Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Mkuu naomba unisaidie
Ninawaza kuanzisha hardware yenye vitu vigutavyo tuu
1. Nondo
2. Cement
3. Bati
4. Mbao
5. Misumari
6. Wiremesh
7. Gypsum board na accessories zake.

Changamoto gan niitegemee hapa.

Mtaji kiasi gan kama nalenga kuuza jumla na rejaleja
 
Mkuu naomba unisaidie
Ninawaza kuanzisha hardware yenye vitu vigutavyo tuu
1. Nondo
2. Cement
3. Bati
4. Mbao
5. Misumari
6. Wiremesh
7. Gypsum board na accessories zake.

Changamoto gan niitegemee hapa.

Mtaji kiasi gan kama nalenga kuuza jumla na rejaleja
Changamoto hapa ni bei elekezi..inaweza ikusumbue kama umechukua kwa bei kubwA

Gharama za usafirishaji
Gharama za upakiaji
Gharama za fremu kubwa

Tofauti na hapo utawin sana ukishakuwa na hivi vitu ..usisahau kuweka na kech wire, binding wire, gypsum powder kwa kuw una gboard,

Kama ni jumla na reja reja andaa kama 100m hivi..
 
Personally nimefaidika na madini mengi humu JF kwa ajili ya maswala mbali mbali, sio vibaya na mimi kushare info na wana jamii wafaidike pia.

Nimekulia katika familia yenye b'ness ya hardware, then na mimi nikajikita katika b"ness hio hio.

Nitashare kutokana na uzoefu, uwezo na kiwango cha ujuaji wangu.

Karibuni na wengine mtakao kuwa na majibu kwa wengine.

Karibuni.

Pia, soma: Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida
Safi sana
 
Boss cha kwanza hardware ni term pana sanaa..

Ukitaka uwe na hardware ambayo ni:

general hardware (handtools, appliances, power tools, materials za ujenzi, plumbing na sanitary)..yani mtu hakosi kitu..kama unaanza itakubidi uwe na kibubu cha 80million to 150million na zaidi

Plumbing na sanitary system: tenga 25million hadi 30million

Mchanganyiko wa vitu vidogo: Handtools, appliances ndogo(vitasa, komeo,), fixets kama screws, bolts etc, vifaa vya vidogo vya mafundi 25million to 35million,

Yenye Materials za ujenzi tu: kuanzia foundations hadi fiinishing 50 to 100million

Au unaweza kufanya cheat code kwa mtaji mdogo kwa kumix kidogo kidogo hivyo vyote hapo juu kidogo kidogo ila kuna bidhaa utamiss dukani ..35miillion

Kama ni mbao tu 15m to 25m
Leta madini
 
Naomba kujua kuhusu biashara ya cement kuuza rejareja na kununua kwa ujumla, changamoto zipoje na faida kwa mfuko uko vipi au ni sh ngap?
 
Nisaidieni bei ya vifaa vya pichani (namba 1 hadi 8), fundi ameniandikia hivyo ili kufanikisha zoezi la upauaji.
ROOF.PNG
 
Naomba kufahamu Tani 1 cement kiwandani ni bei gani na kiwanda kipi kinabei nafuu
pia kwa uzoefu wenu nikinunua cement moja kwa moja kiwandani let say Tani 30
bei ya kusafitisha kutoka kiwandani mfano Tanga au Dar to Mwanza naweza kulipia kiasi gani?
 
Naomba kujua kuhusu biashara ya cement kuuza rejareja na kununua kwa ujumla, changamoto zipoje na faida kwa mfuko uko vipi au ni sh ngap?
Bei inapangwa na board ..mara nyingi faida 1000 kama umechukulia kiwandani..

Changamoto ni gharama ya usafirishaji na ushushaji

Pia bei inaweza kushuka angali ulichukulia bei kubwa.
Ila unaweza kutunza ndani kusubria ipande

Utunzaji mbovu unaweza kyharibu cement..unyevu unywvu au maji yaswepo

Gari inaweza kukugharimu 8.5m na zaidi
 
Naomba kufahamu Tani 1 cement kiwandani ni bei gani na kiwanda kipi kinabei nafuu
pia kwa uzoefu wenu nikinunua cement moja kwa moja kiwandani let say Tani 30
bei ya kusafitisha kutoka kiwandani mfano Tanga au Dar to Mwanza naweza kulipia kiasi gani?
Comment no. 94
 
Back
Top Bottom