Stratopause
JF-Expert Member
- Mar 26, 2023
- 751
- 1,461
Duka la vifaa vya ujenziHadwere ndo nini?
Anyway EPUKA MATAPELI!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duka la vifaa vya ujenziHadwere ndo nini?
Anyway EPUKA MATAPELI!
Kivipi mkuu? Sijakuelewa.Usiingie kwenye biashara kama hujajua kupiga nyoka vizuri
Asante mkuuNenda pale buguruni, kutana na watu wanaouza kwa jumla wakudadavulie. Achana na jf
Hata kipindi hiki cha msimu?Usije huku kusini hususani masasi kuna maduka mengi mno na wala hatuuzi kutwa mzima tunapata laki moja tu
Ngoja tupate miongozo kwanza!Mfanya kazi wa kuuza hilo duka niko hapa, serious yaan.
Tunatakiwa kufungua nini?Hardware kuna raia wanapiga hela sana asee.
Ila kwanini watanzania wanapenda sana kufungua maduka?
kwa 20m jamaa anaweza fungua kiwanda kidogo after 5years akawa mbali kuliko kwenye hardware.Tunatakiwa kufungua nini?
Kiwanda hicho kidogo kitakua kinazalisha nini, mahitaji yake, location, wafanyakazi + mishahara, leseni na usajili, soko la bidhaa zako.kwa 20m jamaa anaweza fungua kiwanda kidogo after 5years akawa mbali kuliko kwenye hardware.
Umemuuliza vizur sana. Alete majibu sasaKiwanda hicho kidogo kitakua kinazalisha nini, mahitaji yake, location, wafanyakazi + mishahara, leseni na usajili, soko la bidhaa zako.
Nafikiri ushauri uendane na biashara anayoipenda yeye 😊
Hakuna msimu wa maana hukuHata kipindi hiki cha msimu?
Hilo ni swali lingine na ni nje ya uzi wa jamaa.Kiwanda hicho kidogo kitakua kinazalisha nini, mahitaji yake, location, wafanyakazi + mishahara, leseni na usajili, soko la bidhaa zako.
Nafikiri ushauri uendane na biashara anayoipenda yeye 😊
Kwanini hamuuzi mkuu kwani huko hawajengiUsije huku kusini hususani masasi kuna maduka mengi mno na wala hatuuzi kutwa mzima tunapata laki moja tu
Mfano anaweza fungua kiwanda cha kuzalisha nini ambacho anaweza kuwa mbali?kwa 20m jamaa anaweza fungua kiwanda kidogo after 5years akawa mbali kuliko kwenye hardware.