Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina La kampuni tafadhali.kuna basi zinaanzia safari dar>>Lusaka>>harare
Jina La kampuni tafadhali.
Mmmh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Vidokezo vya part2:
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani....analala chini ya mifereji ya kupitishia maji yatokanayo na mvua.
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani...anatembea na risasi iliyopigwa
kiunoni mwake.
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani... anamiliki guest house 4| R S A
na supermarket 1 | America.
[HASHTAG]#Likes[/HASHTAG] zenu ndizo zinanipa nguvu ya kuwaleteeni part 2
Loading.....
[emoji23] [emoji23]Sema tu tufahamu kama ulibakwa huko mkuu
Kwahiyo hizo likes unazotaka mpaka zifike ngapi ndo utumalizieVidokezo vya part2:
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani....analala chini ya mifereji ya kupitishia maji yatokanayo na mvua.
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani...anatembea na risasi iliyopigwa
kiunoni mwake.
Nilipata kushuhudia raia fulani wa nchi fulani... anamiliki guest house 4| R S A
na supermarket 1 | America.
[HASHTAG]#Likes[/HASHTAG] zenu ndizo zinanipa nguvu ya kuwaleteeni part 2
Loading.....
Pole na Hongera ni sehem ya maish so tunaisubr hiyoAhsante....ila part 2 huwenda utanipa pole...
Nafahamu kuwa unakiu ya muendelezo..Af we mswaki jifunze uandishi hayo mahashtag unamwekea nani likes katafute fb acha utoto we ka umekua shigongo sema na stori zako za kutunga
Bora uufute tuu maana analeta utoto wake hapa kwa wakubwa wazima.Nafuta uzi wako ukiendeleza utoto (•ิ_•ิ)?