Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Huduma boss, mfano mtu anaweza akakuchangia bati 60 na gypsum 40...alafu unamuacha kapa..hapana..unampa hata na kole moja la kufanyia kazi.

Mafundi hakikisha unawapa commision kwa kila mteja wanaoleta

Usipende kuwambia watweja chukua kwa flani, mwambie nachukua store

Bidhaa nzuri sio feki..
Kwenye hii hoja ya kutowaambia wateja wakachukue bidhaa kwa fulani badala yake tuwaambie kuwa tunawafatia store, unamaanisha tunatakiwa kufungua ofisi zetu kwenye maeneo ambayo ni maarufu kwa uuzaji wa bidhaa za hardwarer na sio kujitenga pekeetu, si ndio??
 
Kwenye hii hoja ya kutowaambia wateja wakachukue bidhaa kwa fulani badala yake tuwaambie kuwa tunawafatia store, unamaanisha tunatakiwa kufungua ofisi zetu kwenye maeneo ambayo ni maarufu kwa uuzaji wa bidhaa za hardwarer na sio kujitenga pekeetu, si ndio??
Hapana boss, hata kama uko mbali, we pakia vile vilivyopatikana piga simu jama wanakuletea ..na hapo unampiga sound mtej na stori za siasa na hali ngumu ya kimaisha..
 
Sawa mkuu...!!!
Hardware inalipa boss...biashara ikakaa mwake unapata faida zaidi ya 100,000 hardware ya kawaida

Hio yako ya 300,000 kwa mwezi ..duu haiwezekani hata siku na moja..unapata zaidi
 
Personally nimefaidika na madini mengi humu JF kwa ajili ya maswala mbali mbali, sio vibaya na mimi kushare info na wana jamii wafaidike pia..

Nimekulia katika familia yenye b'ness ya hardware, then na mimi nikajikita katika b"ness hio hio.

Nitashare kutokana na uzoefu, uwezo na kiwango cha ujuaji wangu..

Karibuni na wengine mtakao kuwa na majibu kwa wengine..

Karibuni..
Nilitaka kujua mkuu je biashara ya hardware inatakiwa kuwekwa sehemu zenye watu wengi au biashara nyingi nyingi au waweza weka hata pembeni yaan ukawa umejitenga na wengine na wateja wakakufuata?

Maana kuna baadhi ya hardware utakuta zimejitenga pembezoni na zingine zipo centre zimejipanga
 
Nilitaka kujua mkuu je biashara ya hardware inatakiwa kuwekwa sehemu zenye watu wengi au biashara nyingi nyingi au waweza weka hata pembeni yaan ukawa umejitenga na wengine na wateja wakakufuata?

Maana kuna baadhi ya hardware utakuta zimejitenga pembezoni na zingine zipo centre zimejipanga
Ukipata mtaa wenye maduka mengi ya hardware itakuwa vizuri kwasababu waeteja wengi wakiwaza kwenda kununua vifaa wanawaza kwenda kwenye mtaa wenye hardwares nyingi ili asiwe limited kwenye manunuzi, mteja anapofika kwenye maeneo hayo atataka kuulizia kitu fulani katika kila duka ili kulinganisha bei na ubora wa anachotaka, automatically itafikiwa tu na utauza.
 
Vp kuhusu mbinu za kudhibiti wizi na upotevu wa bidhaa store, je ni biashara ambayo unaweza kumkabidhi mtu na kuisimamia ukiwa mbali kwa urahisi? Au lazima uwepo mwenyewe dukani?
 
Nilitaka kujua mkuu je biashara ya hardware inatakiwa kuwekwa sehemu zenye watu wengi au biashara nyingi nyingi au waweza weka hata pembeni yaan ukawa umejitenga na wengine na wateja wakakufuata?

Maana kuna baadhi ya hardware utakuta zimejitenga pembezoni na zingine zipo centre zimejipanga
Hardware inakaa sehemu yoyote mkuu, either city centre au nje pembezoni kivyako

ILA,

Kama unadeal na material kubwa kama za finishing na foundation unaweza kaa pembezoni kuwafata huko wanaojenga..hapa unaweza kaa mwenyewe kwa kuwa unajua mtu akitaka cement lazima aje kwako kwa ukaribu sio lazima aende town

Lakini

Kama hardware yako imeshamiri tools na equipments unashauriwa kukaa kati kati kwenye mihangaiko ya watu..hapa nikuattract mafundi wanaokuja town..na wateja wengine wanaopita
 
Vp kuhusu mbinu za kudhibiti wizi na upotevu wa bidhaa store, je ni biashara ambayo unaweza kumkabidhi mtu na kuisimamia ukiwa mbali kwa urahisi? Au lazima uwepo mwenyewe dukani?
Kama ni hardware inayodeal na bidhaa kubwa kama cement, g.boards, pvc boards..ni rahisi kwa kuwa unakuwa na store na unamuachia bidhaa kazaa ..so ukiwa unakuja unajua kwamba kiasi flani kimesepa hiki kimebaki na kinaendana na mahesabu yangu..

Kama ni duku la tools, equipments na appliances ndogo ndogo sikushauri uache mtu kwa kuwa ni rahisi kuibwa..mtu anaweza pitia biti, au bisi bisi ..ni ngumu kujua..

Pia mfumo wa camera ni mzuri
Na kupitia bidhaa kuhesabu mara kwa mara
 
1: bidhaa inayotaka ni za foundations ni cement, nondo, paa, mbao,

Pia vifaa vya ufundi kama pliers, pasi, miiko inatoka sana kutokana wachina kutusaidia hahahah

2: ni kweli kabisa mafundi huwa wanatuletea kila siku ila sina hulka ya kununua... mnaojennga mnapigwa sana kuweni makini
Kuna mangi mmoja hapa mtaani, jirani kwake walikuwa wanajenga.

So, wale mafundi wakawa wanaiba mifuko ya cement wanatupia kwenye shimo lililoko kwenye Kiwanja cha huyo jirani yangu.

Huyo jirani yangu akawagundua😀

Kudadadeki, hao mafundi wezi walivyokuwa wakitupa shimoni, jamaa naye ANAHAMISHA.

Baada ya kukamilisha kazi JIONI , wale mafundi wakaenda kuchungulia shimoni wakakuta EMPTY.

Haya kitu cha WIZI huwezi KUMUULIZA mtu🤣🤣🤣
 
Kuna mangi mmoja hapa mtaani, jirani kwake walikuwa wanajenga.

So, wale mafundi wakawa wanaiba mifuko ya cement wanatupia kwenye shimo lililoko kwenye Kiwanja cha huyo jirani yangu.

Huyo jirani yangu akawagundua[emoji3]

Kudadadeki, hao mafundi wezi walivyokuwa wakitupa shimoni, jamaa naye ANAHAMISHA.

Baada ya kukamilisha kazi JIONI , wale mafundi wakaenda kuchungulia shimoni wakakuta EMPTY.

Haya kitu cha WIZI huwezi KUMUULIZA mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahah wakabaki kapu kama walivyokuwa kabla ya kuiba.

Mangi nae mtata..hahah
 
Back
Top Bottom