Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
Well done
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli..wacha uongo..mimi tangia 2003 napita huko hadi juzi nimetoka huko.na hakuna hayo mambo unayosema wewe..tena nilikuwa natoka na BUS za kuunga unga..sio hizi za DAR...HARARE..au nikupe na njia ya ZAMBIA VIA BULAWAYO ....south africa?unapoleta uzi humu JITATHMINI mara mbili..kwnza...tena mm ni SEA FERA BY PROFESSINAL....usibishane na mimi ktk mambo ya safari..mkuu ,ni sawa na KUSHINDANA na samaki kuogelea..Wewe ata passport huna so siwezi bishana na wewe,by the way mm nimepita njia hiyo 2013, so good day bye!
Angalia uzi wako vizuri mkuu...tena hapo lusaka CHOONI hata mswaki ukipiga unapigwa faini...nashangaa unaleta habari ETI watu wakaanza kufua nguo zao....wacha URONGO...muulize vizuri anayekuhadithia.....akueleze vzr....ndy uje kudanganya humu..
Viza na ENTRY ni vitu viwili tofauti....hata kama una VIZA lakini hawakugonga ENTRY ..means huingii.....na kama inchi ya FREE ,,,hawakugonga ENTRY pia huingii....USISHINDANE NA MAMBA kuogelea utakufa maji bureWe ni mpuuzi,sasa kwani viza na hiyo entry ina tofauti gani na visa,why hiyo entry igongwe kwenye upande wa viza kama sii viza?
By the way mm siye mwenye uzi.
Viza ni document au stamp inayowekwa kwenye passport yako,,inayo kuruhusu KUINGIA au KUTOKA ktk inchi fulani..hiyo ndy tafsiri yako ya kingereza chako cha RAS SIMBA....labda nikwambiye kitu..hakuna EXIT viza duniani wala ENTRY viza duniani.....bali kuna ENTRY stamp na EXIT stamp....viza ni kitu kingine USICHANGANYE habari mkuuA visa is an official document, or a stamp put in your passport, which allows you to enter or leave a particular country...!
So let me know the defferents between visa and entry!
Sasa kwani huyo uliyem-quote ndo mwenye uzi?Angalia uzi wako vizuri mkuu...tena hapo lusaka CHOONI hata mswaki ukipiga unapigwa faini...nashangaa unaleta habari ETI watu wakaanza kufua nguo zao....wacha URONGO...muulize vizuri anayekuhadithia.....akueleze vzr....ndy uje kudanganya humu..
We Una matatizo kichwani SI bure,so mm ndiye mwenye uzi huu?una uhakika mimi Wonderful ndiye mwenye uzi huu?au kuna kitu unanitafuta mkuu?Angalia uzi wako vizuri mkuu...tena hapo lusaka CHOONI hata mswaki ukipiga unapigwa faini...nashangaa unaleta habari ETI watu wakaanza kufua nguo zao....wacha URONGO...muulize vizuri anayekuhadithia.....akueleze vzr....ndy uje kudanganya humu..
Tangu jana namwambia mm siye mwenye uzi,cha ajabu bado kaniganda mpaka nashindwa kumuelewa huyu mtu!!Sasa kwani huyo uliyem-quote ndo mwenye uzi?
Atakuwa kajichanganya ndo maana nimemuuliza.Tangu jana namwambia mm siye mwenye uzi,cha ajabu bado kaniganda mpaka nashindwa kumuelewa huyu mtu!!
We jamaa ni shida sana!Uwe unanitag bas
Fuatilia uzi huu vizuri utaona huyo jamaa kahusika vipi?usidandie treni kwa mbeleSasa kwani huyo uliyem-quote ndo mwenye uzi?
Huyo jamaa anadanganya watu kumbe hajuwi wenye njoa yao wapo humu.....kibaya zaidi hajuwi tofauti ya VIZA na ENTRY...Sa mnabishana nini wakuu..wanaume hatuko hivyo..amani itawale,haya hebu peaneni mikono..
Wewe umerukia treni kwa mbele.....aliyemwambiya mwenzie hata pasport hana nani kama sio wewe.....na aliyeleta defination ya VIZA nani kama sio wewe?usirukie usiyoyajuwa...mimi nilisema huyo jamaa muongo....wewe ukaanza KUSHINDANA kuogelea na MAMBA....wewe hujaniita mimi boya humu?tena hata passport sinaWe Una matatizo kichwani SI bure,so mm ndiye mwenye uzi huu?una uhakika mimi Wonderful ndiye mwenye uzi huu?au kuna kitu unanitafuta mkuu?
Stupid wewe SI umesema mm nilifika Zambia nikafua nguo?au sii wewe?sawa mimi nilikwambia hayo unayoyasema,jee mm wapi nimesema nilienda Zambia nikafua nguo?bcoz umeniambia nawadanganya watu kwenye story yangu,sasa wapi nimeyasema hayo?Wewe umerukia treni kwa mbele.....aliyemwambiya mwenzie hata pasport hana nani kama sio wewe.....na aliyeleta defination ya VIZA nani kama sio wewe?usirukie usiyoyajuwa...mimi nilisema huyo jamaa muongo....wewe ukaanza KUSHINDANA kuogelea na MAMBA....wewe hujaniita mimi boya humu?tena hata passport sina
Stupid wewe SI umesema mm nilifika Zambia nikafua nguo?au sii wewe?sawa mimi nilikwambia hayo unayoyasema,jee mm wapi nimesema nilienda Zambia nikafua nguo?bcoz umeniambia nawadanganya watu kwenye story yangu,sasa wapi nimeyasema hayo?View attachment 598848