lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Nshangaa bado kunawashamba waku quote nyuzi ndefu bila aibu mkuuUjinga kuquote thread ndefu hivo unashindwa kuandika bila kuquote kitu kirefu ivo mnatupa shida bwanaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshangaa bado kunawashamba waku quote nyuzi ndefu bila aibu mkuuUjinga kuquote thread ndefu hivo unashindwa kuandika bila kuquote kitu kirefu ivo mnatupa shida bwanaaaa
Okay ngoja tuendelee kuisubiria part 4 ila usikawie sana mpka tusahau tena.Nasubiria part 4
Teeeena mkuu wewe nouma.Kweli mkali we noma sana,duh we komando unaingia mstuni bila siraha,[emoji109] [emoji109] [emoji120] [emoji123] [emoji122] vyote vyako kiongozi ushujaa ulioonesha mpaka hatua hiyo sio wa kitoto kama wengine hapa hapa Tz mikoa jirani tunaonekana mazoba sembuse nchi za watu
Hawa hawaishi mkuu mpka dunia iishe nawao ndio wapotee kije kizazi kingineNshangaa bado kunawashamba waku quote nyuzi ndefu bila aibu mkuu
poapoaOkay ngoja tuendelee kuisubiria part 4 ila usikawie sana mpka tusahau tena.
yapo teleHivi Kuna Mabasi Yanayofanya Safari Dsm To Zimbabwe?
TAQWAJina La kampuni tafadhali.
basi mie ndo unaonivutia asiee!hahahabro uandishi wako umeuzidisha mbwembwe mpaka unapoteza maana halisi
Hujawahi kuuona wangu....!basi mie ndo unaonivutia asiee!hahaha