Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

kwa 20m jamaa anaweza fungua kiwanda kidogo after 5years akawa mbali kuliko kwenye hardware.
Kiwanda ni kitu complicated sana mkuu,unatakiwa kufungua kiwanda baada ya kumiliki biashara kadhaa zikakutajirisha ndio sasa unaamua uadvance na kuanzisha kiwanda wakati huo Akaunti yako inasoma atleast 500m+
Kuanzisha kiwanda kwa mtaji wa 20m ni kujitesa tu maana hiyo watu wa TBS na NEMC wakikutikisa kidogo tu hicho kihela kinapukutika chote unabaki na zero balance,hapo bado hujalipa kodi TRA,bado hujalipa mishahara wafanyakazi,bado hujalipa kodi ya eneo la kiwanda,bado hujalipa bills hapo ni kujikondesha tu.
Biashara ya hardware ni nzuri sana kwa mtu mwenye mtaji wa 20m na bado iko na demand hata kwa Dar es salaam kwa maeneo mapya yanayojengwa kama Goba,Madale,Chanika,Kigamboni,Kibamba,Mpiji,Mbezi msumi.
Ni biashara ambayo hesabu zake ni nyepesi na faida ya bidhaa unaweza kuuza mara mbili ya bei uliyonunulia na bado wateja wananunua hakuna kulialia.
Mbao uliyonunua kwa elfu 8 unaweza ukaiuza kwa elfu 15 na hakuna wa kukuuliza wala kukulaumu kwa sababu hakuna bei maalumu au hakuna bei elekezi ya mbao so kila mmoja anauza kwa bei anayotaka.
Bidhaa yoyote inayohusu mambo ya ujenzi inalipa iwe plumbing materials,electrical materials au building construction materials.
Mimi nakumbuka wakati nataka kufanya wiring kwenye nyumba yangu nilifanya kitu kimoja nilimwambia fundi wangu aniandikie list ya electrical wiring materials yote yanayohitajika kisha nikachukua ile karatasi nikaenda nayo kwenye duka kubwa maarufu la wapemba fulani nje ya mji karibu na ninapoishi nikawaambia wanipigie hesabu gharama ya materials Total ilikuja 2m,nikaondoka na ile karatasi hadi kariakoo kwenye maduka makubwa ya electrical materials nikawapa ile karatasi wanipigie hesabu ya gharama jumla ikaja kwenye 1.2m hapo umegundua nini?
Maana yake wale wenye duka nilipoenda mwanzoni kama ningenunulia pale wangepata faida ya laki 8 kwa mteja mmoja tu sasa jiulize kwa siku wanapata wateja wangapi na wanaingiza faida kiasi gani?
 
Kiwanda ni kitu complicated sana mkuu,unatakiwa kufungua kiwanda baada ya kumiliki biashara kadhaa zikakutajirisha ndio sasa unaamua uadvance na kuanzisha kiwanda wakati huo Akaunti yako inasoma atleast 500m+
Kuanzisha kiwanda kwa mtaji wa 20m ni kujitesa tu maana hiyo watu wa TBS na NEMC wakikutikisa kidogo tu hicho kihela kinapukutika chote unabaki na zero balance,hapo bado hujalipa kodi TRA,bado hujalipa mishahara wafanyakazi,bado hujalipa kodi ya eneo la kiwanda,bado hujalipa bills hapo ni kujikondesha tu.
Biashara ya hardware ni nzuri sana kwa mtu mwenye mtaji wa 20m na bado iko na demand hata kwa Dar es salaam kwa maeneo mapya yanayojengwa kama Goba,Madale,Chanika,Kigamboni,Kibamba,Mpiji,Mbezi msumi.
Ni biashara ambayo hesabu zake ni nyepesi na faida ya bidhaa unaweza kuuza mara mbili ya bei uliyonunulia na bado wateja wananunua hakuna kulialia.
Mbao uliyonunua kwa elfu 8 unaweza ukaiuza kwa elfu 15 na hakuna wa kukuuliza wala kukulaumu kwa sababu hakuna bei maalumu au hakuna bei elekezi ya mbao so kila mmoja anauza kwa bei anayotaka.
Bidhaa yoyote inayohusu mambo ya ujenzi inalipa iwe plumbing materials,electrical materials au building construction materials.
Mimi nakumbuka wakati nataka kufanya wiring kwenye nyumba yangu nilifanya kitu kimoja nilimwambia fundi wangu aniandikie list ya electrical wiring materials yote yanayohitajika kisha nikachukua ile karatasi nikaenda nayo kwenye duka kubwa maarufu la wapemba fulani nje ya mji karibu na ninapoishi nikawaambia wanipigie hesabu gharama ya materials Total ilikuja 2m,nikaondoka na ile karatasi hadi kariakoo kwenye maduka makubwa ya electrical materials nikawapa ile karatasi wanipigie hesabu ya gharama jumla ikaja kwenye 1.2m hapo umegundua nini?
Maana yake wale wenye duka nilipoenda mwanzoni kama ningenunulia pale wangepata faida ya laki 8 kwa mteja mmoja tu sasa jiulize kwa siku wanapata wateja wangapi na wanaingiza faida kiasi gani?
Kwanza kabisa sijapinga wazo la jamaa la kufungua hardware, ndiyo maana comment yangu ya kwanza kabisa nilisema kwenye hardware watu wanapiga hela balaa.

Kisha nikauliza swali kwanini wabongo wengi wanapenda kufungua maduka?

kuna mtu akani-qoute akiuliza wafungue nini?

Ngoja sasa nikwambie jaribu kwenda veta yoyote utakutana na viwanda vidogo vidogo au hata mitaani tuu.

Mfano kuna chalii/kijana anafanya biashara ya kuuza unga ame-pack kwa jina lake anasambaza na kirikuu mtaji amenunua mashine zake sido, na kirikuu amenunua baada ya biashara kukua na anasoko kubwa sana. ( yupo maeneo ya bunju, hichi ni kiwanda kidogo nachozungumzia).

Maswala ya complince na serekali na kulipa wafanyakazi sio jambo la kukufanya usifungue kampuni, kampuni mnafanya watu watatu au wanne mshahara wa laki mbili hadi 250k unalipika vizuri ikiwa uko serious na biashara yako.

Kuna washkaji wako kibaha kama sio mlandizi wanatengeneza zile sahani za take away na mashine zao ni semi automatic hazijagharamu zaidi ya 10M na kazi wanaifanyia ndani ndani tuu na wanasoko kubwa.
So ishu ni exposure na kuwa na taarifa sahihi.
Na nisionekane kama napinga maduka kama yasingekuwa na faida tusingeyaona mitaani.
Ni swali niliuliza kuhusu watu kupenda kufungua maduka.
 
Kiwanda ni kitu complicated sana mkuu,unatakiwa kufungua kiwanda baada ya kumiliki biashara kadhaa zikakutajirisha ndio sasa unaamua uadvance na kuanzisha kiwanda wakati huo Akaunti yako inasoma atleast 500m+
Kuanzisha kiwanda kwa mtaji wa 20m ni kujitesa tu maana hiyo watu wa TBS na NEMC wakikutikisa kidogo tu hicho kihela kinapukutika chote unabaki na zero balance,hapo bado hujalipa kodi TRA,bado hujalipa mishahara wafanyakazi,bado hujalipa kodi ya eneo la kiwanda,bado hujalipa bills hapo ni kujikondesha tu.
Biashara ya hardware ni nzuri sana kwa mtu mwenye mtaji wa 20m na bado iko na demand hata kwa Dar es salaam kwa maeneo mapya yanayojengwa kama Goba,Madale,Chanika,Kigamboni,Kibamba,Mpiji,Mbezi msumi.
Ni biashara ambayo hesabu zake ni nyepesi na faida ya bidhaa unaweza kuuza mara mbili ya bei uliyonunulia na bado wateja wananunua hakuna kulialia.
Mbao uliyonunua kwa elfu 8 unaweza ukaiuza kwa elfu 15 na hakuna wa kukuuliza wala kukulaumu kwa sababu hakuna bei maalumu au hakuna bei elekezi ya mbao so kila mmoja anauza kwa bei anayotaka.
Bidhaa yoyote inayohusu mambo ya ujenzi inalipa iwe plumbing materials,electrical materials au building construction materials.
Mimi nakumbuka wakati nataka kufanya wiring kwenye nyumba yangu nilifanya kitu kimoja nilimwambia fundi wangu aniandikie list ya electrical wiring materials yote yanayohitajika kisha nikachukua ile karatasi nikaenda nayo kwenye duka kubwa maarufu la wapemba fulani nje ya mji karibu na ninapoishi nikawaambia wanipigie hesabu gharama ya materials Total ilikuja 2m,nikaondoka na ile karatasi hadi kariakoo kwenye maduka makubwa ya electrical materials nikawapa ile karatasi wanipigie hesabu ya gharama jumla ikaja kwenye 1.2m hapo umegundua nini?
Maana yake wale wenye duka nilipoenda mwanzoni kama ningenunulia pale wangepata faida ya laki 8 kwa mteja mmoja tu sasa jiulize kwa siku wanapata wateja wangapi na wanaingiza faida kiasi gani?

😳
 
Kama huna uzoefu na hiyo biashara usiingie kichwa kichwa.
Okay! KWA uzoefu wangu kuhusu hardware ni muhimu ukaanza na primary product (bidhaa muhimu) mfano ukatatufe eneo la wazi ukamwaga kokoto, mchanga, then ukanunua machine ya tofauli, pembeni ukaweka stoo ya mbao za kuuza na kukodisha, cements kwanza uku ukisubiria upepo wa biashara uone unavyokwenda. Ukiona kuna maendeleo ongeza bidhaa ofisini kwako
 
Habari.

Naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara ya hadwere, nina mtaji wa 20, m nahitaji kuanza biashara hiyo. Naomba mchanganuo wake, namna ya kubalance ili itoshe.

Natamani nianze na cement, mbao, bati, na vitu nyengine vidogo vidogo vya dukani. Biashara nataka kufungulia mikoa ya kusini huko. Natanguliza Shukrani sana wana JF.
1. Weka misumari inchi 2.5, 3 na 4 hata mfuko miwili miwili wa kilo 18,20 au 45.

2. Weka misumari ya ceiling hata kilo kama hapo juu.
3. Weka vifaa muhimu vya mafundi ujenzi.
4. Weka vifaa muhimu vya umeme
5. Weka vifaa muhimu vya bomba
6. Weka cement , white cement, chokaa na wall putty hata mifuko 100, 50, 50, 50 mtawalia.
7. weka vifaa vya usafi kama yote.
8. Weka mabomba ya PVC kadhaa Kwa size kadhaa pia(diameter)
9. Weka paints za emulsion, white, cream.
10. Weka nondo za 12mm, 16mm, 8mm hata tani moja kwa jumla.
11. Weka steel conduits/ducts kwa size mbali mbali.
12. Weka plastic conduits kwa ajili ya kuuza na vifaa vya umeme.
13. Weka nyaya maarufu za umeme. Hata roller nne none.
14. Weka Wires kama vile binding wire, kench wire, chicken wire, draft wire.
15. Weka ceiling board , Gypsum boards.
16. Weka red oxide za lita moja, nusu Lita na za Lita 4 kadhaa
(mfumo wako)
17. Weka ceramics kama vile sinks za vyoo, kunawia etc.

(Hapo Duka linakuwa tayari), wewe sasa utaendelea kifuatilia wateja wanataka nini halafu unapeleka nguvu huko kutegemeana na location.
 
Kwanza kabisa sijapinga wazo la jamaa la kufungua hardware, ndiyo maana comment yangu ya kwanza kabisa nilisema kwenye hardware watu wanapiga hela balaa.

Kisha nikauliza swali kwanini wabongo wengi wanapenda kufungua maduka?

kuna mtu akani-qoute akiuliza wafungue nini?

Ngoja sasa nikwambie jaribu kwenda veta yoyote utakutana na viwanda vidogo vidogo au hata mitaani tuu.

Mfano kuna chalii/kijana anafanya biashara ya kuuza unga ame-pack kwa jina lake anasambaza na kirikuu mtaji amenunua mashine zake sido, na kirikuu amenunua baada ya biashara kukua na anasoko kubwa sana. ( yupo maeneo ya bunju, hichi ni kiwanda kidogo nachozungumzia).

Maswala ya complince na serekali na kulipa wafanyakazi sio jambo la kukufanya usifungue kampuni, kampuni mnafanya watu watatu au wanne mshahara wa laki mbili hadi 250k unalipika vizuri ikiwa uko serious na biashara yako.

Kuna washkaji wako kibaha kama sio mlandizi wanatengeneza zile sahani za take away na mashine zao ni semi automatic hazijagharamu zaidi ya 10M na kazi wanaifanyia ndani ndani tuu na wanasoko kubwa.
So ishu ni exposure na kuwa na taarifa sahihi.
Na nisionekane kama napinga maduka kama yasingekuwa na faida tusingeyaona mitaani.
Ni swali niliuliza kuhusu watu kupenda kufungua maduka.

Kila kitu kina umuhimu wake, inshort kwenye viwanda kuna tycoons ambao wakikuona tu unakuja vizuri kwenye market wanakumaliza fasta kutumia soko au vyombo vya serikali labda uplay low.

Jua jambo unaloliwaza wewe leo kuna millions washaliwaza hapahapa tz miaka kede.

Tukiangalia on big picture biashara zote zenyefaida kuna wakubwa washakimbilia huko, ukiona sehem haina watu jua haina faida au inaleta faida ndogo na hutopiga hakua kubwa zaidi.

Mfano kwa Tanzania secta ya viwanda imeshikiliwa na tycoon wakubwa kama mchina 60%, muhindi15%, mwarabu15, wabongo10%.

So unapoplan kuanziasha kiwanda then watchout ni bidhaa gani na soko lipoje, MFANO ukiplan kufungua kiwanda kidogo cha viatu sametime mchina nae ana import viatu bas jua automatic uyo ni competator wako hata kama kakiwanda kako nikadogo.

Utapo import bidhaa inayofanana/kuendana za Tycoons elewa demand ya soko ndo itaamua mfano leo unaweza tengeneza kiatu cha ngozi kwa 100k kesho mchina akiona kina demand kwenye soko kupitia wewe anashusha kiatu kama hiko kwa viwango chini yako lets say 50k so hapo tayari unakua kwenye kazi kubwa ya kuwin soko ili upate kurun kiwanda chako na upate faida.

Chunguza bidhaa nyingi zinazozaloshwa tz zinabei kuliko zinazotokea china au kwa wahindi/wachina wa Kenya.

So ukitaka uwin zalisha on lowkey bila serikali kukujua au demand yako kwenye soko kua kubwa ili ukuze mtaji, utajitoa wazi ukishaota mabawa. Hata wachina wanafungua viwanda bubu vingi tu hapa kukwepa mkono wa serikali ila ukifumwa ndo ivo kwaheri.

MWISHO, kibiashara tanzania Production(Indurstries) kiukweli inawenyewe japo kama una mabawa waweza fanya tu ukawin. But kwenge Sales hapa ndo kwetu ndo sehem ambapo ni simple kupambania na simple kujipata kwa sisi wengi wetu, Turogane, Tuibiane, Fitna za hapa na pale iyo kawaida ila mtu unaweza pambana ukatoka haraka kuliko kwenye production.

Production yenye soko hapa ni vyakula maana row materials zake tunazipata kiwepesi ila quality zetu haziwez kutufanya kua wakubwa ndo maana juu wapo kina Bakhlesa huko pekee.

Yan inshort wengi tumeamua kutumia ile mbinu ya KAMA HUWEZI KUSHINDANA NA ADUI BASI UNGANA NAE.
 
1. Weka misumari inchi 2.5, 3 na 4 hata mfuko miwili miwili wa kilo 18,20 au 45.

2. Weka misumari ya ceiling hata kilo kama hapo juu.
3. Weka vifaa muhimu vya mafundi ujenzi.
4. Weka vifaa muhimu vya umeme
5. Weka vifaa muhimu vya bomba
6. Weka cement , white cement, chokaa na wall putty hata mifuko 100, 50, 50, 50 mtawalia.
7. weka vifaa vya usafi kama yote.
8. Weka mabomba ya PVC kadhaa Kwa size kadhaa pia(diameter)
9. Weka paints za emulsion, white, cream.
10. Weka nondo za 12mm, 16mm, 8mm hata tani moja kwa jumla.
11. Weka steel conduits/ducts kwa size mbali mbali.
12. Weka plastic conduits kwa ajili ya kuuza na vifaa vya umeme.
13. Weka nyaya maarufu za umeme. Hata roller nne none.
14. Weka Wires kama vile binding wire, kench wire, chicken wire, draft wire.
15. Weka ceiling board , Gypsum boards.
16. Weka red oxide za lita moja, nusu Lita na za Lita 4 kadhaa
(mfumo wako)
17. Weka ceramics kama vile sinks za vyoo, kunawia etc.

(Hapo Duka linakuwa tayari), wewe sasa utaendelea kifuatilia wateja wanataka nini halafu unapeleka nguvu huko kutegemeana na location.
Mkuu Shukrani sana kwa kunipa mwanga wa kuanzia. Vpi kwa uzoefu wako hiyo orodha hapo itatosha kiasi nilichoainisha hapo juu? Yani 20 million
 
Ili uwe wakala wa cement unatakiwa uwe na mtaji kiasi gani na ni taratibu gani unatakiwa uzifanye?
 
Kwanza kabisa sijapinga wazo la jamaa la kufungua hardware, ndiyo maana comment yangu ya kwanza kabisa nilisema kwenye hardware watu wanapiga hela balaa.

Kisha nikauliza swali kwanini wabongo wengi wanapenda kufungua maduka?

kuna mtu akani-qoute akiuliza wafungue nini?

Ngoja sasa nikwambie jaribu kwenda veta yoyote utakutana na viwanda vidogo vidogo au hata mitaani tuu.

Mfano kuna chalii/kijana anafanya biashara ya kuuza unga ame-pack kwa jina lake anasambaza na kirikuu mtaji amenunua mashine zake sido, na kirikuu amenunua baada ya biashara kukua na anasoko kubwa sana. ( yupo maeneo ya bunju, hichi ni kiwanda kidogo nachozungumzia).

Maswala ya complince na serekali na kulipa wafanyakazi sio jambo la kukufanya usifungue kampuni, kampuni mnafanya watu watatu au wanne mshahara wa laki mbili hadi 250k unalipika vizuri ikiwa uko serious na biashara yako.

Kuna washkaji wako kibaha kama sio mlandizi wanatengeneza zile sahani za take away na mashine zao ni semi automatic hazijagharamu zaidi ya 10M na kazi wanaifanyia ndani ndani tuu na wanasoko kubwa.
So ishu ni exposure na kuwa na taarifa sahihi.
Na nisionekane kama napinga maduka kama yasingekuwa na faida tusingeyaona mitaani.
Ni swali niliuliza kuhusu watu kupenda kufungua maduka.
Mkuu habari
 
Ninapenda mno nifungue kiwanda kidogo ila sina elimu wala taarifa zake
Ni jambo zuri.
Kiwanda inategemea ni cha aina gani na umesema huna taarifa basi inabidi uanze kuzitafuta.
Nakushauri utembelee sido kule utapata kila aina ya taarifa kuhusiana na viwanda vidogo kutoka hapo utajua pa kuanzia na tutaendelea kushauriana zaidi.
 
Back
Top Bottom