Mzigdash
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 440
- 377
1. price ya bei maana bidhaa za hardware hazina bei elekezi kutoka kwa bord kama yalivyo mafuta(EURA), ?
2. Unaweza vipi kutambua bidhaa feki wakati wakununua mzigo? maana kwa uzoefu wako yawezekana hauja kutana na hilo sana.
3. Mauzo kwa mwezi unaweza pata faida kiasi gani ukitoa pango na kulipa vijana?
2. Unaweza vipi kutambua bidhaa feki wakati wakununua mzigo? maana kwa uzoefu wako yawezekana hauja kutana na hilo sana.
3. Mauzo kwa mwezi unaweza pata faida kiasi gani ukitoa pango na kulipa vijana?