Niulize kuhusu biashara ya hardware, nitajibu kwa uwezo wangu

Mimi nahitaji kufungua hardware hapa dar lakini kila nikifikiria location napata changamoto kusema niweke wapi nlikua naomba mawazo niwapi naweza wela hardware kwa hapa dar mimi kama kijana?!!
 
Vitu vipi vya kuzingatia unapotaka kufungua hardware?
 
Hii comment nzuri sana
 
Nafwatilia huu Uzi kwa ukaribu mkuu.
Zipi changamoto common za hii biashara? vipi kuhusu vitabu vya records Auditing Mara ngap au at the end of the year inatosha?
 
Safi aiseee
 
Hii comment nzuri sana
Ningependa kujua mkuu, je frame ya duka la hardware inatakiw iweje maan naonaga mara nying wenye maduka ya hardware wana frame kuanzia mbili mpaka tatu sehem moja kwa ajil ya store je kam unaanz hii imekaaje
 
Nimeusoma uzi wote, ni mzuri,

Kuna siku na mm nitakuwa na uzoefu wa hii biashara nitakuja na majibu, wacha nipambane na mm niifungue
 
Ningeomba unifafanulie ishu kuhusu TRA, service levy na leseni ya biashara. Naona kama serikali inakwapua faida yote. Nipo napambana kujichanga ili nianzishe hii business

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Uzi mzuri,
Hiv mkuu Forrest Gump, upande wa electricals tu inahitaji mtaji wa sh ngapi hiv ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…