiba hao wafanykazi
Hapo kwenye store sasa, naona huku kahama sehemu nyingi ni frame za kawaida tu...!!!
 
150, nyingi mno
Hata kama unazo sio busara kuziweka zote kweye biashara ambayo ndo inaanza,ni bora ukaanza na 10M au 15M kisha ukawa unaongeza stock baada ya kupima mzunguko wa biashara katika eneo husika. Ukiona bidhaa fulani inatoka sana unaiagiza kwa wingi faster kuliko kuweka vitu ambavyo bado haujapata uhakika wa kuuza.

Naongea kiuzoefu tu.
 
Hata kama unazo sio busara kuziweka zote kweye biashara ambayo ndo inaanza,ni bora ukaanza na 10M au 15M kisha ukawa unaongeza stock baada ya kupima mzunguko wa biashara katika eneo husika. Ukiona bidhaa fulani inatoka sana unaiagiza kwa wingi faster kuliko kuweka vitu ambavyo bado haujapata uhakika wa kuuza.

Naongea kiuzoefu tu.

Shukurani sana mkuu Mac kwa ushauri wako..ubarikiwe
 
Hongera kwa kufungua uwanja wa maswali.
Je ni mbinu Gani zinatakiwa kuweka Ili kukabiliana na ushindani kwa soko la vifaa vya hardware?
Huduma boss, mfano mtu anaweza akakuchangia bati 60 na gypsum 40...alafu unamuacha kapa..hapana..unampa hata na kole moja la kufanyia kazi.

Mafundi hakikisha unawapa commision kwa kila mteja wanaoleta

Usipende kuwambia watweja chukua kwa flani, mwambie nachukua store

Bidhaa nzuri sio feki..
 
Nimeisoma aise kumbe mtaji wake co wa kitoto. Mi nikidhani 15 mpaka 30 unaweza ukafungua bonge la hardware
Kama ni hardware kubwa hebu jaribu kuagiza nondo tu za mm 12 na 16 kwa bei ya sasa uone utabakiwa na shingapi, hapo ukakuwa hujawazia bei ya pango ambayo ni vizuri ukailipa kwa mwaka au miezi sita ili kuipa nafasi biashara ishike kasi (breaking even)

Hii business sio ya kitoto mkuu.
 
Back
Top Bottom